Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Si ndio hao hao wanaoita wanawake majina mabaya ,kuwatendea mabaya isipokua mama zao tu 😂 kuna mambo yanafurahisha sanaWanaume wanavyong'aka kupigwa mama zao, ilhali wao huwapiga mama za watoto wao ndo maana mwanaume hathaminiki na kuvuja jasho kooote ila mwisho wa siku anaimbwa nani Kama mama,