Je, ni halali kumpiga makofi mama mkwe anayekukera kila siku?

yaah kujua kusimamia mipaka kati ya familia yenu na yako.
Ukichemka hapa ndio shida huanzia. Na ukikuta mama kichefu chefu basi ndoa itapata shida sana.
 
yaah kujua kusimamia mipaka kati ya familia yenu na yako.
Ukichemka hapa ndio shida huanzia. Na ukikuta mama kichefu chefu basi ndoa itapata shida sana.
Na Ndoa ikishaingiliwa ivyo kudumu ni ngumu
 
Yani wewe Umesikia tu unampiga makofi... Kuna sister alikuwa anapigiwa simu kabisaa anaambiwa ni mgumbaaa ila Sema alikuja kujifunguaaa
❤️Umeona,subra yavuta kheri
 
ah mie sina utani aisee nilimwambia mke wangu toka mwanzo kuwa fanya yote mabaya lakini mama usimguse. atakae ondoka ni wewe na sio huyu mama maana bila yeye wewe usingenitaka. so respect her.
mke naweza badilisha anytime, ila mama siwezi.
Lini umeoa [emoji23]
 
Alafu analalamikia mwanamke ukute mwanaume ndio ana shida sijui ataweka wapi uso wake. Wakwe wengi ni vichomi na hasira zangu hizi Mungu anisaidie kwakweli.
Wanawake ampendani kesho nawe utakuwa mama mkwe,ndo utajua mtoto akui.
 
Wanawake ampendani kesho nawe utakuwa mama mkwe,ndo utajua mtoto akui.
Aah wanawake sisi Mungu atusaidie tu. Ila upuuzi wa kusumbua mtu eti kisa hazai huo ndio siwezi kumfanyia mtoto wa mtu sababu kuzaa ni majaaliwa. Vipi kama mwanae ndio angekua wa kike angeshauri aachike? Upuuzi tu wa huyo mama.
 
Una miaka kumi na ngapi?
 
Aah wanawake sisi Mungu atusaidie tu. Ila upuuzi wa kusumbua mtu eti kisa hazai huo ndio siwezi kumfanyia mtoto wa mtu sababu kuzaa ni majaaliwa. Vipi kama mwanae ndio angekua wa kike angeshauri aachike? Upuuzi tu wa huyo mama.
Si ndo hapo.
 
Ni nadra Sana wanawake kumpendana na wakwe zao au mawifi zao sababu wote ni wabinafsi wa kugombea umiliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…