Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Ni Mungu peke yake tuNatafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.
Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.
Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.
Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu
Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Huamini uwepo wa Mungu lakini unaamini uwepo wa Yesu, yani huli nyama ilihali unakunywa mchuzi au supu ya nyama.Yesu ana kasoro.
Aliwachia nguruwe wasio na kosa waangukie ziwani na kufa.
Angekuwa anaishi leo watu wa PETA (People for the Ethical Treatment of Animals) wangemshitaki kwa ukatili wake dhidi ya wanyama.
Kwanini? Umeshawahi kumuona?Ni Mungu peke yake tu
Tangu Jana nilikuambia weka hizo contradictions,hujaweka...imebaki kuimba pambio la contradictionsQuran imejaa contradictions zinazoonesha mapungufu ya Uislam.
Jua linateketea kama kuni inayochoma moto, katika mchakato wa nuclear fusion.Jua halina kasoro, ni chanzo cha maisha duniani.
Hebu tuelezee Quran inaelezea nini kuhusu kuzama kwa jua.Tangu Jana nilikuambia weka hizo contradictions,hujaweka...imebaki kuimba pambio la contradictions
Hilo limeelezwa Sana labda Kama si mfuatiliaji,na halina uhusiano na contradictions...labda Kama hujui maana ya contradictionsHebu tueleze Quran inaelezea nini kuhusu kuzama kwa jua.
Hebu nipe summary. Maana hapa tunaongelea kasoro. Wewe umesema Quran haina kasoro.Hilo limeelezwa Sana labda Kama si mfuatiliaji,na halina uhusiano na contradictions...labda Kama hujui maana ya contradictions
Ungesema kwa kifupi kwamba upungufu na ukamilifu havipo isipokua mahitaji ndiyo huviumba kungekua na shida gani?Je, mapungufu yana upungufu katika upungufu wake? Kwa sababu mapungufu hayajakamilika?
Hivyo, je, kwa kuwa hayajakamilika katika kukamilika, yamekamilika katika upungufu wake?
Au, hayajakamilika hata kwenye upungufu, kwa kuwa yangekamilika kwenye upungufu yasingekuwapo na yasingejulikana kuwa ni mapungufu?
Ukifikiria sana utaona, kitu ambacho hakina mapungufu hakipo. Kipo, lakini, kuwapo kwake kuna maana hakipo.
Kitu hicho ni nothingness, nothingness ni kutokuwepo chochote, hata vacuum in space si nothingness, kwa sababu ina space. Nothingness yenyewe hata space haina. Haina space, haipo kwenye time. Haipo. Inafikirika tu.
Hiyo nothingness haipo. Kwa kuwa kuwapo kwake ni kutokuwapo.Ikiweza kuwapo nje ya hapo tu, inakuwa si nothingness tena.
Hiyo dhana ya nothingness, kinadharia, ndiyo haina makosa. Kwa sababu ina lowet entropy, hauwezi kupunguza entropy hapo. Huwezi kuharibu, ili uharibu, inabidi uitoe kwenye nothingness.
Hiyo nothingness ndiyo haina mapungufu.
Kitabu cha kusoma ni "Why Does The World Exist: An Existential Detective Story" cha Jim Holt.
Kuna chombo chochote kilichotumwa kwenye jua,au ni nadharia tu ulizoamua kuzibugia Kama dawa!?Jua linateketea kama kuni inayochoma moto, katika mchakato wa nuclear fusion.
Na katika miaka bilionin 5 ijayo litaanza kufa, na kabla ya miaka bilionin10 ijayo litazimika nankufa na kutoka nje ya Milky Way Galaxy.
Pia lina sunspots, lina mawaa, halipo perfect, lina kasoro kibao sehemu nyingine zina joto zaidi ya nyingine.
Mkuu,Huamini uwepo wa Mungu lakini unaamini uwepo wa Yesu, yani huli nyama ilihali unakunywa mchuzi au supu ya nyama.
Duniani wajinga hawawezi kuisha kamwe [emoji38]
Kwani uwepo wa Yesu kunahusiana vipi na uwepo wa Mungu?Huamini uwepo wa Mungu lakini unaamini uwepo wa Yesu, yani huli nyama ilihali unakunywa mchuzi au supu ya nyama.
Duniani wajinga hawawezi kuisha kamwe [emoji38]
Ukiwa pwani ya Cameroon jua huzama baharini,ukiwa coco beach jua huchomoza baharini,ukiwa kwenye huo mji wenye ziwa la tope aliofika huyo msafiri,jua huzama kwenye ziwa la topeHebu nipe summary. Maana hapa tunaongelea kasoro. Wewe umesema Quran haina kasoro.
Ndio Quran inasema hivyo? Huoni hiyo ndiyo kasoro?Ukiwa pwani ya Cameroon jua huzama baharini,ukiwa coco beach jua huchomoza baharini,ukiwa kwenye huo mji wenye ziwa la tope aliofika huyo msafiri,jua huzama kwenye ziwa la tope
Sikutaka kusema hilo, wala hata hujaelewa nilichoandika.Ungesema kwa kifupi kwamba upungufu na ukamilifu havipo isipokua mahitaji ndiyo huviumba kungekua na shida gani?
Ndiyo maana nilisema limeshaelezwa Sana,ukataka summary...unaleta mdahalo,tafuta wa kufanya nae mdahaloNdio Quran inasema hivyo?
Utaandika tu utake usitakeSikutaka kusema hilo, wala hata hujaelewa nilichoandika.
Unanilazimisha niandike unavyotaka wewe, wakati umeandika kitu tofauti na nilichoandika mimi.
Usinilazimishe kuandika unavyotaka wewe.
Hususan kama hata hujaelewa nilichoandika.
Hapa tupo kwenye kuongelea kasoro. Huoni hayo uliyoyaeleza kuhusu Quran tukufu ni kasoro zinapingana na uhalisia?Ndiyo maana nilisema limeshaelezwa Sana,ukataka summary...unaleta mdahalo,tafuta wa kufanya nae mdahalo
Wewe hata hujui unataka kusema nini.Utaandika tu utake usitake