Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Ni Mungu peke yake tu
 
Yesu ana kasoro.

Aliwachia nguruwe wasio na kosa waangukie ziwani na kufa.

Angekuwa anaishi leo watu wa PETA (People for the Ethical Treatment of Animals) wangemshitaki kwa ukatili wake dhidi ya wanyama.
Huamini uwepo wa Mungu lakini unaamini uwepo wa Yesu, yani huli nyama ilihali unakunywa mchuzi au supu ya nyama.

Duniani wajinga hawawezi kuisha kamwe [emoji38]
 
uran imejaa contradictions zinazoonesha mapungufu ya Uislam.
Tangu Jana nimekwambia weka contradictions,hujaweka imebaki kuimba pambio la contradictions
 
Jua halina kasoro, ni chanzo cha maisha duniani.
Jua linateketea kama kuni inayochoma moto, katika mchakato wa nuclear fusion.

Na katika miaka bilionin 5 ijayo litaanza kufa, na kabla ya miaka bilionin10 ijayo litazimika nankufa na kutoka nje ya Milky Way Galaxy.

Pia lina sunspots, lina mawaa, halipo perfect, lina kasoro kibao sehemu nyingine zina joto zaidi ya nyingine.
 
Hebu tueleze Quran inaelezea nini kuhusu kuzama kwa jua.
Hilo limeelezwa Sana labda Kama si mfuatiliaji,na halina uhusiano na contradictions...labda Kama hujui maana ya contradictions
 
Hilo limeelezwa Sana labda Kama si mfuatiliaji,na halina uhusiano na contradictions...labda Kama hujui maana ya contradictions
Hebu nipe summary. Maana hapa tunaongelea kasoro. Wewe umesema Quran haina kasoro.
 
Ungesema kwa kifupi kwamba upungufu na ukamilifu havipo isipokua mahitaji ndiyo huviumba kungekua na shida gani?
 
Kuna chombo chochote kilichotumwa kwenye jua,au ni nadharia tu ulizoamua kuzibugia Kama dawa!?
 
Huamini uwepo wa Mungu lakini unaamini uwepo wa Yesu, yani huli nyama ilihali unakunywa mchuzi au supu ya nyama.

Duniani wajinga hawawezi kuisha kamwe [emoji38]
Mkuu,

Kwani watu wote wanaokubali Yesu alikuwepo wanakubali alikuwa Mungu?

Mbona Wayahudi wenyewe ambao wamemuona Yesu tangu anazaliwa hawakubali kwamba ni Mungu?

Mbona Waislamu hawakubali kwamba Yesu ni Mungu?

Mbona Mrumi Tacitus kamuandika Yesu katika historia, lakini hakuamini kwamba Yesu ni Mungu?

Ushawahi kumsoma Tacitus?

Hoja yako haina mantiki, umefanya kama vile kukubali Yesu alikuwepo ni lazima ukubali Yesu ni Mungu.


Logical non sequitur.
 
Hebu nipe summary. Maana hapa tunaongelea kasoro. Wewe umesema Quran haina kasoro.
Ukiwa pwani ya Cameroon jua huzama baharini,ukiwa coco beach jua huchomoza baharini,ukiwa kwenye huo mji wenye ziwa la tope aliofika huyo msafiri,jua huzama kwenye ziwa la tope
 
Ukiwa pwani ya Cameroon jua huzama baharini,ukiwa coco beach jua huchomoza baharini,ukiwa kwenye huo mji wenye ziwa la tope aliofika huyo msafiri,jua huzama kwenye ziwa la tope
Ndio Quran inasema hivyo? Huoni hiyo ndiyo kasoro?
 
Ungesema kwa kifupi kwamba upungufu na ukamilifu havipo isipokua mahitaji ndiyo huviumba kungekua na shida gani?
Sikutaka kusema hilo, wala hata hujaelewa nilichoandika.

Unanilazimisha niandike unavyotaka wewe, wakati umeandika kitu tofauti na nilichoandika mimi.

Usinilazimishe kuandika unavyotaka wewe.

Hususan kama hata hujaelewa nilichoandika.
 
Sikutaka kusema hilo, wala hata hujaelewa nilichoandika.

Unanilazimisha niandike unavyotaka wewe, wakati umeandika kitu tofauti na nilichoandika mimi.

Usinilazimishe kuandika unavyotaka wewe.

Hususan kama hata hujaelewa nilichoandika.
Utaandika tu utake usitake
 
Ndiyo maana nilisema limeshaelezwa Sana,ukataka summary...unaleta mdahalo,tafuta wa kufanya nae mdahalo
Hapa tupo kwenye kuongelea kasoro. Huoni hayo uliyoyaeleza kuhusu Quran tukufu ni kasoro zinapingana na uhalisia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…