Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

Je, ni kitu gani ambacho hakina kasoro kabisa duniani?

You are very wrong rafiki.
Kumuelewa Kiranga inabidi na wewe upstairs pawe vizuri kidogo ila ukiwa empty set kama mimi hutamuelewa.

Kiranga sio wa kawaida sema tu namna anavyoongelea Mungu imefanya baadhi ya watu wachukulie negative kwa kila anachochangia.

Pia kinachofanya aonekane mbishi ni kwa sababu ya uelewe wake mkubwa katika mambo mengi ambayo wengi wetu tunafikiri tunayajua ila hatuyajui.

Trust me hii JF nzima watu wanaoweza kum challenge Kiranga sidhani kama wanafika 10.

Najifunza mengi kupitia Kiranga
Kiranga ni mtu safi sana wa kupanuana mawazo. Tatizo lake kubwa ni kupinga kila hoja akidhani kuwa yeye ni sahihi zaidi kuliko wengine.
Akiona amebanwa sana na maswali, anaanzisha hoja nyingine ili kuvuruga majadala tangulizi.
 
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.

Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.

Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.

Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu

Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Ulimwengu wa roho
Muda na wakati
Pumzi
 
Huyo ni troll anaugulia kuwa kwenye ignore list.

Kujibizana nami ni privilege, sio right.

Naweza kuiondoa muda wowote kwa mtu yeyote.

Mtu akishusha viwango vya mazungumzo na kunikosea heshima ya kawaida tu, namuweka ignore list bila kuona tabu.

Hususan nikiona troll analeta ugomvi na tunaenda kutukanana na kuchafua mazungumzo tu.

Augulie tu maumivu ya ku abuse privilege ya kujibizana nami.
Mimi nitukane matusi yote wala hayanipunguzii chochote isipokuwa ukweli upokee kama ulivyo tu [emoji16]
 
Sawa, hata haya maandishi hapa ni images tu, it's just theories, kwa hiyo acha kujibizana na mimi.

Kwanza hata sipo, it's just theories.
Hakuna scientific fact yoyote kuhusu jua,ni nadharia tu kwamba baada ya miaka 9b halitokuwepo,au lilitokea miaka 5b iliyopita...ni yaleyale tu ya binaadam alikua nyani akanyumbulika Hadi kuwa ngulumbili mwenye fikra pevu,ni guesswork
 
Natafuta kitu ambacho hakina kasoro hapa duniani, kitu kikamilifu kwa 100% kitu ambacho huwezi kukuta mawaa ndani yake.

Nimeangalia kama dini, zote zinamapungufu ndani yake.

Kama ni elimu zote zina mapungufu ndani yake, zimekosa majibu mengi.

Kama ni sera za vyama, sera za vuama vyote vimejaa mapungufu

Kama ni kazi za sanaa, zote zina kasoro.
Hakuna kitu chenye kasoro hapa duniani. Kila kitu kipo katika ubora wake kamili. Haijalishi, hata kama hujakipenda, lakini kila kitu kiko kwenye utimilifu wake. Kasoro za mapokeo yako dhidi ya kitu fulani, kusiathiri utimilifu wake.

Vitu vyote viko kwenye ubora wake. Hakuna kasoro.
 
Hakuna kitu chenye kasoro hapa duniani. Kila kitu kipo katika ubora wake kamili. Haijalishi, hata kama hujakipenda, lakini kila kitu kiko kwenye utimilifu wake. Kasoro za mapokeo yako dhidi ya kitu fulani, kusiathiri utimilifu wake.

Vitu vyote viko kwenye ubora wake. Hakuna kasoro.
Kumbe mambo ndio yako hivyo?
 
Hakuna kifo pasi na muda.. Muda ndio master of universe.
Ukitaka kukwepa kifo, kwepa muda.
Hahahahaah!

Sasa ukikwepa muda si ndio hautaexist kabisa.

Maana time is a measure of existence kwa sisii viumbe, without time we do not exist- According to muvi Lucy

Lakini tena without time that ting is limitless aah tuyaache hayo. Lakini jua tu ukiushinda muda hautaexist tena kama kiumbe.
 
It is true, as you appose the Existence of God, that implies (in your imagination) God is a mere nothingness and so perfect.

Nothingness=perfection, God is perfect and can create every thing from the nothingness.
Very very true hapa umetumia kuvaa viatu vya Kiranga safi sana.

Amesema nothingness is perfect and we all agree.

Let me add nothingness is in everything; songa aliwah sema 'sifuri ndo ya kwanza, moja ni ya pili'

Na Kiranga nadhani haikatai kusema kwamba kwa kila kitu kilichopo kuna utupu. Nothinngness is in everything. Lakini pia haikatai kusema kuwa kila kilichopo kipo katika utupu. Yaani everything sits over nothing.

Ndiyo uelewe somo kwamba sisi ndani yake naye ndani yetu.

Everything is nothing and nothing IS everything. Smell a contradiction sir? Hahahahaaah utaerewa tuu🤣🤣.
 
If God is nothing how did He manage to create out of nothing? Nothing doesn't exist then God doesn't exist! God is just pure imagination in your mind.
 
Very very true hapa umetumia kuvaa viatu vya Kiranga safi sana.

Amesema nothingness is perfect and we all agree.

Let me add nothingness is in everything; songa aliwah sema 'sifuri ndo ya kwanza, moja ni ya pili'

Na Kiranga nadhani haikatai kusema kwamba kwa kila kitu kilichopo kuna utupu. Nothinngness is in everything. Lakini pia haikatai kusema kuwa kila kilichopo kipo katika utupu. Yaani everything sits over nothing.

Ndiyo uelewe somo kwamba sisi ndani yake naye ndani yetu.

Everything is nothing and nothing IS everything. Smell a contradiction sir? Hahahahaaah utaerewa tuu🤣🤣.
Hapa unalazimisha.

If nothingness does not exist, how can everything have nothingness?

Kinadharia unaweza kusema hivyo, lakini practically, nothingness and something cannot coexist.

You either have something or you have nothingness (non existence). These two cannot coexist at the same time at the same place.

Because nothingness does not exist. You can't have both existence and non existence.
 
Hakuna scientific fact yoyote kuhusu jua,ni nadharia tu kwamba baada ya miaka 9b halitokuwepo,au lilitokea miaka 5b iliyopita...ni yaleyale tu ya binaadam alikua nyani akanyumbulika Hadi kuwa ngulumbili mwenye fikra pevu,ni guesswork
Ukiondoa habari za jua kuna scientific fact yoyote? Au sayansi yote ni uongo pia?
 
Back
Top Bottom