Je, ni kwa nini Mungu aliamua kubadili ahadi yake kwa waumini wake kwenye Quran?

Je, ni kwa nini Mungu aliamua kubadili ahadi yake kwa waumini wake kwenye Quran?

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.

Kwa msingi huo tukifuata mtiririko wa Vitabu vya Mungu, kuna agano la kale, agano jipya na Quran.

Ukisoma Agano la kale, hakuna concrete promise ambayo mungu aliitoa kwa watu watakaokufa na kwenda mbinguni, maelekezo mengi yalikua centred kwa waisraeli na makabila yake, ni ahadi za mungu exclusively kwa waisraeli. Ahadi nyingine ilikua ni ujio wa masia. Pia kwenye agano la kale mungu alikua mkatili sana, mwenye hasira na asie na huruma, uki mess up umekwisha. No mercy.

Agano jipya akaja Bwana Yesu, yeye mafundisho yake 99.9% yalikua centred kwenye upendo, kupendana, kuhurumiana na pia ahadi ya waumini wake kwenda Mbinguni kumuona Mungu. Kuonyesha mungu anatupenda watu wake, anatujali, tutubu, tuombe toba, nk. Agano hili lilionyesha mungu kama aleijaa upendo, huruma na msamaha.

Mafundisho mengi kuhusu Mbinguni aliyatoa Bwana Paulo kwenye agano jipya na ahadi nyingi za mbinguni zinaongelea kuimba na kucheza na kufurahi na kufutwa machozi ya kupumzishwa na adha na madhira ya Duniani.

Ukija kwenye Quran, ama updated version ya Agano jipya unakutana na vituko kidogo, kwanza Mungu anaonekana yuko so frasturated, amechanganyikiwa, amevurugwa, hana huruma, hacheki na mtu na mambo kama hayo. Mbaya zaidi this time akatoa ahadi ya ngono na ulevi wa kupindukia huko mbinguni. Kwamba mbingu itakua imejaa madanguro na mito ya pombe, ni ulevi na kupigana miti tu.

Je, mungu kubadilika badilika kuhusu ahadi zake kwa binadamu ni kutokana na binadamu kutokumuelewa kwenye maagano ya zamani ama amegundua kua wanadamu wanapenda sana ngono hivyo kwenye last version yake ndio akawaahidi kua wakimtii watapewa hiyo zawadi?
 
kuna shda kwenye uelewa wa biblia.biblia haipingani bali akili zetu ndyo imekuwa contradict.the last MESAGE of GOD and prophecy are found in bible only.hakuna kitabu kingne zaidi xa hapo ni hekaya
 
Toa aya yoyote inayoelezea huu upumbavu ulio andika

Msikilize expert hapa akielezea na kwa maandiko. Mbinguni itakua ni sehemu ya show show, ni kupigana miti mwanzo mwisho, wanawake wazuri wazuri tu kila mtu anapewa 72. Mbinguni itakua ni madanguro kila kona.

Mimi mwenyewe natamani niende huko nikajipugie miti wanawake wazuri nitakaopewa. Mbinguni wanawake watanikoma.
 
Hivi nabii wa Quran alitabiriwa ? Au aliamua kujiita nabii yeye mwenyewe
Alafu manabii wote aliowatolea mfano katika Quran ni Waisraeli , Kwa nini yeye tu mwarabu? MUNGU hakuona Asia na Afrika
Mbaya zaidi anachuki na hao Waisraeli
 
Nipoteze bando na muda wangu kumsikiliza huyo
Unachokifanya wewe ni kutotaka kusikiliza usiyoyataka bila kujali uhalisi wake. Yaani kitaalamu tunaita conservatism, kufanya kila jitihada za kuhakikisha hutaki kuelewa ukweli kwa kua wewe huupendi ama unaoungana na misimamo yako. Ignoring the information that contradicts your opinion.
 
Unachokifanya wewe ni kutotaka kusikiliza usiyoyataka bila kujali uhalisi wake. Yaani kitaalamu tunaita conservatism, kufanya kila jitihada za kuhakikisha hutaki kuelewa ukweli kwa kua wewe huupendi ama unaoungana na misimamo yako. Ignoring the information that contradicts your opinion.
Utajuaje kama anachokisema nimeshakisikia chamsingi kwa sasa kila mtu abaki na Imani yake imani ni kila mtu anayake ndio maana tunatofautiana vipawa
 
Back
Top Bottom