Je, ni kwa nini Mungu aliamua kubadili ahadi yake kwa waumini wake kwenye Quran?

Je, ni kwa nini Mungu aliamua kubadili ahadi yake kwa waumini wake kwenye Quran?

Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.

Kwa msingi huo tukifuata mtiririko wa Vitabu vya Mungu, kuna agano la kale, agano jipya na Quran.

Ukisoma Agano la kale, hakuna concrete promise ambayo mungu aliitoa kwa watu watakaokufa na kwenda mbinguni, maelekezo mengi yalikua centred kwa waisraeli na makabila yake, ni ahadi za mungu exclusively kwa waisraeli. Ahadi nyingine ilikua ni ujio wa masia. Pia kwenye agano la kale mungu alikua mkatili sana, mwenye hasira na asie na huruma, uki mess up umekwisha. No mercy.

Agano jipya akaja Bwana Yesu, yeye mafundisho yake 99.9% yalikua centred kwenye upendo, kupendana, kuhurumiana na pia ahadi ya waumini wake kwenda Mbinguni kumuona Mungu. Kuonyesha mungu anatupenda watu wake, anatujali, tutubu, tuombe toba, nk. Agano hili lilionyesha mungu kama aleijaa upendo, huruma na msamaha.

Mafundisho mengi kuhusu Mbinguni aliyatoa Bwana Paulo kwenye agano jipya na ahadi nyingi za mbinguni zinaongelea kuimba na kucheza na kufurahi na kufutwa machozi ya kupumzishwa na adha na madhira ya Duniani.

Ukija kwenye Quran, ama updated version ya Agano jipya unakutana na vituko kidogo, kwanza Mungu anaonekana yuko so frasturated, amechanganyikiwa, amevurugwa, hana huruma, hacheki na mtu na mambo kama hayo. Mbaya zaidi this time akatoa ahadi ya ngono na ulevi wa kupindukia huko mbinguni. Kwamba mbingu itakua imejaa madanguro na mito ya pombe, ni ulevi na kupigana miti tu.

Je, mungu kubadilika badilika kuhusu ahadi zake kwa binadamu ni kutokana na binadamu kutokumuelewa kwenye maagano ya zamani ama amegundua kua wanadamu wanapenda sana ngono hivyo kwenye last version yake ndio akawaahidi kua wakimtii watapewa hiyo zawadi?
Huwa sishiriki mijadala ya Aina hii, Kwa heri.
 
Katika hayo maagano ya kale na jipya lipi ni injili.
Hakuna mahala quraani imekubali agano la kale wala jipya bali ni INJILI.
Mkuu unajua Torati na Zaburi zinapatikana katika agano lipi? Je, unajua Injili inapatikana kwenye agano lipi?
Kwa kifupi kitabu chenu ni cha kuungaunga sana ndiyo maana maandiko ya kitabu chenu chote ni Copy and Paste ya Agano la kale.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Torati,
Mkuu unajua Torati na Zaburi zinapatikana katika agano lipi? Je, unajua Injili inapatikana kwenye agano lipi?
Kwa kifupi kitabu chenu ni cha kuungaunga sana ndiyo maana maandiko ya kitabu chenu chote ni Copy and Paste ya Agano la kale.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Torati, zaburi na Injili vilikuja kwa manabii haya niambie agano la kale lilikujfdsa kwa nabii gani?
 
Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.

Hapo denetensi ya mwisho umepotosha, sijuwi umeutoa wapi ujasiri wa kuisemea uongo Qur'an kwa kiwango hicho.

Qur'an ni kitabu cha pekee na kinachojitegemea na hakina uhusiano wowote na biblia wala na kitabu kingine chochote.
 
Hapo denetensi ya mwisho umepotosha, sijuwi umeutoa wapi ujasiri wa kuisemea uongo Qur'an kwa kiwango hicho.

Qur'an ni kitabu cha pekee na kinachojitegemea na hakina uhusiano wowote na biblia wala na kitabu kingine chochote.
kwenye QURAN tukufu na BIBLIA takatifu kuna mambo yanaenda sawa,mfano musa alikuja TAIRAT{torati ipo kotekote kwenye bible na quran,,,ISSA au YESU alikuja na INJILI nayo ipo kotekote.....alaf kuna zaburi kotekote.....kwenye suratul mariam,quran inamzungumzia mama yake ISSA kama mwanamke mtakatifu kuliko wanawake wote na pia hakuonja umauti...na hii ipo kote kote......"soma vitabu sio unapinga kila ki2 sheikh wangu"
 
Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.
Naam, Qur'an ni kitabu cha mwisho katika vitabu walivyopewa Mitume wa Mwenyezi Mungu kwa Mtume wake wa mwisho Muhammad (swala na salaam ziwe juu yake.)

Lakini Qur'an sio updated version ya Biblia. Na fahamu pia hakuna kitabu kinaitwa Biblia kilichoshushwa kwa Mtume yeyote.

Kama unakusudia kitabu alichopewa Yesu kama muongozo kwa watu wake basi kitabu chake kinaitwa Injili. Na cha Nabii Mussa kinaitwa Taurat.
Kwa msingi huo tukifuata mtiririko wa Vitabu vya Mungu, kuna agano la kale, agano jipya na Quran.
Miongoni mwa vitabu vilivyoshushwa kwa Mitume kama miongozo kwa watu ni pamoja na Zaburi kwa Nabii Daud, Taurat kwa Nabii Mussa, Injili kwa Nabii Isa (ninyi mnamwita Yesu), Qur'an kwa Mtume Muhammad.

Hakuna kitabu kilichoshushwa kwa mtume yeyote kinachoitwa Agano jipya au Agano la zamani.
Ukisoma Agano la kale, hakuna concrete promise ambayo mungu aliitoa kwa watu watakaokufa na kwenda mbinguni,
Hakuna kitabu kilicholetwa kwa mitume ambacho hakijatoa maelezo kwa watu kwamba nini kitatokea ikiwa wataasi uongozo au nini kitatokea ikiwa wanafanyia kazi miongozo.
maelekezo mengi yalikua centred kwa waisraeli na makabila yake, ni ahadi za mungu exclusively kwa waisraeli. Ahadi nyingine ilikua ni ujio wa masia.
Naam, mitume wote akiwemo Mussa, Yesu na wengineo kabla yao walitumwa kwa watu maalum.
Isipokuwa Mtume Muhammad ambaye ndio mwisho wa Mitume amatumwa kwa wanadamu wote. Na hiyo ni miongoni mwa tofauti iliyopo kati ya Muhammad na mitume wengine waliopita kabla yake.
Pia kwenye agano la kale mungu alikua mkatili sana, mwenye hasira na asie na huruma, uki mess up umekwisha. No mercy.
Mwenyezi Mungu ni mpole na mwenye huruma kwa waja wema na ni mkali wa kuadhibu kwa wenye kuasi baada ya kubainikiwa na uongofu yaani kuonywa na Mitume kupitia vitabu walivyopewa.

Hataadhibiwa kiumbe isipokuwa mpaka Mwenyezi Mungu atume muonyaji yaani Mtume.
Agano jipya akaja Bwana Yesu, yeye mafundisho yake 99.9% yalikua centred kwenye upendo, kupendana, kuhurumiana na pia ahadi ya waumini wake kwenda Mbinguni kumuona Mungu. Kuonyesha mungu anatupenda watu wake, anatujali, tutubu, tuombe toba, nk.
Vipi kama mtu ataamua kupitia hilo uliitalo Agano jipya la Yesu asitubu, asiombe toba mwisho wake mbinguni utakiwaje?
Hapana shaka hatafanana na wale wenye kuomba toba.
Agano hili lilionyesha mungu kama aleijaa upendo, huruma na msamaha.
Daima Mwenyezi Mungu ni mwingi wa huruma na mwingi wa kusamehe kwa kila mwenye kurejea kwake kwa kuomba toba.
Mafundisho mengi kuhusu Mbinguni aliyatoa Bwana Paulo kwenye agano jipya na ahadi nyingi za mbinguni zinaongelea kuimba na kucheza na kufurahi na kufutwa machozi ya kupumzishwa na adha na madhira ya Duniani.
Kwa kifupi maelezo yako haya ni sawa na kusema ni kustarehe kama malipo ya kufuata miongozo ya Mwenyezi Mungu.

Ukija kwenye Quran, ama updated version ya Agano jipya unakutana na vituko kidogo, kwanza Mungu anaonekana yuko so frasturated, amechanganyikiwa, amevurugwa, hana huruma, hacheki na mtu na mambo kama hayo.
Hizo ni sifa za uongo unamzushia Mwenyezi Mungu. Hebu toa ushahidi katika dai lako kuwa yuko frastuated, amechanganyikiwa, hana huruma, amevurugwa.
Mbaya zaidi this time akatoa ahadi ya ngono na ulevi wa kupindukia huko mbinguni. Kwamba mbingu itakua imejaa madanguro na mito ya pombe, ni ulevi na kupigana miti tu.
Miongoni mwa starehe kubwa kabisa kwa viumbe wanadamu, wanyama hata wadudu ni tendo la ngono.

Unaona ajabu kusikia kuwa huko Peponi miongoni mwa starehe ni wanaume kuozeshwa wanawake wazuri wazuri, lakini huoni ajabu kwamba hilo tendo la ngono ni starehe kubwa hapa duniani?
Je, mungu kubadilika badilika kuhusu ahadi zake kwa binadamu ni kutokana na binadamu kutokumuelewa kwenye maagano ya zamani ama amegundua kua wanadamu wanapenda sana ngono hivyo kwenye last version yake ndio akawaahidi kua wakimtii watapewa hiyo zawadi?
Hakuna mabadiliko ya ahadi. Hata wewe ukifuata muongozo sahihi na ukawa ni wa Peponi huko utastarehe kwa kila aina ya starehe ambazo jicho halijapata kuona, sikio halijapata kusikia na moyo haujapata kuwaza namna uzuri ulivyo.
 
Ulevi na kupigana miti [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kitu sielewi, mashehe mbona wanakataa ulevi, au mpaka mbinguni. Daa! madogo hawakawii kujilipua wakawakute mabikila 72 wakiwasubiri. sasa hawa dada zetu wakifika huko wanapewa nafasi gani? Kazi inakua ukifa ukute ndivyo sivyo, harafu Mungu alivyo fundi ukitoka hakuna kurudi nyuma. Ndio hapo utajua hukujia au ulipatia.
 
Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.

Kwa msingi huo tukifuata mtiririko wa Vitabu vya Mungu, kuna agano la kale, agano jipya na Quran.

Ukisoma Agano la kale, hakuna concrete promise ambayo mungu aliitoa kwa watu watakaokufa na kwenda mbinguni, maelekezo mengi yalikua centred kwa waisraeli na makabila yake, ni ahadi za mungu exclusively kwa waisraeli. Ahadi nyingine ilikua ni ujio wa masia. Pia kwenye agano la kale mungu alikua mkatili sana, mwenye hasira na asie na huruma, uki mess up umekwisha. No mercy.

Agano jipya akaja Bwana Yesu, yeye mafundisho yake 99.9% yalikua centred kwenye upendo, kupendana, kuhurumiana na pia ahadi ya waumini wake kwenda Mbinguni kumuona Mungu. Kuonyesha mungu anatupenda watu wake, anatujali, tutubu, tuombe toba, nk. Agano hili lilionyesha mungu kama aleijaa upendo, huruma na msamaha.

Mafundisho mengi kuhusu Mbinguni aliyatoa Bwana Paulo kwenye agano jipya na ahadi nyingi za mbinguni zinaongelea kuimba na kucheza na kufurahi na kufutwa machozi ya kupumzishwa na adha na madhira ya Duniani.

Ukija kwenye Quran, ama updated version ya Agano jipya unakutana na vituko kidogo, kwanza Mungu anaonekana yuko so frasturated, amechanganyikiwa, amevurugwa, hana huruma, hacheki na mtu na mambo kama hayo. Mbaya zaidi this time akatoa ahadi ya ngono na ulevi wa kupindukia huko mbinguni. Kwamba mbingu itakua imejaa madanguro na mito ya pombe, ni ulevi na kupigana miti tu.

Je, mungu kubadilika badilika kuhusu ahadi zake kwa binadamu ni kutokana na binadamu kutokumuelewa kwenye maagano ya zamani ama amegundua kua wanadamu wanapenda sana ngono hivyo kwenye last version yake ndio akawaahidi kua wakimtii watapewa hiyo zawadi?
Usijaze watu ujinga uliojazwa nao. Qur'an siyo "updated version" ya kitabu chochote kile. Qur'an ipo unique.
 
Msikilize hapa Shehe akielezea mbinguni kutakua na mito ya pombe isiyochacha, pombe tamu pombe safi unalewa utakavyo.
Acha ubwege bwamdogo mbona yesu aligonga vodka ya mvinyo mbele ya wanafunzi wake na husemi kitu mubwa wewe
 
Aisee.

Kushushwa ndio maana yake nini mkuu?

Lugha ya asili maana yake nini? Huyo mungu ambae ameumba makabila yote, alishindwa nini kutoa kitabu cha kila kabila ama haelewi kabila lolote zaidi ya kiarabu?

Kwamba mungu anaamini quran isiposomwa kiarabu basi inapoteza maana yake ama dhana yake sio? Huyo ni mungu ana kibwengo? Maana kama binadamu tu, Isaack Newton ameandika kitabu chake cha physics kwa lugha ya Kirumi lakini hata ukitafsiri kijaluo maana yake ni ile ile, Allah yeye anaamini ukitafsiri kutabu chake kitapoteza maana, kwa maaana hiyo Newton ana akili kuliko Allah, sio?

Mnaosema allah alimshusia Mtume kitabu, alishusha kwenye mafurushi ama vilikua vinadondoka anaokota kimoja kimoja ama kuna winchi ilishusha kutoka mbinguni hadi kwa ntume ama ilikuaje? Original ya hivyo vitabu viko wapi? Vina handwriting ya mungu ama?

Ukisema kushushwa eti kilishushwa kwenye kichwa cha Mohamed ni ishara kwamba hamtumii akili kufikiri, mbatumia masa.buli.

Bila shaka kiwango cha ufahamu wako katika linguistic ni sifuri ndo maana hujui hata tofauti au upungufu unao patikana kilugha inapo tafsiriwa lugha moja kwenda lugha nyingine. pia hata kiswahili chenyewe hujui akili yako ikisikia neno kushushwa kwa ujinga wako unawaza lazima kuwepo na winch[emoji1] kwa hiyo mvua hushushwa na winch ? kweli KATONTA mnastaajabisha na ndio maana mwakokotwa kama mizoga.
Pia weka akilini mwako Allah ndio alioziumba lugha zote hizi ulimwenguni na anazielewa kabla ya mbegu iliochomokea wewe kuumbwa na sisi Waislam tumeambiwa tujitahidi kuifunza lugha za ulimwenguni kiasi cha uwezo wako ili upate kuelewa uhalisia ya maneno ya lugha hiyo sasa sishangai kuwa ufinyu wa akili yako ukafananisha kitabu cha kirumi utafsiri kwa kijaluo utapata maana halisi ya lugha ya kirumi ktk kijaluo,
kuna masula mengine msiyakurupikie ili kuonyesha ni mjinga kiasi gani kwanza tafuta elimu yake au waulize wajuzi wa fani ya lugha hivyo ndivyo wanavyo fanya watu wenye afya nzuri ya akili
 
Waamini wa Quran wanaamini kwamba Quran ndio kitabu cha mwisho cha mwenyezi Mungu kwa watu hapa Duniani, kwamba Quran ni updated version ya Biblia.

Kwa msingi huo tukifuata mtiririko wa Vitabu vya Mungu, kuna agano la kale, agano jipya na Quran.

Ukisoma Agano la kale, hakuna concrete promise ambayo mungu aliitoa kwa watu watakaokufa na kwenda mbinguni, maelekezo mengi yalikua centred kwa waisraeli na makabila yake, ni ahadi za mungu exclusively kwa waisraeli. Ahadi nyingine ilikua ni ujio wa masia. Pia kwenye agano la kale mungu alikua mkatili sana, mwenye hasira na asie na huruma, uki mess up umekwisha. No mercy.

Agano jipya akaja Bwana Yesu, yeye mafundisho yake 99.9% yalikua centred kwenye upendo, kupendana, kuhurumiana na pia ahadi ya waumini wake kwenda Mbinguni kumuona Mungu. Kuonyesha mungu anatupenda watu wake, anatujali, tutubu, tuombe toba, nk. Agano hili lilionyesha mungu kama aleijaa upendo, huruma na msamaha.

Mafundisho mengi kuhusu Mbinguni aliyatoa Bwana Paulo kwenye agano jipya na ahadi nyingi za mbinguni zinaongelea kuimba na kucheza na kufurahi na kufutwa machozi ya kupumzishwa na adha na madhira ya Duniani.

Ukija kwenye Quran, ama updated version ya Agano jipya unakutana na vituko kidogo, kwanza Mungu anaonekana yuko so frasturated, amechanganyikiwa, amevurugwa, hana huruma, hacheki na mtu na mambo kama hayo. Mbaya zaidi this time akatoa ahadi ya ngono na ulevi wa kupindukia huko mbinguni. Kwamba mbingu itakua imejaa madanguro na mito ya pombe, ni ulevi na kupigana miti tu.

Je, mungu kubadilika badilika kuhusu ahadi zake kwa binadamu ni kutokana na binadamu kutokumuelewa kwenye maagano ya zamani ama amegundua kua wanadamu wanapenda sana ngono hivyo kwenye last version yake ndio akawaahidi kua wakimtii watapewa hiyo zawadi?

Mara nyingi napenda kusema historia tusipoitumia vizuri hupelekea kuiabudu. Na tukiitumia vzr hutuwezesha kupata suluhisho ya changamoto zinazotukabili kwa kuangalia waliopita kama walipata changamoto kama hiyo na waliitatua vp.
Kwa hiyo badala ya kujikita kuisoma historia na kuanza kuikariri na kuiabudu muhimu tunapaswa tuandike historia. Ili vizazi vijavyo vije kutusoma.

Yesu aliamua kuandika historia
Muhamad aliamua kuandika historia.

Historia zao hazitusaidii kwa kuwa sisi tumeamua huzisbudi historia zao badala ya kupita njia waliopita wao.

Ukiuliza ni nani leo yuko tayari kusulubiwa kwa ajili ya wengine. Wakwanza kukataa bila shaka ni wale wanaojiita ni wafuasi wake.

Hii inatokana na mafunzi ya uongo uliotungwa na kuwasingizia viongozi hawa aliamua kubadilisha uongozi.

Yesu Kipambana na warumi na kushindwa. Muhamad akipambana na makuraish na kushinda.

Sasa kizazi chetu hakiko tayari kufata yale wababe hawa waliyafanya.

Tatizo kubwa ni kwa sababu ya kulishwa mafunzo bandia, uongo wa kutungwa..

Ambapo tunaambiwa ninyi leo mkiwasha ubani na kusoma dua za manabii waliopita mungu atapokea na mtaeanda peponi. Wengine wanaambiwa wakiimba na kutokuza bwana mkubwa keshabeba madhambi yako nawe utaenda peponi kuamini kuwa mzigo wako ushabebwa na baba nivushe. Wakati mafunzo ya kweli na yanapimika ni yale yanayosema kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.

Sasa sijui mafundisho ya upendo, huruma kwa dini tutathinitisha vp iwapo hatutendi.
Tukiuliza ni imani gn kwasasa inatesa na kuumiza watu hapa tz na duniani.

Mfano: Rais akiwa Muislam au Akiwa Mkristo. Ni kipindi gani nchi inaingnia ktk taharuki. Ubora wa serikali unategemea itikadi ya kiongozi walio ndani ya Serikali.

Sasa ukitaka kujua mafundisho uliyonayo ni ya yesu au pitia link hizi.







Mwisho niseme kutokana na dhana hii ya kulishwa mafunzo bandia binafsi sikubaliani na hadithi nyingi na hasa za huyo swahaba anaefahamika kama Abu Huraira.

Ni kweli ni miongoni mwa wanafunzi wa mtume lkn kapingwa sana wa wanazuoni wa somo la wakusanyaji wa hadithi. Na kuonekana ana hadithi nyingi bandia. Zikiwemo hii iliyotolewa na mashekhe hawa.

Mkitaka kuujua uislam someni Quran. Hata wayahudi na wakristo wakati wa mtume walikuwa wanamchallenge kupitia Quran na si hadithi zake.

Quran ni kitabu pekee kusichoweza kubadilisha hivyo mafundisho yake ni sahihi na yenye lengo la ukombozi kama ilivyokuwa agano la kale.
Ndio maana anaweza kuona kuna aya ziko bitter.
 
Msikilize hapa Shehe akielezea mbinguni kutakua na mito ya pombe isiyochacha, pombe tamu pombe safi unalewa utakavyo.
Kwamba hapa Duniani wanazuiwa kunywa pombe ila peponi wameandaliwa ya kutosha tena kwenye mito.. tena mwamba anakuambia pombe tamu..na anavyoongea ni kama anaitamani sana
 
Back
Top Bottom