Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimolaaaa
UlimolaaaaHadithi uchwara kama zako peleka buseresere. Watakupa huko na mashemeki!
Hiiiiii bagosha!
Ulimolaaaa!Nilipewa mke huko.
Kauze na wewe huko utopolo wako nani ajuaye?
Hiiiiii bagosha!
Ukibahatika kufika ikwiriri msalimie Nzee mpiliHapana leo Niko off, nipo tu nyumbani hapa Kibiti.
Sawa mkuu, Ramli ni machukizo mbele za Mungu.Wewe ni mjumbe tu umefikisha ujumbe wala huna shida.
Ikwiriri huwa naenda, ila kwa huyo Mzee bado sijapata sababu ya kumuendea. Nikikutana nae njiani nitampa salamu zake toka kwako.Ukibahatika kufika ikwiriri msalimie Nzee mpili
Kuna mtu anauliza "Una uthibitisho gani kuwa alimfilisi?"Kwahiyo Jiwe a kaamua kumfilisi mtu waje wa kitengo[emoji848][emoji848]. Au alikuwa hajui kuwa yupo kwenye list ya POSHO
Ulimolaaaa
Ulimolaaaa!
Mkuu hayo hawakuyaeleza.. vipi unaweza kuchambua/kufafanua kwa manufaa ya wanajukwaa?Hawakueleza yupo kwenye aina gani ya mission 1. Active mission 2. Inactive Mission? Na je kwenye mission perspective waliweza kueleza ni 1. Long term perspective with long effect au 2. Short term perspective with immediate effect?
Au waliielezeaje hiyo Mission iko katika sura gani hasa.
AmenMungu Ampumzishe Panapostahiki.
Ulimolaaaa!Uwepo wako umesomeka vyema hasa kwenye lile wimbi jipya la wajumbe wapya wapya:
View attachment 1958462
Karibu mjumbe mpya wengi walijaribu ikiwamo kupima maji na hata kututoa kwenye reli.
Hata hivyo usiache kufikisha ujumbe:
View attachment 1958466
Mtamtapika Commando wetu akiwa hai.
Hiyo ndiyo habari yenyewe.
MBOWE ni mpinzani halisi
Usjali mkuu hii ndo jf yetu pendwaSasa Kaka unataka nijitutumue niabikie? Heri kuwa mnyonge mwenye furaha kuliko Mbabe mwenye huzuni kakaangu.
Tujinyenyekeze, na kuchukuliana kwa undugu mara zote.
Asante
Elaborate more plz🙂🙂🙂Shida ni kwamba kwakuwa babaake alikuwa ni "wale jamaa zetu" basi watu wanamuona Freeman nae ni wa kule, hapana jamani
Kuna mtu anasema pengine hela za hotel huko Dubai alikuwa analipwa na "Mdhamini" au "Mwajiri" au "Bosi" wake.Mbona alifungiwa acc zake mpaka akalazimika kuishi hotelini Dubai