Je, ni kweli Israel ilipiga na kuteka mataifa ya Kiarabu kwa siku sita? Sasa inashindwa nini kuwamaliza kikundi kidogo cha Hamas?

Wanauwa watoto, wamama, wazee, vijana halafu unasema wanapiga kwa kuchambua! Kama hujui si bora ukae utulie! Cnn na bbc zimewaharibu enyi wayahudi weusi msio na utu wala huruma
sasa kama wanaolengwa wanajificha kwa watoto utaacha kulenga walikojificha? Inaitwa camouflage wanachofanya hamas ili wasitambuliwe
 
Endeleea kuumia roho, kipigo kitaendelea mpaka Hamas wamalizwe.
Bungo linatemwa kitaalamu sana awamu hii, Hamas washapata moto wao ndiyo kwanza wameanza kurudi nyuma.. wanakimbia Gaza moto unawaka.
 

Attachments

  • IMG_8711.jpeg
    63.9 KB · Views: 3
Siyo kweli bil marekani Israel hatoboi
 

Kumbe mwenzetu ulikuwepo kwenye vita, hongera
 
Hakuna cha guerrilla wala nini israhell ilikua over-rated sana

Majamaa wanapiga hospital magari za wagonjwa shule halaf wanasingizia guerilla war

Israhell yakawaida sana ila ilikua over-rated mnooo
 
Kuna mifumo ya jeshi rasmi inayofahamika na jeshi jingine rasmi?? Hiyo vita nadhani isingeisha kamwe. Au wangekubaliana amani itawale tu kwa sababu wote wanajuana mifumo
 
Haya maneno matupu sijui hua munayapata wapi

Unadhani hizo kambi unazoziona hapo juu ndio unahisi ndio kilele kabisa kwamba watu wameridhika yaani wamejiachia hapo kambi zao zinajulikana hata vita ikizuka mtu anajua anapiga hapa na pale na pale anamaliza

Kama ingekua hivyo tusingekua na ukraine leo hii
 
maana biblia haijawahi ongopa na haitaongopa kamwe.
Mwinjilisti umewahi soma baibo?.

Yohana 14:9 β€œ ,,,,,,,,, Aliyeniona mimi amemwona Baba;…”

Yohana 5:37
Naye Baba aliyenituma amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wowote, wala sura yake hamkuiona.
 
Hiv unajua vita ya kupigana live na vita ya kupigana na anaejificha nyuma ya watu mkuu. Ingekuwa ni live mbona zamani. Au ingekuwa ni kufagia bila kuangalia mtu mbona zamani kaka.
 
Israel ilipigana na conventional armies za Misri, Syria, Jordan ila Hamas sio conventional army yaani ni wapiganaji wa kuvizia tu tena wanaojichanganya na raia hivyo sio rahisi kuwafahamu.

Hamas wanapigana kwa kushambulia kwa kushtukiza na kutokomea kwenye mahandaki tofauti na majeshi kamili.
 
Vita ya siku sita ilikuwa rahisi kwa Israel sababu Israel ilisaidiwa na Mungu.

Hii vita na Hamas imekuwa ngumu sana kwa Israel sababu Israel inasaidiwa na Marekani.

Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na moyoni mwake amemwacha Mungu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
Kichekesho cha kufungulia mwaka...
 
Hadi leo waarabu hawana kabisa hamu ya kupigana nao tena. Hao magaidi wa Hamas wanajitia tu kitanzi angalia Gaza imeisha kabisa sasa watatawala wapi sasa na Gaza hapata kalika tena.πŸ˜›πŸ˜›
 
Na kule Iraq walipigana vita gani kule ukraine napo
Ngoja kwanza na kule libya napo walipigana vita ipi
Kuna mchafuzi fulani hapa hua anataka assad awamalize waasi kumbe hua ngumu eeenh
Haya Taleban walipigana vita ipi nawao wale
Acheni janja janja
 
jiulize kwann mlimpiga Idd Amin ila hamuez wamaliza Alshabab na mmeungana mataifa krb yote ya Afrika , ugaidi ni ngumu kuumaliza labda kama hutozingatia sheria za kimataifa kwa kiwango chini ya 0%
 
Hadi leo waarabu hawana kabisa hamu ya kupigana nao tena. Hao magaidi wa Hamas wanajitia tu kitanzi angalia Gaza imeisha kabisa sasa watatawala wapi sasa na Gaza hapata kalika tena.[emoji14][emoji14]
Hiroshima na Nagasaki panakalika seuze ghaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…