Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Wamekimbia baada ya kukosa Cha ku post 😁😁

Dom haipoi Wala haichachi
 
Nione wivu Wakati sisi tuna project ya dual carriage km 80 na ujenzi soon unaanza[emoji28]πŸ₯Έ

Sent using Jamii Forums mobile app
Iko wapi? πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜

Yaani unazungumzia makaratasi wakati wenzio wanajenga km 120 Sasa hivi apart from ambazo zipo?

Za kwenye makaratasi ni hizo zilizokuchanganya na km 200 Kila upande bila kusahau inner Ring Road..

Mwanza kashindane na Mbeya na Arusha ,Dom hamuiwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…