Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮... mzee wa kuassume .. vyuo vinavyojengwa mwanza... ukizingatia Hali ya hewa na mazingira ya mwanza ni mazuri tegemea kuona poromoko la idadi ya wanafunzi hapo Kalahari.....
Mwanza tuna
CUHAS
SAUT
DIT
IRDP
IFM (Iko kwenye ujenzi)
TIA
mwanza university (Iko kwenye ujenzi)
ardhi university wameshaanza ujenzi
City college
 
Dodoma Ina university Moja ya UDOM ambayo inaoffer expertise training in medical field..msinambie st John ambayo kozi zake nyingi zimefutwa ..
Kweli nimeamini ujinga ni kipaji 😂😂😂eti St John's kozi zake za afya zimefutwa. Ebu tuambie hizi kozi zilifutwa lini👇👇
-bachelor of pharmacy
-bachelor science in nursing
-bachelor in health services management
-medical laboratory sciences
-nursing and midwifery
-Master of Pharmacy in Pharmaceutical Public Health Management
 
Kasome TCU guidebook ya mwaka huu .
 
UDOM pekeyake inachukua wanavyuo elfu 40+ ...Mwanza chuo kikubwa ni SAUT chenye uwezo wa kuchukua wanafunzi elfu 8 vilivyobaki ni matawi ya vyuo vingine😂😂CBE,IRDP n.k
Nakushangaa unaorodhesha vyuo ambavyo hata ujenzi wake haujaanza apo Mwanza.Nikutajie tu baadhi ya vyuo ambavyo ujenzi umeshaanza Dom 👇👇
-Institute of Accountancy Arusha
-IFM
-Chuo cha Utumishi wa Umma
-Chuo Kikuu cha Kanisa la Assemblies of God
-Chuo cha Taifa cha TEHAMA
-Chuo cha Taifa-VETA

....and the list continues kilasiku😀😀
 
Huku kwenye Vyuo unawaonea , wenyewe labda wanaongoza Kwa mitumbwi Mingi 😁😁
 
Nioneshe progress ya ujenzi wa Mwanza University 🤣🤣🤣🤣

Ardhi University inajengwa maporini huko Sengerema yaani ni sawa na kusema Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo.

Hadi City College 😁😁😁😁😁
 
We city college unalichukuliaje unadhani ni kama tu vyuo twenu twa kuokoteleza failure wa mtaani...city college mwanza pamoja na Ile ya dar zinaenda kuwa university..na mwanza wana mradi wa ujenzi wa hospital na kuongeza academic blocks
 
Mshaanzq kutafuta excuse .... sengerema ipo mkoa Gani ...tunakoelekea utasema tunataka vya nyamagana tu maana ndio MCC ,vya kwingine hutaki . .kipigo kipo palepale
 
M
Hivi mwanza iliwakosea nini maana imekua ikishushia uzi, mara arusha vs mwanza mara dodoma vs mwanza.

Sema sio mbaya maana ata wewe umeusema ukweli katika aya zako za mwanzo
Manza ikipata uwanja wa ndege wa kimataifa ujue hiyo mijini itakalishwa benchi bahati mbaya Mwanza haibebwi na serikali katika kukua kwake dodoma ni serikali tupu lakini bado
 
Ongeza
- sekou toure
-bugando
  • uhuru hosp
  • agakhan hosp
-hundu Mandal hosp
-Royal hosp
-Tanzanite hosp
-mwananchi hosp
-CF hosp _ wachina Hawa
-Tanzanite hosp
-kamanga hosp
- mwanza hosp
-rainbow hospital
- n.k
Ongeza Sent Clare hapo hospital ya wa Finland, Nyahingi
 
Huwa wananichekesha sana kilasiku kupost picha za Ziwa Victoria 😂😂...Yaani wangekua na beaches nzuri kama za kule Matema Beach au Mbamba Bay sijui ingekuwaje😂😂😂
Ukitoa Zanzibar na Dsm, hapa nchini hakuna mji una beach kali kama mwanza, leta beach za Dodoma tuzione, Dodoma ni moja ya jiji ambalo halikupi flavor mbalimbali, leta beach za Dodoma au ukakope hizo za matema huko maporini kyela
 
We city college unalichukuliaje unadhani ni kama tu vyuo twenu twa kuokoteleza failure wa mtaani...city college mwanza pamoja na Ile ya dar zinaenda kuwa university..na mwanza wana mradi wa ujenzi wa hospital na kuongeza academic blocks
😆😆Aliyekwambia City College of Health and Allied Sciences haipo Dom nani....idadi ya wanafunzi wote wa City College-Dom Campus haifiki hata robo ya wanafunzi wote wa DECCA-Nala.
Naona unataka kuchekesha umati kusema eti City College inaenda kuwa University endeleeni kuota ndoto za mchana😂😂😂 IFM,CBE,ISW ,DIT zote hazijafikia hadhi ya kupewa University ndio hicho chuo chenu cha kata kitaweza😆😆😆😆
 
Ukitoa Zanzibar na Dsm, hapa nchini hakuna mji una beach kali kama mwanza, leta beach za Dodoma tuzione, Dodoma ni moja ya jiji ambalo halikupi flavor mbalimbali, leta beach za Dodoma au ukakope hizo za matema huko maporini kyela
Wewe uwezo wako wa geography ni mdogo sana ndugu ningekushauri ukabishane Facebook 😆😆....kwa taarifa yako beaches zilizopo Matema Beach ni the best apa Tanzania..kwa urefu na usafi.Na hapo bado sijakutajia long beaches za Msimbati ,Mtwara au Mbaba Bay Nyasa.Tuulize sisi ambao tumesafiri mikoa yote ya Tanzania sio takataka hizo za Mwanza,😂😂😂
 
N
A wasiwasi na elimu yako kama sio exposure... vigezo vya chuo kuwa UNIVERSITY ni vip ?? au hujui ukishakua na wahadhiri wenye elimu kubwa ,ukarekebisha curriculum na kuongeza uwezo kufanya tafiti na shauri chuo kinakuwa na sifa za university..
hizo IFM sijui TIA ni vyuo vikuu vilivyo Kwenye mfumo wa taasisi ndio maana hata wanafunzi wake wanapata mkopo na vinaoffer Hadi masters.. kawadanganye wasiojua
 
Hiyo ndio beach ya dodoma 😃😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…