The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sensa ijayo Mwanza wajiandae kisaikolojia kwa kupoteza hata nafasi yao ya Jiji la watu wengi baada ya Dar..
Hili linawauma kwa kweli mpaka wanatema mapovu ya kususia uzi kisa kuzidiwa, sijuhi tuwasamehe tu maana tunaweza sababisha watu wakadanja kwa kihoroWatakwambia ni render tuu [emoji1][emoji1].Ila Mwanza inatia huruma kiukweli maana ndio ishapokwa hadhi tena.
Jiji limepangika hadi raha hakuna slums kama Mwanza β¨οΈβ¨οΈNajua Dodoma inawakera sana lakini itabidi mnivumilie tu maana hata robo ya uzuri wake bado sijauoneshaView attachment 2086797View attachment 2086799View attachment 2086800View attachment 2086811View attachment 2086812View attachment 2086815View attachment 2086816View attachment 2086817View attachment 2086818View attachment 2086821View attachment 2086828View attachment 2086829View attachment 2086830View attachment 2086831View attachment 2086833View attachment 2086835View attachment 2086836View attachment 2086838View attachment 2086843
Jiji la Dodoma linaendelea na ujenzi wa miradi yake ya vitega uchumi yaani government City complex,Dodoma Hotel nk
View attachment 2086876
View attachment 2086877
View attachment 2086878
View attachment 2086879
View attachment 2086880
View attachment 2086881
View attachment 2086882
View attachment 2086883
Huo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogoDom ndio Jiji pekee baada ya Dar ambapo Mabasi kutoka mikoa yote kuna usafiri wa moja kwa moja.
Kiongozi hii iwe reply yako ya mwisho wenzio tumeshaacha kubishana na hawa wakulungwaπππHuo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogo
Wewe unazungumzia mabasi kwenda mikoani Mwanza kuna mabasi yanaenda kimataifa yaani nchi jirani kama Nairobi-kenya kila siku(modern coach),Kampala-Uganda na Juba Sudani(friends) kila siku,Kigali-Rwanda(friends bus) na Bujumbula-Burundi(Nyeunge bus) kuna meli kubwa za mizigo na mabehewa mwanza-kisumu kenya na mwanza -jinja uganda(Mv Umoja) hii pia inabeba mizigo ya congo inayopitia uganda kama magogo na meli kubwa ya abiria afrika mashariki na kati hiko hatua za mwisho itakuwa inatoka mwanza to jinja uganda na kisumu kenya(mv Mwanza).Kitu kingine unatakiwa kuelewa mwanza ndo soko la hizo nchi ndo maana kunajengwa bandari ya nchi kavu kubwa Tazania na daraja refu kuliko yote afrka mashariki,sgr hadi Mwanza ili kumantain soko hili liendelee kuwa sastainable,Mwanza ina migodi mikubwa ya dhahabu na almas kaa ukijua Mwanza haijawa jiji kwa maneno na vijengo vya wizara kwamba jiji linajengwa kwa mishahara ya wafanyakazi wa serikali huo ni uongo.
View attachment 2087233
View attachment 2087235
View attachment 2087239
View attachment 2087242
πππKumbe kazi yenu kubishana ππKiongozi hii iwe reply yako ya mwisho wenzio tumeshaacha kubishana na hawa wakulungwaπππ
Hata Tanga,Moshi,Kigoma,Mbeya,Arusha nk kuna mabusi ya kwenda mikoani..Huo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogo
Wewe unazungumzia mabasi kwenda mikoani Mwanza kuna mabasi yanaenda kimataifa yaani nchi jirani kama Nairobi-kenya kila siku(modern coach),Kampala-Uganda na Juba Sudani(friends) kila siku,Kigali-Rwanda(friends bus) na Bujumbula-Burundi(Nyeunge bus) kuna meli kubwa za mizigo na mabehewa mwanza-kisumu kenya na mwanza -jinja uganda(Mv Umoja) hii pia inabeba mizigo ya congo inayopitia uganda kama magogo na meli kubwa ya abiria afrika mashariki na kati hiko hatua za mwisho itakuwa inatoka mwanza to jinja uganda na kisumu kenya(mv Mwanza).Kitu kingine unatakiwa kuelewa mwanza ndo soko la hizo nchi ndo maana kunajengwa bandari ya nchi kavu kubwa Tazania na daraja refu kuliko yote afrka mashariki,sgr hadi Mwanza ili kumantain soko hili liendelee kuwa sastainable,Mwanza ina migodi mikubwa ya dhahabu na almas kaa ukijua Mwanza haijawa jiji kwa maneno na vijengo vya wizara kwamba jiji linajengwa kwa mishahara ya wafanyakazi wa serikali huo ni uongo.
View attachment 2087233
View attachment 2087235
View attachment 2087239
View attachment 2087242
Kabla ya kufyata mkia na kukubali udhaifu kuwa kijiji kikuu cha Mwanza kimechapwa vibaya na Dodoma, ebu tuthibitishie kuwa siyo kwa kutuonesha watoto wenu huwa wanacheza wapi.Kiongozi hii iwe reply yako ya mwisho wenzio tumeshaacha kubishana na hawa wakulungwa[emoji120][emoji120][emoji120]
Kile kijiji Chao kimejikinyata pale downtown kama vifaranga nje ya Mji ni slums tupu ππππRamani ya mji wa Dodoma uliopangiliwa, hivyo kama Mwanza mnahisi hamkai kijijini tunaomba na nyie mlete ramani yenu hapaView attachment 2088366View attachment 2088367View attachment 2088368View attachment 2088371View attachment 2088376View attachment 2088377View attachment 2088383View attachment 2088390View attachment 2088391View attachment 2088392View attachment 2088393View attachment 2088394View attachment 2088396View attachment 2088398View attachment 2088399View attachment 2088401
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo mkuu[emoji23] sasa hapa Kijiji chetu kimejikunyata wapiKile kijiji Chao kimejikinyata pale downtown kama vifaranga nje ya Mji ni slums tupu [emoji38][emoji38][emoji1][emoji1]
kwa picha hizo mgogo kweli dodoma mnajitahid! ngoja wasukuma nao waje na picha zao tuoneKile kijiji Chao kimejikinyata pale downtown kama vifaranga nje ya Mji ni slums tupu [emoji38][emoji38][emoji1][emoji1]
Sasa wewe Mwanza ni CBD na hapo Capri point , kwani kuna kwingineAcha uongo mkuu[emoji23] sasa hapa Kijiji chetu kimejikunyata wapiView attachment 2091441
Mwanza katafuteni wa kushindana nae,Dom sio size yenu..Huyu mtu ana porojo Sana Ila ukimwambie alete hayo mazuri ya dodoma, anakuletea ikulu, Yale majengo ya Udom na render za zile Kota zinazofanana[emoji23][emoji23]