Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Najua Dodoma inawakera sana lakini itabidi mnivumilie tu maana hata robo ya uzuri wake bado sijauonesha
IMG_20220118_133414_706.JPG
IMG_20220118_134129_794.JPG
IMG_20220118_132832_749.JPG
IMG_20220118_140002_309.JPG
IMG_20220118_142309_253.JPG
IMG_20220118_135218_315.JPG
IMG_20220118_135144_412.JPG
IMG_20220118_151024_905.JPG
IMG_20220118_135641_425.JPG
IMG_20220118_135415_014.JPG
IMG_20220118_134405_015.JPG
IMG_20220118_134318_158.JPG
IMG_20220118_134236_241.JPG
IMG_20220118_133633_950.JPG
IMG_20220118_135101_062.JPG
IMG_20220118_140049_819.JPG
IMG_20220118_135917_724.JPG
IMG_20220118_135007_417.JPG
IMG_20220118_133121_742.JPG
 

Afu hawa majamaa hawanaga ile pang'ang'a mingi ni mwendo wa plan nakujenga, mfano kwenye hizo renders hapo Dodoma city hotel ilishaisha kitambo inasubiria kufunguliwa tu
 
Dom ndio Jiji pekee baada ya Dar ambapo Mabasi kutoka mikoa yote kuna usafiri wa moja kwa moja.
Huo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogo
Wewe unazungumzia mabasi kwenda mikoani Mwanza kuna mabasi yanaenda kimataifa yaani nchi jirani kama Nairobi-kenya kila siku(modern coach),Kampala-Uganda na Juba Sudani(friends) kila siku,Kigali-Rwanda(friends bus) na Bujumbula-Burundi(Nyeunge bus) kuna meli kubwa za mizigo na mabehewa mwanza-kisumu kenya na mwanza -jinja uganda(Mv Umoja) hii pia inabeba mizigo ya congo inayopitia uganda kama magogo na meli kubwa ya abiria afrika mashariki na kati hiko hatua za mwisho itakuwa inatoka mwanza to jinja uganda na kisumu kenya(mv Mwanza).Kitu kingine unatakiwa kuelewa mwanza ndo soko la hizo nchi ndo maana kunajengwa bandari ya nchi kavu kubwa Tazania na daraja refu kuliko yote afrka mashariki,sgr hadi Mwanza ili kumantain soko hili liendelee kuwa sastainable,Mwanza ina migodi mikubwa ya dhahabu na almas kaa ukijua Mwanza haijawa jiji kwa maneno na vijengo vya wizara kwamba jiji linajengwa kwa mishahara ya wafanyakazi wa serikali huo ni uongo.

2984240_images_2.jpg


2984239_images_3.jpg


2984238_images_1.jpg


2984237_images.jpg
 
Huo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogo
Wewe unazungumzia mabasi kwenda mikoani Mwanza kuna mabasi yanaenda kimataifa yaani nchi jirani kama Nairobi-kenya kila siku(modern coach),Kampala-Uganda na Juba Sudani(friends) kila siku,Kigali-Rwanda(friends bus) na Bujumbula-Burundi(Nyeunge bus) kuna meli kubwa za mizigo na mabehewa mwanza-kisumu kenya na mwanza -jinja uganda(Mv Umoja) hii pia inabeba mizigo ya congo inayopitia uganda kama magogo na meli kubwa ya abiria afrika mashariki na kati hiko hatua za mwisho itakuwa inatoka mwanza to jinja uganda na kisumu kenya(mv Mwanza).Kitu kingine unatakiwa kuelewa mwanza ndo soko la hizo nchi ndo maana kunajengwa bandari ya nchi kavu kubwa Tazania na daraja refu kuliko yote afrka mashariki,sgr hadi Mwanza ili kumantain soko hili liendelee kuwa sastainable,Mwanza ina migodi mikubwa ya dhahabu na almas kaa ukijua Mwanza haijawa jiji kwa maneno na vijengo vya wizara kwamba jiji linajengwa kwa mishahara ya wafanyakazi wa serikali huo ni uongo.

View attachment 2087233

View attachment 2087235

View attachment 2087239

View attachment 2087242
Kiongozi hii iwe reply yako ya mwisho wenzio tumeshaacha kubishana na hawa wakulungwa🙏🙏🙏
 
Huo ndo ushamba jaribu siku moja njoo Mwanza utalii ushangae na meli kidogo
Wewe unazungumzia mabasi kwenda mikoani Mwanza kuna mabasi yanaenda kimataifa yaani nchi jirani kama Nairobi-kenya kila siku(modern coach),Kampala-Uganda na Juba Sudani(friends) kila siku,Kigali-Rwanda(friends bus) na Bujumbula-Burundi(Nyeunge bus) kuna meli kubwa za mizigo na mabehewa mwanza-kisumu kenya na mwanza -jinja uganda(Mv Umoja) hii pia inabeba mizigo ya congo inayopitia uganda kama magogo na meli kubwa ya abiria afrika mashariki na kati hiko hatua za mwisho itakuwa inatoka mwanza to jinja uganda na kisumu kenya(mv Mwanza).Kitu kingine unatakiwa kuelewa mwanza ndo soko la hizo nchi ndo maana kunajengwa bandari ya nchi kavu kubwa Tazania na daraja refu kuliko yote afrka mashariki,sgr hadi Mwanza ili kumantain soko hili liendelee kuwa sastainable,Mwanza ina migodi mikubwa ya dhahabu na almas kaa ukijua Mwanza haijawa jiji kwa maneno na vijengo vya wizara kwamba jiji linajengwa kwa mishahara ya wafanyakazi wa serikali huo ni uongo.

View attachment 2087233

View attachment 2087235

View attachment 2087239

View attachment 2087242
Hata Tanga,Moshi,Kigoma,Mbeya,Arusha nk kuna mabusi ya kwenda mikoani..

Nasema hivi huwezi Kuta Bus inatoka Mtwara kwenda Mwanza,ila Dom nchi nzima seems kuna biashara na mikoa yote.
 
Kiongozi hii iwe reply yako ya mwisho wenzio tumeshaacha kubishana na hawa wakulungwa[emoji120][emoji120][emoji120]
Kabla ya kufyata mkia na kukubali udhaifu kuwa kijiji kikuu cha Mwanza kimechapwa vibaya na Dodoma, ebu tuthibitishie kuwa siyo kwa kutuonesha watoto wenu huwa wanacheza wapi.
Je, mna chochote cha kutambia mbele ya chinangali park na gardens za idodomia?
FB_IMG_16424526626154765.jpeg
IMG_20220118_144242_076.JPG
FB_IMG_16424522421388606.jpeg
IMG_20220118_144139_091.JPG
IMG_20220118_144339_797.JPG
IMG_20220118_144312_513.JPG
IMG_20220118_144537_905.JPG
IMG_20220118_144400_132.JPG
IMG_20220118_144026_936.JPG
IMG_20220118_143442_191.JPG
IMG_20220118_143254_889.JPG
IMG_20220118_143054_116.JPG
IMG_20220118_143130_139.JPG
IMG_20220118_143850_911.JPG
IMG_20220118_132300_477.JPG
IMG_20220118_184054_927.JPG
FB_IMG_16424525936941100.jpeg
FB_IMG_16424504795839291.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni picha za makazi binafsi ya Capri point MWANZA. wanakoishi matajiri wa Mwanza. Huu ndo mtaa wa Wazito huwezi Kuta hii Dom wa Arusha. Masaki DsM na Mwaka Capri Point.
Screenshot_2022-01-25-10-58-12-1400159321_EDIT_1.jpg
Screenshot_2022-01-25-10-55-08-1156148680_EDIT_1.jpg


Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom