The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Kwa empty porojo mko vizuri.By the way Ihungo iko Kagera sio Mwanza..Inazidiwa na Ihungo hiyo hamna jipya hapo
Mwanza Inakila sababu ya kua mbele,wamwage mikeka tu ya maana kuhusu Majengo ilo wawaachie watu wa mwanzaDodoma bado ina safari ndefu kufikia mwanza, dodoma itakuwa ni mji uliopangwa vizuri, dodoma itaipita mbeya na Tanga ila kwa Arusha na Mwanza bado sana.
Ukiondoa miradi ya ujenzi wa wizara miradi iliyobaki karibu yote ipo mza tena mingine ni mikubwa kuliko ya Dom.
Soko la mwanza litakuwa kubwa karibu mara 3 ya soko la Ndugai.
Ukiacha hilo mwanza ina masoko mengine makubwa kama soko la samaki kirumba, kirumba pia kutajengwa soko jingine, mkuyuni kutakuwa na soko pia, buzuruga ilipo stendi ya mabasi kutajengwa buzuruga complex.
Mwanza ina stendi 2 za mabasi.
Barabara naona serikali imeanza kuona aibu, city centre to usagara upembuzi tayari hii itakuwa 25km dual carriageway.
City Centre kisesa upembuzi unaendelea almost 20+km njia 4.
Barabara ndogondogo zinajengwa nyingi tu.
Airport, serikali inataka kujenga jengo kubwa sawa na terminal 2 ya Dar hapa mwanza.
SGR inakuja mwanza pia, jengo la stesheni ya mwanza linaweza kuwa kubwa na zuri kwa sababu ya location.
Kwa hoteli Dom bado sana.
Karibu kila chuo Tz kimeshika eneo kubwa mza,
Kwa Leo inatosha
Yaani Dodoma bila mkono wa serikali ni Sawa na songea tu [emoji1787][emoji1787]Uko sawa lakini miradi sio tuu ya Uwekezaji wa Biashara kama hii ya NBS ila ni pamoja na miradi ya huduma za serikali..
Twende Kazi Dodoma hadi waombe poo [emoji116]
The sunk kiukweli huwa unafurahisha sana napenda mbwembwe zako pamoja na chuki dhidi ya MwanzaππππShule za Kimataifa zilizopo Dodoma .
Soma hiyoo π
Kwani ukikiri kwamba huko mwaloni hakuna kitu kuna tatizo?The sunk kiukweli huwa unafurahisha sana napenda mbwembwe zako pamoja na chuki dhidi ya Mwanzaππππ
Wapi ambako hakuna mkono wa serikali?Yaani Dodoma bila mkono wa serikali ni Sawa na songea tu [emoji1787][emoji1787]
Umeandika nini wewe hapa? π¬π¬..Mwanza Inakila sababu ya kua mbele,wamwage mikeka tu ya maana kuhusu Majengo ilo wawaachie watu wa mwanza
πππ¬π¬ Huwa nikiona kauli za maumivu na kujikosha kama hivi huwa nacheka Sana..Dodoma serikali ikimaliza wekeza tu ndo mwisho wake.
Mwanza watu wataendelea wekeza
Mwanza inakuwa kuliko Dodoma
Huwa nakuona kama chizi tu kulinganisha Mwanza na vitu na hajabu, pili kinachonifurahisha unaonekana kama una mambo ya kitoto sana.Kwani ukikiri kwamba huko mwaloni hakuna kitu kuna tatizo?
Sasa Mwanza kuna Nini hapo mkuu,wewe ndio chizi ambae unakataa Takwimu..Huwa nakuona kama chizi tu kulinganisha Mwanza na vitu na hajabu, pili kinachonifurahisha unaonekana kama una mambo ya kitoto sana.
Unamaanisha Buswelu yote ukihusisha mpaka Busenga?[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na Buswelu
Haya ni maduhuli ndo maana kagera inaipiga gap kilimanjaro japo kilimanjaro ni centre ya utalii pia Kagera kaipiga shinyanga wakati shinyanga ni centre ya madini.Haya maduhuli hayanauhalisia wowote kwenye uchumi na uwekezaji wa mkoa husik.Haya ni maduhuli tu na wengi wafanyabiashara huwa hawalipi na ndomaana mama Samia ililalamika juzi jinsi yanavyokusanywa.Hakuna Ligi hapa kwenye mapato,Dom imechapa Mwanza mapato Kimkoa na Mapato ya Jiji.
Mwanza CC + Ilemela = 27bln VS,
Dodoma CC=45 blnπ