Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Inazidiwa na Ihungo hiyo hamna jipya hapo
Kwa empty porojo mko vizuri.By the way Ihungo iko Kagera sio Mwanza..

Dom inaendelea kutembeza kichapo kwa Mwanza,Hii ni Martin Luther School Dodoma 👇
 

Attachments

  • EHpYS6dXkAA-M63.jpg
    EHpYS6dXkAA-M63.jpg
    79.4 KB · Views: 15
  • cb75d1eb91faedab534e21f424c0d535.jpg
    cb75d1eb91faedab534e21f424c0d535.jpg
    43.4 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220727-114046.png
    Screenshot_20220727-114046.png
    115.5 KB · Views: 16
Shule za Kimataifa zilizopo Dodoma .

Soma hiyoo 👇
 

Attachments

  • FYh5wP0WIAIkJEq.jpeg
    FYh5wP0WIAIkJEq.jpeg
    109.9 KB · Views: 16
  • FYhCQEdXEAAOOcp.jpeg
    FYhCQEdXEAAOOcp.jpeg
    169.5 KB · Views: 16
  • FYhCQzAXgAAn1-2.jpeg
    FYhCQzAXgAAn1-2.jpeg
    175 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220727-113924.png
    Screenshot_20220727-113924.png
    230.2 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220727-113444.png
    Screenshot_20220727-113444.png
    130.3 KB · Views: 17
Mtajua hamjui.

School Dodoma 👇
 

Attachments

  • dscn2018.jpg
    dscn2018.jpg
    300.5 KB · Views: 16
  • 4ba63871bc2268cc271cce1235ec583c.jpg
    4ba63871bc2268cc271cce1235ec583c.jpg
    20.3 KB · Views: 15
  • 121803376.jpg
    121803376.jpg
    43.1 KB · Views: 15
  • slide5.JPG
    slide5.JPG
    53.9 KB · Views: 15
Dodoma serikali ikimaliza wekeza tu ndo mwisho wake.
Mwanza watu wataendelea wekeza
Mwanza inakuwa kuliko Dodoma
 
Dodoma bado ina safari ndefu kufikia mwanza, dodoma itakuwa ni mji uliopangwa vizuri, dodoma itaipita mbeya na Tanga ila kwa Arusha na Mwanza bado sana.
Ukiondoa miradi ya ujenzi wa wizara miradi iliyobaki karibu yote ipo mza tena mingine ni mikubwa kuliko ya Dom.
Soko la mwanza litakuwa kubwa karibu mara 3 ya soko la Ndugai.
Ukiacha hilo mwanza ina masoko mengine makubwa kama soko la samaki kirumba, kirumba pia kutajengwa soko jingine, mkuyuni kutakuwa na soko pia, buzuruga ilipo stendi ya mabasi kutajengwa buzuruga complex.
Mwanza ina stendi 2 za mabasi.
Barabara naona serikali imeanza kuona aibu, city centre to usagara upembuzi tayari hii itakuwa 25km dual carriageway.
City Centre kisesa upembuzi unaendelea almost 20+km njia 4.
Barabara ndogondogo zinajengwa nyingi tu.
Airport, serikali inataka kujenga jengo kubwa sawa na terminal 2 ya Dar hapa mwanza.
SGR inakuja mwanza pia, jengo la stesheni ya mwanza linaweza kuwa kubwa na zuri kwa sababu ya location.
Kwa hoteli Dom bado sana.
Karibu kila chuo Tz kimeshika eneo kubwa mza,
Kwa Leo inatosha
Mwanza Inakila sababu ya kua mbele,wamwage mikeka tu ya maana kuhusu Majengo ilo wawaachie watu wa mwanza
 
Dodoma serikali ikimaliza wekeza tu ndo mwisho wake.
Mwanza watu wataendelea wekeza
Mwanza inakuwa kuliko Dodoma
😂😂😬😬 Huwa nikiona kauli za maumivu na kujikosha kama hivi huwa nacheka Sana..

Hivi Serikali inaweza maliza kuwekeza kweli? Dar pale Serikali ilishamaliza kuwekeza?

Mwisho uwekezaji wa serikali unajenga mazingira rahisi kwa wawekezaji binafsi sasa hizo lugha zingine ni kujifariji..

Kwani Mji Mkuu wa Nigeria ulishaacha kuendelea au? Viwanda vinavyojengwa Dom ni vya Serikali au? 😁😁😁😁
 
Huwa nakuona kama chizi tu kulinganisha Mwanza na vitu na hajabu, pili kinachonifurahisha unaonekana kama una mambo ya kitoto sana.
Sasa Mwanza kuna Nini hapo mkuu,wewe ndio chizi ambae unakataa Takwimu..

Kama nakutia nyundo za utosi utaachaje kuniona chizi?
 
[emoji16][emoji16] kwamba kuna utawala watu wanaenda kumyang'anya capripoint kwa nguvu!......mkuu to be honest kwa sasa moja ya sehemu tamu mwanza ni Kiseke B, na Buswelu
Unamaanisha Buswelu yote ukihusisha mpaka Busenga?
 
Kipande ile huwezi Kuta mambo kama haya,watakwambia Dodoma ni jangwa 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20220731-141406.png
    Screenshot_20220731-141406.png
    287.9 KB · Views: 20
Hakuna Ligi hapa kwenye mapato,Dom imechapa Mwanza mapato Kimkoa na Mapato ya Jiji.

Mwanza CC + Ilemela = 27bln VS,

Dodoma CC=45 bln👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220803-094105.png
    Screenshot_20220803-094105.png
    49 KB · Views: 22
  • Screenshot_20220803-092910.png
    Screenshot_20220803-092910.png
    43.1 KB · Views: 19
Hakuna Ligi hapa kwenye mapato,Dom imechapa Mwanza mapato Kimkoa na Mapato ya Jiji.

Mwanza CC + Ilemela = 27bln VS,

Dodoma CC=45 bln👇
Haya ni maduhuli ndo maana kagera inaipiga gap kilimanjaro japo kilimanjaro ni centre ya utalii pia Kagera kaipiga shinyanga wakati shinyanga ni centre ya madini.Haya maduhuli hayanauhalisia wowote kwenye uchumi na uwekezaji wa mkoa husik.Haya ni maduhuli tu na wengi wafanyabiashara huwa hawalipi na ndomaana mama Samia ililalamika juzi jinsi yanavyokusanywa.
 
Back
Top Bottom