The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Hizi nyundo 3 zinawakomesha sana Watu wa Mwanza wanatamani kuzihamishia uswazini kwao 😁😁
Dom
Dom
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona .. vijengo vitatu ,,,[emoji28][emoji28][emoji28].Kwa hisani ya mafao ya mwigulu nchemba ,,na TAMISEMI [emoji28][emoji28][emoji16][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji75][emoji443][emoji443][emoji12]Hizi nyundo 3 zinawakomesha sana Watu wa Mwanza wanatamani kuzihamishia uswazini kwao [emoji16][emoji16]
DomView attachment 2501437View attachment 2501439View attachment 2501440View attachment 2501442
Central bussines district Kwa lugha nyingine city center,town center,au downtown ....aka mjiniMwenzenu naona tu CBD. CBD hebu nifafanulieni hiyo ni kitu gani kwanza halafu ndipo tuendelee
Lazima utafute pa kutokea 😁😁Naona .. vijengo vitatu ,,,[emoji28][emoji28][emoji28].Kwa hisani ya mafao ya mwigulu nchemba ,,na TAMISEMI [emoji28][emoji28][emoji16][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji75][emoji443][emoji443][emoji12]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Asante sana maana sikuwa nikilijua Hilo nikawa nang'aza macho tu... Basi sasa hapo naweza kuchangia walau kwa mbali japo sijafika popote kati ya majiji hayoCentral bussines district Kwa lugha nyingine city center,town center,au downtown ....aka mjini
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa.umenena mkuu [emoji91][emoji91][emoji106]Asante sana maana sikuwa nikilijua Hilo nikawa nang'aza macho tu... Basi sasa hapo naweza kuchangia walau kwa mbali japo sijafika popote kati ya majiji hayo
Nijuavyo ni kwamba sungura hata anenepe vipi hawezi kumfikia ng'ombe
Namaanisha Mwanza ni Jiji la kale kidogo na ukuaji wake ni wa asili yaani Kuna sababu anuai kama zile zilizosababisha majiji mengine kukua hivyo Dodoma hata iendelee vipi huwezi kuifananisha na Mwanza kwani yenyewe sababu za kukua kwake siyo za asili
Ndo hotel zenu hizo [emoji12][emoji12][emoji12][emoji28][emoji28][emoji28]Acha Mwanza waendelee kuomboleza View attachment 2501939View attachment 2501940View attachment 2501941View attachment 2501942
Wewe utakuwa una tatizoAcha Mwanza waendelee kuomboleza View attachment 2501939View attachment 2501940View attachment 2501941View attachment 2501942
Kama ni hotel Dodoma zimejaaNdo hotel zenu hizo [emoji12][emoji12][emoji12][emoji28][emoji28][emoji28]
Ziko wap ..mbona hatuzioni [emoji12][emoji83]Kama ni hotel Dodoma zimejaa
Ule mtaa wa Kisasa na Ilazo zimejaa Hadi zinamwagika
Ukiniletea hotel 3 za kuizidi hizi hotel..hapà naleft UziUle mtaa wa Kisasa na Ilazo zimejaa Hadi zinamwagika
Hizi ni ,,,3* hotels
Hii maeneo gani mkuuAcha Mwanza waendelee kuomboleza View attachment 2501939View attachment 2501940View attachment 2501941View attachment 2501942
Midland nimelala sana hapo...umenikumbusha mbaliNaona Hadi lodge unaziita hotel....
👇
Ukiniletea hotel 3 za kuizidi hizi hotel..hapà naleft Uzi
Hizi ni ,,,3* hotels
Kisasa,Ilazo extensionHii maeneo gani mkuu
Jifunze ku post kwanza ndio nijibu maana unatuumiza machoNaona Hadi lodge unaziita hotel....
👇
Ukiniletea hotel 3 za kuizidi hizi hotel..hapà naleft Uzi
Hizi ni ,,,3* hotels