Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Utajibu nn wakati huna Cha kujibuJifunze ku post kwanza ndio nijibu maana unatuumiza macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajibu nn wakati huna Cha kujibuJifunze ku post kwanza ndio nijibu maana unatuumiza macho
Duuh ndo napoishi Ilazo ila sijawahi yaona au picha imeyatoea marembo sanaKisasa,Ilazo extension
Unaweza kuwa unaishi huo mtaa ila hauna hobby ya kutembea.Hotels hapo Dom ni nyingi sana ila lazima uwe una hobby ya kusafiri au kufanya adventure.Duuh ndo napoishi Ilazo ila sijawahi yaona au picha imeyatoea marembo sana
Post vizuri picha wewe acha ushamba..Utajibu nn wakati huna Cha kujibu
[emoji28][emoji28][emoji28]labda GENEVA YA BURUNDIDodoma bado kidogo tu inaifikia Geneva..View attachment 2503645
Sawa, kwani mie nimesema Geneva ya wapi??[emoji28][emoji28][emoji28]labda GENEVA YA BURUNDI
Umesema Geneva ya MalawiSawa, kwani mie nimesema Geneva ya wapi??
Unapokuja mwanza jitahidi utembelee isamilo.....uone namna Gani miji inapaswa kuwa ,,, barabara na mazingira,,,
Naona unajinusa mwenyeweUmesema Geneva ya Malawi
Haters wanasema hapa Ni Luxembourg....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]
Kazi inaendelea usiku na mchana . ujenzi wa daraja kubwa Afrika mashariki na kati ...
Haters wanasema hapa Ni Luxembourg....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]View attachment 2506459
Naona kajengo hako kamoja kamesungukwa na mauswazi tuu..Haters wanasema hapa Ni Luxembourg....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]View attachment 2506459