Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Je, ni kweli kuwa Dodoma CBD inaipiku Mwanza CBD?

Duuh ndo napoishi Ilazo ila sijawahi yaona au picha imeyatoea marembo sana
Unaweza kuwa unaishi huo mtaa ila hauna hobby ya kutembea.Hotels hapo Dom ni nyingi sana ila lazima uwe una hobby ya kusafiri au kufanya adventure.

Swali dogo unafahamu Makao Makuu ya TRC na Station kuu ya Sgr ya Dodoma inakojengwa?
 
Watu wa Mwanza watanuna wakiona Dom inavyowapelekea moto
20230202_081439.jpg
20230202_081443.jpg
20230202_081427.jpg
wizara_ya_madini_tanzania_1675314906918913.jpg
wizara_ya_madini_tanzania_1675314906918517.jpg
 
Back
Top Bottom