Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

Moja kati ya upungufu mkubwa wa kifikra ni kuamini mtu aliekibaka kisichana cha miaka 8 kuwa ni mtume wa mwenyezi mungu.

Waislamu muondoeni mudi kwenye utume na hakika dini yenu inaweza kuwa ya haki.


Yapo maandishi yanayosema huyo bwana alitokewa na shetani, akamhadaa kwa kutumia maneno ya biblia.

Kumbuka pia hata Yesu alipokuwa amefunga kwa siku 40, shetani alimtokea, akataka kumhadaa kwa kutumia biblia.

Ikumbukwe kuwa Shetani alifukuzwa na Mungu kwa sababu alitaka na yeye aabudiwe kama anavyoabudiwa Mungu wa kweli, yaani awe na watu wanaomwomba, wanaomwabudu, na wanamjengea nyumba za ibada, kama Mungu anavyofanyiwa. Akatupwa Duniani, maadam yupo Duniani maana yake katika huo ufalme wake, atakuwa na kundi kubwa la wanaomwabudu na kumwimbia sifa. Ni nani hao wanaomwabudu na kumfuata? Sisi wanadamu siyo kazi yetu, bali sisi kazi yetu ni kutangaza utukufu wa Mungu wa kweli kadiri alivyofunuliwa kwetu na Yesu Kristo masiha na manabii wake.

Tuzidi kumwomba Mungu atujalie neema ya kumjua zaidi, kumfuata zaidi na kuishi kwa kadiri ya mapenzi yake.

Yohana 6:
49 Baba zenu walikula mana jangwani, wakafa. 50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51 Mimi ni mkate wa uzima uliotoka mbinguni. Mtu ye yote akiula mkate huu ataishi milele. Na mkate wenyewe ni mwili wangu ambao nitautoa ili watu wote ulimwenguni wapate kuishi milele.”
 
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
japo mie ni mkristo lakini ni kweli uislamu unashika kasi kubwa sana ulaya
 
"Hakika dini hii (Uislamu) itafika kila sehemu inayofikiwa na usiku na mchana, na Allah hataacha nyumba yoyote ya matofali wala manyasi ila ataingiza dini hii humo, kwa utukufu wa aliyepewa heshima au kwa udhalili wa aliyeangamizwa. Utukufu ni kwa wale wanaoukubali Uislamu, na udhalili ni kwa wale wanaoukataa."
(Ahmad, Musnad 16957, na al-Tabarani, al-Mu’jam al-Kabir 13092, Sheikh al-Albani ameitaja kama sahihi.)

Uislamu na freemason na illuminati ndio vitu vinavyokua kwa Kasi, mlitabiriwa ujio wenu, leo hii shetani anatumia mifumo yote kuhakikisha anawakamata Wakristo na kuwaleta kwa hayo mavitu ya jehanamu.
Hata hivyo Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.
 
Kwa nini mnauhusudu uwongo namna hii?

China ina waislam wachache sana. Tazama hapa Chini:

Are there more Christians or Muslims in China?

228 million Buddhists
(16 percent)

106 million Christians
(7.4 percent)

100 million atheists (7 percent)

23.7 million Muslims (1.7 percent).


Source: Wikipedia


Uislam, Japan ni kama haupo. Ni migrants wachache sana ambao hawafiki hata laki 5.

Islam is one of the smallest minority faiths in Japan, representing around 0.18% of the total population. Due to a small initial population base, immigration from Muslim majority countries has made Islam one of the fastest growing religions in the country in terms of percentage increase, with its followers growing by approximately 110%, from 110,000 in 2010 to 230,000 at the end of 2020. Hali ipo hivyo hivyo huko South Korea.
Wanaongea bila Takwimu

Kwa ufupi, takwimu za ukuaji wa Uislamu na Ukristo katika Ulaya na Marekani ni kama ifuatavyo:

Ulaya:

Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa milioni 25, sawa na 5% ya idadi ya watu wote. Ukuaji huu unatokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.

Ukristo: Ukristo bado ni dini kubwa, ingawa idadi ya waumini inashuka kutokana na secularism na mabadiliko ya kijamii. Wakristo wanakadiriwa kuwa asilimia 70% hadi 75% ya idadi ya watu wote.


Marekani:

Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa kati ya milioni 3.5 hadi 5.0, kutokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.

Ukristo: Ukristo unaendelea kuwa dini kubwa, na Wakristo wanakadiriwa kuwa takriban 70% ya idadi ya watu wote.


Chanzo cha takwimu hizi ni makadirio ya jumla kutokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utafiti wa Pew Research Center na Ofisi ya Sensa ya Marekani.
 
japo mie ni mkristo lakini ni kweli uislamu unashika kasi kubwa sana ulaya
Sisi kama wanazuoni, wanatheolojia na wachambuzi wa DINI

Tunasema NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK

Kwa ufupi, takwimu za ukuaji wa Uislamu na Ukristo katika Ulaya na Marekani ni kama ifuatavyo:


Ulaya:


  • Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa milioni 25, sawa na 5% ya idadi ya watu wote. Ukuaji huu unatokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.
  • Ukristo: Ukristo bado ni dini kubwa, ingawa idadi ya waumini inashuka kutokana na secularism na mabadiliko ya kijamii. Wakristo wanakadiriwa kuwa asilimia 70% hadi 75% ya idadi ya watu wote.

Marekani:


  • Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa kati ya milioni 3.5 hadi 5.0, kutokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.
  • Ukristo: Ukristo unaendelea kuwa dini kubwa, na Wakristo wanakadiriwa kuwa takriban 70% ya idadi ya watu wote.

Chanzo cha takwimu hizi ni makadirio ya jumla kutokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utafiti wa Pew Research Center na Ofisi ya Sensa ya Marekani.
 
Ila wewe mleta uzi utakuwa na ugonjwa wa akili nakushauri nenda hospitali mapema kabla hujaanza kuokota makopo.

Hiyo chuki yako dhidi ya uislamu haisaidii chochote uislamu ulikuwepo, na utaendelea kuwepo wewe utake usitake. Nakuona ulivyo na sura ngumu kama nguruwe pori
Nimeweka na vyanzo vya Takwimu ,Bado unakuja kunishambulia

Ni lini mtakuwa na akili nyie
 
Hizo ni takwimu za sensa kwa nchi husika

Labda wale waislamu waishio Tandale watuletee ya kwao inayoonesha ukuaji mkubwa wa dini yetu tukutu huku uropa
Hawawezi kuleta ,Takwimu hiz hapa za karibuni

Kwa ufupi, takwimu za ukuaji wa Uislamu na Ukristo katika Ulaya na Marekani ni kama ifuatavyo:


Ulaya:


  • Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa milioni 25, sawa na 5% ya idadi ya watu wote. Ukuaji huu unatokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.
  • Ukristo: Ukristo bado ni dini kubwa, ingawa idadi ya waumini inashuka kutokana na secularism na mabadiliko ya kijamii. Wakristo wanakadiriwa kuwa asilimia 70% hadi 75% ya idadi ya watu wote.

Marekani:


  • Uislamu: Idadi ya Waislamu inakadiriwa kuwa kati ya milioni 3.5 hadi 5.0, kutokana na uhamiaji na mabadiliko ya kidini.
  • Ukristo: Ukristo unaendelea kuwa dini kubwa, na Wakristo wanakadiriwa kuwa takriban 70% ya idadi ya watu wote.

Chanzo cha takwimu hizi ni makadirio ya jumla kutokana na vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na utafiti wa Pew Research Center na Ofisi ya Sensa ya Marekani.
 
"Hakika dini hii (Uislamu) itafika kila sehemu inayofikiwa na usiku na mchana, na Allah hataacha nyumba yoyote ya matofali wala manyasi ila ataingiza dini hii humo, kwa utukufu wa aliyepewa heshima au kwa udhalili wa aliyeangamizwa. Utukufu ni kwa wale wanaoukubali Uislamu, na udhalili ni kwa wale wanaoukataa."
(Ahmad, Musnad 16957, na al-Tabarani, al-Mu’jam al-Kabir 13092, Sheikh al-Albani ameitaja kama sahihi.)
RUHUSUNI WATU WAJENGE MAKANISA NA MUWEKE UHURU WA DINI HUKO SAUDIA NA SEHEMU NYINGINE KAMA UISLAMU HAIJAFUTIKA
 
Kweli wewe ni semi illiterate fellow with hatred of Islam unapinga hoja bila kuleta ushahidi wa kupinga hiyo mada zaidi ya kuandika hisia zako tu, chuki zako dhidi ya Uislamu huwezi kuzuia uenezi wa uislamu katika ulimwengu wote achana na Ulaya hata China Korea Japan nk.
Vitu vingine havihitaji hata ushahidi, pamoja na kuwa ameambatisha hapo, muslims ni wachache mno compared na Christians, hata sensa ya 2012 waislam walilalamika kuwa wamepunjwa idadi yao, ikabd waongezewe wakristu
 
"Hakika dini hii (Uislamu) itafika kila sehemu inayofikiwa na usiku na mchana, na Allah hataacha nyumba yoyote ya matofali wala manyasi ila ataingiza dini hii humo, kwa utukufu wa aliyepewa heshima au kwa udhalili wa aliyeangamizwa. Utukufu ni kwa wale wanaoukubali Uislamu, na udhalili ni kwa wale wanaoukataa."
(Ahmad, Musnad 16957, na al-Tabarani, al-Mu’jam al-Kabir 13092, Sheikh al-Albani ameitaja kama sahihi.)
Wachagga tulishaukataa usislam kwa nguvu zote,
 
Akili hawana hao yaani England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 chimbuko la Catholic/Christian leo hii au miaka ijayo eti waislamu wawe wengi hio ni never miaka buku
 
Akili hawana hao yaani England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 chimbuko la Catholic/Christian leo hii au miaka ijayo eti waislamu wawe wengi hio ni never miaka buku
Ukiwasikiliza wanakwambia wataibadilisha iwe Islamic State
 
Kupunguza kwa Wakristo na ushawishi wa ukiristo Ulaya kwa Kasi sana , nalo unakuzungumziaje ?
 
Hata askofu GWAJIMA alihongwa
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-11-13-57-18-40_7614e48627b7380b17b386d382d1b2ef.jpg
    Screenshot_2025-02-11-13-57-18-40_7614e48627b7380b17b386d382d1b2ef.jpg
    117.6 KB · Views: 3
Itazame dunia ya miaka 100 ijayo...
Yako mambo huwezi ambiwa na west media
 
Zamani kulikuwa na kitu kinaitwa Big November crusade hasa pale viwanja vya jangwani na watu walikuwa wanajaa hatari na wanakuja wenyewe kwa magari kwa kulipa nauli na wengine wa karibu kuja wenyewe kwa miguu na walikuwa wengi sana kiasi kwamba huoni hata pa kutemea mate but now utamuona mtu na kispika chake sokoni au stand ya bus na watu wala hawana habari nae sasa nashindwa kuelewa nn kimetokea
 
Ongezeko la waislam Ulaya na Amerika linatokana na ongezeko la wahamiaji waarabu na wakimbizi kutoka nchi za kiarabu, na wala halitokani na wazungu au wakristo kusilimu.

Na kadiri siku zinavyoenda huenda idadi hiyo ya waislam ikapungua zaidi kwa sababu mataifa mengi ya Ulaya na America yameanza kuweka sheria kali za wahamiaji, hasa wale wa kutoka nchi za kiarabu kutokana na hofu ya kiusalama.
26% ni zaidi ya robo, waislam wazungu marekani
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-11-16-42-12-584.jpg
    Screenshot_2025-02-11-16-42-12-584.jpg
    242.1 KB · Views: 2
Yapo maandishi yanayosema huyo bwana alitokewa na shetani, akamhadaa kwa kutumia maneno ya biblia.

Kumbuka pia hata Yesu alipokuwa amefunga kwa siku 40, shetani alimtokea, akataka kumhadaa kwa kutumia biblia.

Ikumbukwe kuwa Shetani alifukuzwa na Mungu kwa sababu alitaka na yeye aabudiwe kama anavyoabudiwa Mungu wa kweli, yaani awe na watu wanaomwomba, wanaomwabudu, na wanamjengea nyumba za ibada, kama Mungu anavyofanyiwa. Akatupwa Duniani, maadam yupo Duniani maana yake katika huo ufalme wake, atakuwa na kundi kubwa la wanaomwabudu na kumwimbia sifa. Ni nani hao wanaomwabudu na kumfuata? Sisi wanadamu siyo kazi yetu, bali sisi kazi yetu ni kutangaza utukufu wa Mungu wa kweli kadiri alivyofunuliwa kwetu na Yesu Kristo masiha na manabii wake.

Tuzidi kumwomba Mungu atujalie neema ya kumjua zaidi, kumfuata zaidi na kuishi kwa kadiri ya mapenzi yake.

Yohana 6:
49 Baba zenu walikula mana jangwani, wakafa. 50 Lakini hapa kuna mkate utokao mbinguni ambao mtu ye yote akiula, hatakufa. 51 Mimi ni mkate wa uzima uliotoka mbinguni. Mtu ye yote akiula mkate huu ataishi milele. Na mkate wenyewe ni mwili wangu ambao nitautoa ili watu wote ulimwenguni wapate kuishi milele.”
Kama shetani anakana utatu wa Mungu basi huyo shetani anapaswa kufuatwa,maana hiyo biblia haieleweki ikiwa yesu ni Mungu au mwana wa Mungu au vyote,nyie wenyewe mnatifautiana katika hilo
 
Hakuna mtu duniani ameandika vizuri kuhusu hiyo topic kama Salim Boss
Kama unataka kujadili suala hili kiuhalisia tafuta hii nondo uisome "They are either extremely smart, or extremely ignorant"
Kipo na cha kiswahili chake "Wao, aidha ni Werevu mno, au Wajinga mno"
 

Attachments

Back
Top Bottom