Makwizi Band
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 1,535
- 2,565
Nimekuja fasta kwenye uzi nikitegemea kukutana na neno hili "KOBAZI" ili nicheke then niendelee na mambo yangu; hadi naandika hapa, sijalikuta and hence nime 😉 cause sijakutana nalo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ana shida sana ,anaishi na kinyongi🤣🤣🤣bora atulie afanye mema na dini yake .Nacheka, yaani dini zinatufanya tugombane hovyo namna hii. Hii ni namna gani tulivyo na shida. Hii ngozi hii mmh.
UMKEMKAMATA VIZURI ,DAHThere you are!
Kawaida yenu unavutia upande fulani huku ukijitoa kimtindo na hii yote ni kukosa kujiamini,kwanini hamuwezi kujiamini nje ya kudanganya?
Thanks Mwamposa for bridging this catholic monopolism
Formally the catholic church was the over all in all aspects pertaining to Godly issues. Now consumers have wider choice coz there is high supply of services. Watu wanapenda kuona mauza uza na kusikia uongo...www.jamiiforums.com
Unaikataa dini uwongo kwanini?umeuthibitishia umma wa Jamiiforums kuhusu TAQIYA “propaganda za kueneza dini” nikimnukuu mleta mada,kuwa Mkristo ni neema usijipachike kitu hukubarikiwa nacho.
Jamaa roho yako inakuwa na jazba unaishi kwa kinyongo ,hilo suala ni kweli hata huko kuna page wanalalamika uislamu unaingia kweny nchi yao kwa kasi sana ..UMKEMKAMATA VIZURI ,DAH
YAANI UISLAMU BILA UONGO NA PROPAGANDA HAUENDI
NDIO MAANA WANADANGANYA MANABII AMBAO NI WAYAHUDI WAKUZALIWA NA WAYAHUDI KAMA DINI ETI WALIKUWA WAISLAMU
HUO NDIO UISLAMU BILA UONGO NA PROPAGANDA UNGEKUWA KAMA RASTAFARIAN TU
Ahahah au siyo.wanavyonasibisha uislamu kuwa ni dini ya kichawi na majini ,utaona kila dharau mara wavaa kobazi, mara wazee wa ubwabwa ,hiyo yote sio kwa bahati mbaya .hizo ni propaganda wasije wakaujua uislamu ulivyo na wakaufata mana wachungaji wao watakosa sadaka kule Church.
Khamees wa hovyo huyu, Dili ni kumtupia jini maimuna
Mambo Kama haya yalimfanya F'Foxy kumtishia urogi Dr.Mambo Jambo kwenye Uzi.Khamees wa hovyo huyu, Dili ni kumtupia jini maimuna
Wewe hiyo kubaka unaiona wewe wao wanakwambia enzi za mtume msichana miaka sita/tisa alikuwa anafanana kiumbo na eg sa100 sasa sijui wa miaka 30 walikuwa wanafananaje?....dinosaur???Moja kati ya upungufu mkubwa wa kifikra ni kuamini mtu aliekibaka kisichana cha miaka 8 kuwa ni mtume wa mwenyezi mungu.
Waislamu muondoeni mudi kwenye utume na hakika dini yenu inaweza kuwa ya haki.
UNAPANIKI HUKU unalia ,kwanini Sasa Mtu akisema anahama Uislamu mnamtishia kufa?Naona umepaniki,kwenu hakuna kunguni anayenifikia kielimu hata akili, maana ungekua na akili usingeabudu mtu aliyekatwa govi na ngariba
Sema ukitishiwa majini inatia kauoga flanMambo Kama haya yalimfanya F'Foxy kumtishia urogi Dr.Mambo Jambo kwenye Uzi.
Yule ni Mganga kuweni makini.Sema ukitishiwa majini inatia kauoga flan
Majini yakisikia jina la Yesu yanaogopa sana ,juzi hapa Kuna bint wa kazi wa jirani yetu ,ni mwislamu ,sasa si wakampeleka kanisaniSema ukitishiwa majini inatia kauoga flan