Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Nafikiri kama kuna jambo ambalo nchi za kislam wanatakiwa waogope na wazinduke mapema ni kuona uislam unakuwa implemented ktk nchi za ulaya na USA...
Mpango wa wazungu ni kuuweka uislam ktk sura tofaut, hivi karibuni utasikia kuna uislam wa Europe na USA, ambao utakuwa na sura chafu duniani...
Twende mbele turudi nyuma mzungu si mpuuzi kama sisi waafrika, wapo mbele ya muda sana. Kwa akili za kiafrika unaweza kuona wanafanya jambo kukusaidia ila ndio wanakuzika...
NB: Nilipo andika nchi za kislam ni nchi za kiarabu, sisi waafrika weusi uislam tunaulazimisha tu we know nothing... Ndiyo maana waarabu hadi kesho hawaamini kama uislam upo kwa ngozi nyeusi...
Mpango wa wazungu ni kuuweka uislam ktk sura tofaut, hivi karibuni utasikia kuna uislam wa Europe na USA, ambao utakuwa na sura chafu duniani...
Twende mbele turudi nyuma mzungu si mpuuzi kama sisi waafrika, wapo mbele ya muda sana. Kwa akili za kiafrika unaweza kuona wanafanya jambo kukusaidia ila ndio wanakuzika...
NB: Nilipo andika nchi za kislam ni nchi za kiarabu, sisi waafrika weusi uislam tunaulazimisha tu we know nothing... Ndiyo maana waarabu hadi kesho hawaamini kama uislam upo kwa ngozi nyeusi...