Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Mkuu ulizalowa Muyovozi nini hahaha maana hio ilikua ni kambi ya wakimbizi...Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ulizalowa Muyovozi nini hahaha maana hio ilikua ni kambi ya wakimbizi...Sent using Jamii Forums mobile app
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo.Hata mimi nimeishi nao na nilishuhudia mengi.Usaliti na kuchepuka ni jadi ya binadamu wote.Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo.Hata mimi nimeishi nao na nilishuhudia mengi.Usaliti na kuchepuka ni jadi ya binadamu wote.
Lakini tumeambiwa Siku hizi Tanzania tumeongeza makabila mawili, wahutu na watutsi. Naomba nijiondoe katika mjadala Wa hao wawili humu JF. Kwaherini, tifuaneni ila uzuri Tz ni kubwa hamtauana ila mnawakera wenye nchi yao nyie raia wakufikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini tumeambiwa Siku hizi Tanzania tumeongeza makabila mawili, wahutu na watutsi. Naomba nijiondoe katika mjadala Wa hao wawili humu JF. Kwaherini, tifuaneni ila uzuri Tz no kubwa hamtauana ila mnawakera wenye nchi ya wakufikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa kitutsi wanapakaziwa kwakua ni 'visu! Hata mpolipoli tu unamkuta mkali, Mashallah! Ndio maana wanapakaziwa!.Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]
Blackberry
Wala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liendeNinachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]
Blackberry
Mkuu umejibu kitaalumaWala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liende
Duh..!
Ngoja nimpigie dogo simu fasta aahirishe harusi aliyopanga kufanya next week!
Alipanga kuoa mtusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoto wa kitutsi wanapakaziwa kwakua ni 'visu! Hata mpolipoli tu unamkuta mkali, Mashallah! Ndio maana wanapakaziwa!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liende
Daaa karibu nakukula kimasihara.Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]
Blackberry
We nawe unapinga huku unarudi pale pale.Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili sasa genge la umbeya na uongo. Kuchafua kabila zima kwa tabia uliyoona kwa mtu mmoja sio haki hata kidogo hata kama una sababu nyingine ya kuwachukia!Yy atataka atembee na kaka yako au mdogo wako..
Kwani ww ni muhutu!?Hili sasa genge la umbeya na uongo. Kuchafua kabila zima kwa tabia uliyoona kwa mtu mmoja sio haki hata kidogo hata kama una sababu nyingine ya kuwachukia!