Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Je, ni kweli ukioa mwanamke Mtutsi lazima apandikize mtoto wao kwenye watoto wako?

Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Umeoa huko lazima, usiumie ukaanza ugomvi na watoto. Haya ni mambo ya jf tu
 
Hao Wanyaru usiwaamini saana, pata mtu wa Kagera Hasa Karagwe utapata data sahihi.
Akija mgeni akwambie ni binamu mjomba sijui babu chunga saana.
Ila kuna wengine waaminifu.
Ila wanafuatilia na kufuatiliwa toka kwao Rwanda.
Unaweza kuwa stepingstone ya wao kuvuka.
Waliozaliwa Bkb wakasoma hadi UDSM sasa hivi ni mawaziri na watu wakubwa Rwanda.
Kuna mifano hai, hivyo kama una mahusiano chunga saana.
Ubarikiwe!!
 
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona.


Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo.Hata mimi nimeishi nao na nilishuhudia mengi.Usaliti na kuchepuka ni jadi ya binadamu wote.
 
Lakini tumeambiwa Sikh hizi Tanzania tumeongeza makabila mawili, wahutu na watutsi. Naomba nijiondoe katika mjadala Wa hao wawili humu JF. Kwaherini, tifuaneni ila uzuri Tz no kubwa hamtauana ila mnawakera wenye nchi ya wakufikia.
Acha uongo.Hata mimi nimeishi nao na nilishuhudia mengi.Usaliti na kuchepuka ni jadi ya binadamu wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]


Blackberry
Watoto wa kitutsi wanapakaziwa kwakua ni 'visu! Hata mpolipoli tu unamkuta mkali, Mashallah! Ndio maana wanapakaziwa!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]


Blackberry
Wala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liende
 
Wala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liende
Mkuu umejibu kitaaluma
 
Wala si wabongo wanaofanya hivyo (kuwa ovarate) bali ni wao wenywewe na sehemu ya mikakati yao na haina haja ya kuwalaumu bali ni namna ya kutaka kufikia malengo yao ya kiuchumi kisiasa na kiutamatuduni cha kufanya na sisi ni kuwa na mikakati ya aina hiyo au tofauti na hiyo ili kujiweka sehemu salama kama taifa,wayahudi wanafanya wachina wahindi wanafanya mimi sioni tatizo wao kufanya hivyo,Tatizo letu jamii nyingi za kitanzania hazina mikakati ni bora liende

Una Akili


Blackberry
 
Ninachopenda waTz wana waoverate sana Wanyarwanda na ni kama wanaweweseka sana wakidhan Rwandese ni watu toka sayari ingine humu thread za kuwa overate rwandese ni nyingi sana sijui kwanini na hekaya nyingi sana kuhusu watu hao sijui kwanini,Mtu kubambimbikiwa mtoto ni kawaida hapa duniani uwe kabila sijui lipi au lipi ikitokea imetokea [emoji23]


Blackberry
Daaa karibu nakukula kimasihara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nonsense hiyo imaniya koibaguzi tu. Kama una wasiwasi na Mtoto unayemdhamia sio wako basis kapime DNA ya mtoto. Hivi kukosa uaminifu kwenyendoa mbona ni issueya makanila yote Tz . akutukanaye hakuchagulii , mnawaonea hilo kabila. Kwanza wale akishaolewa kutoka nje ya ndoa sijaona. Nimeishi nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
We nawe unapinga huku unarudi pale pale.

Umeishi na watutsi wote??
 
Yy atataka atembee na kaka yako au mdogo wako..
Hili sasa genge la umbeya na uongo. Kuchafua kabila zima kwa tabia uliyoona kwa mtu mmoja sio haki hata kidogo hata kama una sababu nyingine ya kuwachukia!
 
Back
Top Bottom