Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

 
Niliwai sikia karbia 99% ya nchi ziligundua meng lazima kuna ya myahudi ilipita

Eg Germany
 
adolf Hitler aliwaua waisrael Zaidi ya milioni sita ,,,mbona hawakujiokoa? kama sio kule RUSSIA baada ya jeshi la Hitler kushindwa vita sababu ya barafu sasa hivi Waisrael wasingekuwepo kwenye ramani ya dunia
Kwanza kule ujerumani wana wa Israel.walikua Raia, hawakua Taifa.

Pili Ule ulikua ni mpango wa Mungu kuwarudisha waisrael katika nchi yao halali ya ahadi.

Ndio maana walisaidia kuangushwa kwa ottoman empire. Wakairithi nchi yao ya ahadi.

Leo hii Israel ni Taifa huru na kamili
Ujerumani mpaka Leo inatembelea makovu ya ukatili wa Hitler. Upole wa ujerumani ya Leo ni Matokeo ya wao kujiumiza kwa laana ya makosa walioyafanya wakina Hitler.

Hitler amebaki kua miongoni mwa binadamu wakatili kuwahi kuishi katika USO was dunia.
Jina lake limechafuka sana.

Kuna kampuni ya nguo ilitoa nguo kama zile kwenye concentration camp za Hitler, zilipingwa kila kona ya Dunia. Zikaondolewa sokoni.

Wanaomtukuza Hitler kama Role model wao ni Hizbollah na Hama's ambao wamekua wakiiga hadi saluti zake na kusoma kitabu chake cha Mein Kampf . Lakini harakati zao OVU hazijawapatia Palestine na waarabu wote ardhi halali ya waisrael.
 

Labda nikuweke sawa.
Ujerumani ilishindwa vita ya Dunia.
Israel ilishinda vita.
Vita hii Iliishtua ukimwengu mzima especial ulimwengu wa kiarabu.
kwa Daudi kumpiga Goliath.

Pili Iran ya was Persia ni Taifa Kubwa.
Historia inaonyesha kua Israel imekua ikiyashinda kwa vita mataifa makubwa huku yenyewe ikiwa na tofauti kubwa sana ya kuwa na jeshi dogo, silaha chache, ndege chache nk.

Udogo wa jeshi lao na vifaa, imekua ndio sababu ya kuvitia kiburi mataifa ya uarabuni kwa kiasi cha kudhani kua wanaweza kuishinda. Hata hivyo Matokeo yamebaki kua tofauti sikuzote, kwa Israel kua victor na waarabu kua loosers

Goliath hachomoi kwa Daudi.

It is not the size of the dog in the fight, but the size of the fight in the dog.

Cyber war ni progressive.

Iran imekua ikilalama wanasayansi wake kulipuliwa kule Iran na Israel baada ya wao kuikamata drone ya marekani.

Iran inachukiwa sana pale arabuni na mataifa ya kiarabu.

Sehemu kubwa ya marafiki zake ni makundi ya kigaidi kama Hamas, Muslim brother hood, hezBollah, hali hii imeifanya iran kubaki kua "duni"dhidi ya Saudia na washirika wake.may be Inge excell zaidi lakini chuki yake kwa Israel inawagharimu sana.

Umetaja Tel Aviv kua na mashoga wengi.

Kwa bahati mbaya sana, Mungu akiwa na makusudi na wewe, kupitia ahadi ya baba zako , hata ukikosea iko siku atakurudisha kwenye reli.

Mungu sikuzote hukumbuka Agano lake.

Israel imepatanishwa na Egypt since 1967.
hata yule rais mwenye nia ovu kutoka chama cha Muslim brother hood aliondoshwa na jeshi LA misri.
 
ni urusi pekee ndo anayestahili kusema alishinda vita kubwa maana alipigana na mtu ambaye alitawala nusu ya dunia.israel ni taifa dogo sana ndo maana linapewa misaada hata iyo vita ya siku 6 marekani na washirika wake walipelek sana misaada ya kijeshi.vita ya herzbollan ilimtoa san jasho maana alikuwa pekeyake pasipo kupata msaada ndo maan mwisho wa siku alichemka
 
Wanaoisaidia Israel wanabarikiwa. Heri mkono utoao.

Israel INA infrastructure nyingi sana nchini USA, kwakua kule hawakupata ubaguzi, na pia wakishiriki kupigania Uhuru wa Taifa hilo ambapo ilibaki kidogo lugha ya Taifa LA marekani iwe kiebrania.pia kuna vyuovikuu kama (e.g. Yale University, science etc), pia Chama cha Republicans kina Jews wengi zaidi


Kuna wakati mataifa haya ya magharibi especial USA, yanataka Israel isichukue hatua iliwao wafidie. Kulingana ma maslahi yao.

Mfano vita ya Sadam, Israel waliombwa wasishiriki ili kuwa unify waarabu wa focus katika kumpiga Sadam.
Israel ikawa inatumia
Makombora ya Patriot kuzima makombora ya scud kutoka iraq.

Baada ya Vita USA ililipa uharibifu wote.
Unaweza ita ni msaada lakini ni chess game, inayoendelea.
 
Urusi ilikufa miaka mingi tangu mwaka 1990 wakati wa Rais Gorbachev. Waliishia kua mafukara na racists , serikali ya Moscow wakawa wanapewa Posho Na USA.* ili tu wataalamu wao wa nyuklia wasije wakanunuliwa na mataifa ya kigaidi kutokana na ukata uliowakabili.

Pia Walishindwa kuichukua Afghanistan ya waarabu.

Ukuta wa Berlin ukavunjwa.

Imebaki kua ni aibu ya kihistoria hata Leo.

Russia ya Putin inajaribu kujitutumua, lakini inaonyesha China wanakuja juu zaidi.

Ujerumani ilikua bora zaidi ya Urusi, ila ilipigana vita nyingi sana ikiwemo hao "Red army" na washirika wa West.
 
Ivi kweli Marekani wasamehe tu mikopo? Kuna kitu wanafaidika
Nimetaja faida yake kuwa wanapata kituo cha bure cha kumonitor middle east, hope unajua marekani na nchi nyingi za kiarabu na kipersia haziivi, kwa marekani kuwa na kambi za kijeshi israeli itawasaidia kupigana na yoyote ukanda ule, kama umesoma ile link utaona misaada mingi ni ya kijeshi na sio kijamii.
 

Still mkuu huu si ushahidi kuwa wamebarikiwa na wana akili,
 
Israel ya mapigano ilikuwa ile ya Musa ya jino kwa jino na kufuata misimamo mikari ya kushika sabato katika torati yaani agano la kale, sasa watu wanashindwa kuelewa kuwa Yesu Kristo kaanzisha agano jipya ambalo sasa taifa la mungu sio wayahudi hawa wa leo tena bali mataifa yote yako treated the same ili kuwa taifa la Mungu (Israelit’s), unatakiwa kumuamini Mungu katika kristo Yesu ndiyo maana biblia inasema kasha nikaona Yerusalem mpya ikishuka kutoka juu, manake siyo hii ya leo na waisrael hawa wa leo bali wote wanaomuamini Mungu katika roho na kweli na hii ndo sababu kuu ya lile hekalu la Yerusalemu kubomolewa na kushindikana kujengwa upya kwa wote waliojaribu kulijenga makusudically ili hekalu hilo lijengwe katika miili ya wanadamu wote ili Mungu abudiwe katika roho na kweli kila mahali. Mwisho ili uwe muisrael lazima umpokee Yesu kama bwana na mwokozi wako, umuuamini Mungu kupitia yeye na usaidia wenye shida kama una uwezo, hapo ndipo utakapowashinda maadui zako, na kuwa hekima ya Mungu katika mambo yako na hivyo lazima akili zako ziwe tofauti kabisa yaani high level mind and thought.
 
mbona unatuongopea ndudu kuna nchi gani ambayo inaweza kuanzisha vita na urusi,iyo Nato ina nchi 28 lakini kila siku inaongeza ulinzi kwa ajiri ya kuofia kuvamiw na warusi.iyo china yenyew inauziwa siraha na warusi au ulikuwa ujui
 
iyo ugerumani iliyokuwa bora ilipigwa mpaka berlin.80% ya jeshi la ugeruman liliangamia katika mikono ya warusi
 
Kuna vitu unatakiwa kuvielewa. Ni kweli aliyepigana na mataifa ma5 ya kiarabu ni mwisrael na mataifa hayo yalikubali kusitisha vita ndani ya siku 6 tu. Lakini mwisrael hakupigana peke yake alikuwa na usaidizi wa washirika wake hasa marekani. Waisrael katika hiyo vita walisaidiwa siraha, pesa, mahitaji ya kijamii kwa ajili ya jeshi na pia taarifa za kiintelijensia.
Vita hiyo inafanana na kung'olewa kwa Ghadaffi, ama vita ya kule iraq na afghanistan kila mmoja anajua marekani amepigana hivyo vita. Je alipigana peke yake? Jibu ni hapana alikuwa anasaidiwa na Uingereza, ufaransa n.k
Ni vita chache sana duniani ambazo vimepiganwa bila kuhusisha washirika mf vita ya kagera na vita ya urusi dhidi ya Poland
Hata vita ya sasa ya israel dhidi ya palestina, israel inasaidiwa na marekani, Uingereza na ufaransa huku palestina walisaidiwa na mataifa ya kiarabu
 
Ni kweli waisrael wana akili zaidi dunian na hakuna taifa linalomuweza hapa watu wanachangia mada kidini ila wanajua kuhusu israel
Mkuu wewe ndo inachangia kidini. Bila story za kwenye biblia hebu tuambie mwisrael anaongoza kwa kitu gani duniani
 
Hii ni rahisi sana maana huu mpango ulidhaminiwa na matajiri wa kiyahudi. Hv marangapi huwa tunalalamika hata huku kwetu kwamba ukimuuzia tajiri kiwanja kwa kumkatia lazima mtalumbana na atakushika masikio kama utaishi nae kwa kupakana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…