Je ni kweli Waisrael wamebarikiwa kuliko binadamu yeyote duniani?

Blacks are true Israelites we are true Israelites
 
Na sio wayahudi au wazungu wote wana akili wengi tu mburula hata si tunawazidi Kwa Mali na ufahamu shida ni inferiority complex na kuwa na mpangilio wa Mzuri wa matumizi.
 
swali hilo muulizeni Chamilton atawajibu
 
We kweli ni bora waisrael wana akili sana !! Kuliko kutuaminisha historia isiyokuepo wala hata kuendana na ukweli!!...yaan wewe unaona kama humu ndan kuna vilaza ndo maana unatuletea hadithi zako unazosimuliwa na babu yako!! Au umeota hivo!!... Eti walikusanywa ili wanyonye mafuta ya middle East ...... Akili za wajinga n kaz kweli kweli .....sipat picha ukimrithisha hata mwanao huu ujinga
 
Kama ni Mkristo kasome Biblia imeweka wazi kila kitu Israel ni Taifa Teule la Mungu na kwa taarifa tuuu karibu vitu vyoote tunavyovitumia katika ulimwengu wa leo wavumbuzi ni waisrael kasome historia japo wengi wametapakaa mataifa mbalimbali baada ya vita ya pili ya Dunia lakini asili ya mvumbuzi unakuta ni mwizrael japo atakuwa anaishi marekani au kazaliwa marekani wazazi ukifuatilia utakuta ni wa huko
 
Si kweli kasome tena hao wavumbuzi chimbuko lao ni wapi usipepese macho
 
Still mkuu huu si ushahidi kuwa wamebarikiwa na wana akili,
Wamebarikiwa sana mkuu.
Wamefanikiwa kutoa ma icons wakubwa katika historia ya kiimani duniani.
Yesu Kristo, Mfalme Daudi, Nabii Yohana, Eliya, Isaya, Moses, Mariamu, Israel(Jacob) Just to mention the few.
 
unabwabwaja tu,toa evidence za kitaalamu,kasome kitabu kinaitwa Thirteen Tribes,by somebody Arthur,hivi kuna uhusiano hata wa kimuonekano kati ya hao waisrael waliovamia paletina na waisrael walioko palestina leo? ndio nyie mnahubiriwa makanisani kuwa waisrael wanao vamia palestina leo ni waeule wa Mungu ndio maan unshindwa hata kutoa fact,ongea kwa ushahidi,kafuatilie wasomi wana historia wa kiisrael wanasemaje kuhusu hili
 
Nonsense cha kutuongopea sijui hizo data zako umezitoa wapi? shame on you
 
Pumbaaaaaa tupu[emoji51]
 
Yaan we jina tu ISIS !! Afu unadhan nitaamin chochote toka kwako kuhusu Israel!!... we ningekwambia wasyria ndo wanaakil dunian tungeelewana!!... Bt for that I'm sorry ISIS
Nafuu umemuelew mkuu
 
Si kweli kasome tena hao wavumbuzi chimbuko lao ni wapi usipepese macho
Dah mpaka nitachoka kujibu, kuna waisraeli wenye vimacho vidogo? (Wachina, japan, korea etc) hebu angalia uvumbuzi wa hao jamaa miaka ya karibuni na usome tena link zangu.

Nchi kama finland imetuletea mapinduzi makubwa kabisa kwenye ulimwengu kuanzia network za simu, kina nokia, linux, etc nao wao ni waisrael?

Hebu pitia tena hizo link usiongee kwa kudhani dhani
 
Nonsense cha kutuongopea sijui hizo data zako umezitoa wapi? shame on you
Asante,

Ila mimi niweka source, wewe za kwako zipo wapi? Umewahi hata kutoka nje ya Tanzania, hicho unachokitete umekitoa tu mtaani au una ushahidi gani?
 
nani atawasogelea? Israel wanaishi kwa misaada ya Marekani ni Taifa masikini kama Tanzania....umeshawahi kusikia bidhaa yoyote kutoka ISRAELI? Uchumi wao uko wapi ikiwa hata sabuni ya kuogea hawawezi kutengeneza?
 
Israel ni Taifa masikini linaishi kwa kutegemea misaada ya Wamarekani.........hawajawahi kutengeneza hata sabuni ya kuogea ki ufupi ni vilaza hawajui chochote
 
Hitler aliwaua waisrael Zaidi ya milioni 6 .............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…