Je ni kweli wanawake wengi wenye makalio makubwa ni watupu kichwani?

Je ni kweli wanawake wengi wenye makalio makubwa ni watupu kichwani?

Utupu wa Kichwa unapimwa vipi na scientific connection kati ya akili na makalio ni ipi ? Inawezekana environmentally na saikolojikali ukaona kwamba ni watupu kichwani kutokana na kwamba unavyowaongelesha au wanavyoongeleshwa na kuchukuliwa na watu wanavyowaona (either not taking them serious au wenyewe not taking themselves seriously)...

Action and Reaction are Equal and Opposite.; Garbage in Garbage Out..., Kwahio wewe ukiwa na mtu no matter appearance yake kila siku unamzungumzisha upupu usitegemee atakujibu mambo serious
 
Haya wanaume jibuni hili fumbo, kuna ukweli wowote katika hili?

Kama ni kweli mbona wanaume wa Tanzania wanapenda sana Minyambizi?

Yani Minyambizi ndio inaendesha range na wembamba Passo.
to date, there is no any scientific correlation, between the two variables (relationship between IQ and Bottom Size amongst women) 😀
 
Haya wanaume jibuni hili fumbo, kuna ukweli wowote katika hili?

Kama ni kweli mbona wanaume wa Tanzania wanapenda sana Minyambizi?

Yani Minyambizi ndio inaendesha range na wembamba Passo.
Mkuu umeamua tu utuchekeshe!
Utakumbana na comment za nusu matusi humu hadi utachoka nakwambia.
 
Utupu wa Kichwa unapimwa vipi na scientific connection kati ya akili na makalio ni ipi ? Inawezekana environmentally na saikolojikali ukaona kwamba ni watupu kichwani kutokana na kwamba unavyowaongelesha au wanavyoongeleshwa na kuchukuliwa na watu wanavyowaona (either not taking them serious au wenyewe not taking themselves seriously)...

Action and Reaction are Equal and Opposite.; Garbage in Garbage Out..., Kwahio wewe ukiwa na mtu no matter appearance yake kila siku unamzungumzisha upupu usitegemee atakujibu mambo serious
Rudi kusoma uone ulivyoandika upuuzi
Kama kiswahili andika kiswahili
English unaandika hapa ni ya kipuuzi na unachoelezea haiendani na english
 
Back
Top Bottom