Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

Any way mi hoja yangu ni NI MAGAIDI WENYEWE WANAJIFUNGAMANISHA, NI WAISLAM WENYEWE WANAJIFUNGANISHA NA UGAIDI KUWA KWAO NI IBADA NA UISLAM AU WAANDISHI WA HABARI NDIO WANAOFUNGAMANISHA UISLAM NA UGAIDI
Mohamed,

hoja yako ni nzuri. Ila Mimi ninapenda uislamu jinsi unavyokemea vitu, kama vile masuala ya ushoga, kutania haswa vinavyohusu masuala ya dini yao.

Huenda waandishi wanawafunganisha waislamu na magaidi au uislamu unajifunganisha na ugaidi.

Mwaka 2006 gazeti la jyllands posten nchini Denmark, lilichapisha katuni zenye michoro 12. Maimamu wawili waliopewa Makazi nchini humo kwa kukimbia nchi zao, wakiongozwa na Imam Ahmed akkari walianza kuzunguka nchi za kiislamu wakiomba kuungwa mkono na kuonyesha kile kilichochorwa katika gazeti huku vingine vikiwa vimeongezwa kukionekana kuna picha ya mtu mwenye ndevu nyingi akiwa na pua kama ya nguruwe.

Baada ya picha ile kusambaa maimamu walikuwa wakisema gazeti lile linaendeshwa na serikali ya denmark, hivyo wajitokeze kuomba msamaha. Serikali iligoma na kukanusha sababu Hawakuona kosa.

Kilochofata baada ya hapo, chuki ile ikasambaa makanisa yakanza kuchomwa, waandamanaji kutoka pakistan na indonesia wakachoma moto bendera ya Denmark wakaharibu makazi ya wakristo na makanisa.

Lakini baadae ikaja fahamika picha ile yenye mfanano na nguruwe ilikuwa ni kwa ajili ya mashidano yaliyokuwa yakiadaliwa.

Huko Nigeria wakristo walichomwa moto pamoja na jumbe zilizosema “Butcher those who mock islam” “behead those who say Islam is violent religion”

Haya ndio yaliyotokea lakini mwaka 2013 imam ahmed akkari alikuja kuomba msamaha akitambua umuhimu wa free speech.

Ndio maana nikasema hoja yako inaweza kuwa sahihi, lakini hatujawahi kusikia kupingwa kwa nguvu kwa hawa wanaojihusisha na ugaidi kwa mgongo wa uislamu.
 
Punguani wewe. unaona babu zako wanaondoka na hawarudi hujiulizi kwanini wakifa hawarudi? akili ulipewa ambazo umetafautishwa na myama sio za kulewa tu. ni akili za mazingatio ya kuumbwa kwako. utumie akili kwa kunywea pombe tu
We huwa unakunywa mkojo wa mamako? We mbwa ndio maana umejiita malaria. We kwanza akili huna tunakujua sk zote unatumia makalio kufikiri.
 
kweli shida ipo. shida kwamba waislam wameambiwa wakiristo wasiwafanya marafiki na wandani wao, walipowafanya marafiki ndio hayo yanatokea. au nimekufahamu vibaya?
Sudan, Yemen, Syria, Iraq and the like Nako vipi??
 
Baada ya yale Magaidi ya Mombasa kudhibitiwa sasa hivi Mombasa imetulia tulii hakuna tena hofu ya Raia kuchinjwa hadharani.
 
WAKIRISTO NA MAYAHAUDI WNAACHUKI NA UISLAM NA WAISLAM. HAYO MAANDISHI YAPO KTIK QURAN. KAMA HUIJUI QURAN HAYO YANATOKEA UTASHANGAA LKN KAMA UNAIJUA HUTOPATA SHIDA
Uislam ni ugaidi na ugaidi ndio uislam. We bwege umeona wapi mkristo au kikundi cha kikristo kinafanya ugaidi. Magaidi ni majitu yasiyojiamini, ni maoga, hayawezi kupigana vita vya wazi. Wao huvizia na kufanya mauaji. Waisrael hawawezi kuwa magaidi labda km hujui maana ya ugaidi. Wale wanapigana live na wanawatafuta hao magaidi. Kwa kiingereza ugaidi ni terrorism, neno linalotokana na neno terror. Kajifunze hayo maneno yana maana gani. Nimeota umekufa kwa malaria.
 
Ndiyo maana Benjamin Netanyahu ameamua kuziba masikio safari hii ahakikishe anawafyekelea mbali wale magaidi wa Hamas. Walipoishambulia Israel October 2023 Waislam walishangilia sana na kuwasifu sasa ngoja wanyooshwe popote wanapojificha iwe hospitalini,msikitini,kanisani watapiga huko huko.
Netanyahu na watu wake wamejitoa mhanga kupambana na magaidi.

Ndio maana nawaunga mkono Waisraeli.
 
Mohamed,

hoja yako ni nzuri. Ila Mimi ninapenda uislamu jinsi unavyokemea vitu, kama vile masuala ya ushoga, kutania haswa vinavyohusu masuala ya dini yao.

Huenda waandishi wanawafunganisha waislamu na magaidi au uislamu unajifunganisha na ugaidi.

Mwaka 2006 gazeti la jyllands posten nchini Denmark, lilichapisha katuni zenye michoro 12. Maimamu wawili waliopewa Makazi nchini humo kwa kukimbia nchi zao, wakiongozwa na Imam Ahmed akkari walianza kuzunguka nchi za kiislamu wakiomba kuungwa mkono na kuonyesha kile kilichochorwa katika gazeti huku vingine vikiwa vimeongezwa kukionekana kuna picha ya mtu mwenye ndevu nyingi akiwa na pua kama ya nguruwe.

Baada ya picha ile kusambaa maimamu walikuwa wakisema gazeti lile linaendeshwa na serikali ya denmark, hivyo wajitokeze kuomba msamaha. Serikali iligoma na kukanusha sababu Hawakuona kosa.

Kilochofata baada ya hapo, chuki ile ikasambaa makanisa yakanza kuchomwa, waandamanaji kutoka pakistan na indonesia wakachoma moto bendera ya Denmark wakaharibu makazi ya wakristo na makanisa.

Lakini baadae ikaja fahamika picha ile yenye mfanano na nguruwe ilikuwa ni kwa ajili ya mashidano yaliyokuwa yakiadaliwa.

Huko Nigeria wakristo walichomwa moto pamoja na jumbe zilizosema “Butcher those who mock islam” “behead those who say Islam is violent religion”

Haya ndio yaliyotokea lakini mwaka 2013 imam ahmed akkari alikuja kuomba msamaha akitambua umuhimu wa free speech.

Ndio maana nikasema hoja yako inaweza kuwa sahihi, lakini hatujawahi kusikia kupingwa kwa nguvu kwa hawa wanaojihusisha na ugaidi kwa mgongo wa uislamu.
Waislam ni wanafiki, waarabu ndio mashoga ya uhakika. Wazungu si wanafki kihivyo ndio mana wao humwachia mtu binafsi uhuru wake. Waislam yalivyo mapumbavu wanamhuku binadamu mwenzao na kumpangia adhabu. We ni nani? Wakristo husema usihukumu usije kuhukumiwa maana kipimo utakachotumia kumhukumu mwenzio ndio kitatumika kukuhukumu wewe. Pili bwana asipoulinda mlinda mji waulindao wakesha bure. Waislam eti wanamlinda Mungu? Jamii isiyosoma na kuelimika.
 
Kwa hakika makafiri ni Atheism, Wapagani wenye kuamini Ujamaa, Umarx. Kwani Ujamaa ni imani. Imani ya kipagani.

Kwa ufupi wafuasi wa Ujamaa ndio makafiri
Kwa maana hiyo, Ukristo ni upagani.

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Ngoja ufe ukiwa mkiristo halafu uone maisha yako huko uendako
Tatizo linaanzia pale waislamu na vitabu vyao kubagua watu wenye Imani tofauti na yao na kuwaita KAFIRI, dini zote zinahubiri kuungama dhambi na kusamehewa hata kama umefanya dhambi gani kasoro dini ya kiislamu tu DUNIANI, na ajabu kuna dhambi kwenye kitabu chao cha dini wanaelekeza kuchinja kama kuku, kupiga mtu mawe hadi kufa, halafu eti wanainama kumuomba Mungu wakati Jana yake wameua?,

Hakuna dini ya kinafiki Duniani chini ya jua kama dini ya kiislamu na watu wanafiki kama WAISLAMU, ndo maana hata nchi za kiarabu hazisaidiani.

Nyingine zipo upande wa Marekani na Israel nyingine upande wa Palestina, nyingine hazieleweki. Hakuna mkristo aliyewahi kujilipua na mabomu sababu dini haijamfundisha habari za thawabu na mabikra 72 akifa. Ni ujinga na upuuzi kutetea uislam.
Screenshot_20240128-234504.png
Screenshot_20231226-142640.png
 
Azory alienda sehemu hatari,kibiti haikua mahali sahihi kwake,hivyo safisha safisha ilimkumba vibaya Anyway mkuu kuna video nyingi tu magaidi wakiua wanataja miungu yao ya kiislam je nao wanakua wamekaririshwa kuchafua dini ama?
############
Mohamed Abubakar

Tuongee kwa fact. Kuna watu ktk maisha yao hapa Tanzania wamekuja kujua kuna Uislamu na waislam baada ya kufika Dar. Wengine wanefika mbali zaidi na kwenda kuishi Zanzibar.

Swali ni je waislam mulioweza kuishi nao kuongea nao hapa Dar, Tanga, Zanzibar wanafanana hata kidogo na hao waislam magaidi ukicompare na ndugu zenu kule chuga, Katoro, serengeti, sumbawanga ambako kila leo watu wanadondoshwa kwa radi. Wapi hasa wana roho za kigaidi
Nilipoishi Tanga ndipo nilipoufahamu uislamu na waislamu vizuri kwa kifupi tu shetani au shetwani ibilisi ana hisa kwenye hiyo dini ya uislamu
Pale Arusha waislamu walilipua kusanyiko la kanisa katoliki na watu wakafa ulisikia kiongozi yeyote wa kiislamu alikikemea
Hapo Kenya makundi kibao yenye mrengo wa kiislamu yameuwa watu. Somalia, Naijeria, Pakstan, Msumbiji, Sudan kwa Janjaweed.
Unawezaje kuutenganisha uislamu na ugaidi uliotukuka.
 
Ngoja ufe ukiwa mkiristo halafu uone maisha yako huko uendako
Mungu wa Wakristo AMEWATUMAINISHA!
👇👇
Mungu wa Wakristo AMEWATUMAINISHA!
👇👇
Jeremiah 29:11-12
[11]Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

[12]Nanyi mtaniita, mtakwenda na kuniomba, nami nitawasikiliza.

1 Corinthians 2:9
[9]lakini, kama ilivyoandikwa, Mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia, Wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu, Mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao.

MUNGU WA WAISLAMU AMEWAAHIDI!
👇👇
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا

(MARYAM - 71)
Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe.
وَإِن مِّنكُمْ إِلَّا وَارِدُهَا ۚ كَانَ عَلَىٰ رَبِّكَ حَتْمًا مَّقْضِيًّا
Imepokewa kutoka kwa Anas: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Watu watatupwa Motoni na jehannam itasema: Je kuna ziada na ije. (50.30) mpaka Mwenyezi Mungu aweke Mguu wake juu yake, na jehannam itasema: Qati Qati! (Yatosha yatosha)

Sahih al-Bukhari 4848 Sahih al-Bukhari 4848 - Prophetic Commentary on the Qur'an (Tafseer of the Prophet (pbuh)) - كتاب التفسير - Sunnah.com - Sayings and Teachings of Prophet Muhammad (صلى الله عليه و سلم)

وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا يَا مَعْشَرَ الْجِنِّ قَدِ اسْتَكْثَرْتُم مِّنَ الْإِنسِ ۖ وَقَالَ أَوْلِيَاؤُهُم مِّنَ الْإِنسِ رَبَّنَا اسْتَمْتَعَ بَعْضُنَا بِبَعْضٍ وَبَلَغْنَا أَجَلَنَا الَّذِي أَجَّلْتَ لَنَا ۚ قَالَ النَّارُ مَثْوَاكُمْ خَالِدِينَ فِيهَا إِلَّا مَا شَاءَ اللَّهُ ۗ إِنَّ رَبَّكَ حَكِيمٌ عَلِيمٌ

[ AL - AN-A'AM - 128 ]
Na ile Siku atapo wakusanya wote awaambie: Enyi makundi ya majini! Hakika nyinyi mmechukua wafuasi wengi katika wanaadamu. Na marafiki zao katika wanaadamu waseme: Mola Mlezi wetu! Tulinufaishana sisi na wao. Na tumefikia ukomo wetu ulio tuwekea. Basi Mwenyezi Mungu atasema: Moto ndio makaazi yenu, mtadumu humo, ila apendavyo Mwenyezi Mungu. Hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye hikima, na Mwenye kujua.
 
Wavaa kobazi katika moja na mbili, kamwe hamuwezi kujitenga na sura ya ugaidi. Hata mchoraji akimbiwa achore picha ya gaidi basi lazma atakuwa wamevaa mavazi yale pendwa, kilemba na kobaz mapoja na ak47.
 
Wavaa kobazi katika moja na mbili, kamwe hamuwezi kujitenga na sura ya ugaidi. Hata mchoraji akimbiwa achore picha ya gaidi basi lazma atakuwa wamevaa mavazi yale pendwa, kilemba na kobaz mapoja na ak47.
Hata Mbowe aliitwa gaidi
 
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu.

Wako wanaofurahia propaganda hizo.

Wako wanaoamini propaganda hizo.

Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo.

Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media kupitia waandishi

Lakini wapo waandishi waliotaka kujua ukweli wa ugaidi. Kuwa ni magaidi wenyewe ndio wanaojinasibisha na Uislam au ni waandishi wenziwao ndio wanaoufungamanisha Uislam na Ugaidi.

Mmoja wa waandishi hao ni AZORY. Hata hivyo alipotaka kutekeleza jukumu hilo alipotezwa na watu wasiojilikana. Kila mmoja unaelewa ni nani wasiojilikana kuwa ni watu waliosikiliza amri kutoka juu.

Hata hivyo limejitokeza akina Azory wa Bandia. Wameweza kukusanya uchunguzi na kuzungumzia ugaidi wa waislam.

Kundi hilo linauzungumzia ugaidi kwa ustadi zaidi ya waongoza muvi za BOLLYWOOD wa na wasimulia muvi wa kule tandale.

Cha ajabu wameyafanya yote na hatimae kuanza kusambaza kwenye mitandao.

Hata hivyo kikundi hiki kinafanya yote haya kama kwamba tz ni sehemu salama kwao kujificha kwa kutengeza na kusambaza uongo uliotengezwa huku wakikingiwa kifua.

Waislam nchini wanaitahadharisha SERIKALI izingatia zaidi maslahi ya Taifa katika kuiendea na kuishughulikia dhana ya ugaidi nchini.

Kuna waandishi hao ambao jf inawalinda wameendelea kuandika makala zinazozungumzia ugaidi wa Waislamu nchini na kwa nchi za jirani.

Kuna waraka wenye anuani ya Njua ya Kibiti kwenda kwenye laana Cabo Delgado.

Moja ya suala linalojitokeza katika makala hiyo ni Uislamu na ugaidi, ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi lakini kwa hakika yeye (Mwandishi) ndiye anayehusisha Uislamu na Ugaidi.

Tunawashauri viongozi wazingatie zaidi maslahi ya Taifa katika suala hili la ugaidi, kwani sasa zimeanza kuibuka propaganda mpya za ugaidi zinazo wanasibisha Waislamu.

Tunaishauri serikali ifute kabisa sheria ya ugaidi na badala yake itumie shera ya uhalifu ambao ipo ili kuwapumzisha na kuwaondolea waislam wasiwasi wa operasheni zinazoibuka baada ya kuanza kwa propadanga hizi ili niweze kuhalalisha uovu wa baadhi ya watendaji wa serikali waovu, wavuta bangi waliopandikizwa chuki kupitia propaganda hizi dhidi ya Waislamu.

Tunaikumbusha Serikali kwamba, Taifa la Tanzania limejengwa juu misingi mitatu ambayo ni Serikali, Bunge na Mahakama.

Na huu mpango mpya wa propaganda zenye uongo uliotengenezwa si ktk misingi sahihi ya kuendesha serikali.

Waraka huu umesomwa na kiongozi mwenye ushawishi mkubwa kwa waislam nchini Sheikh Ponda Issa Ponda.

Ameeleza kuwa mwaka 2002, wakati wa mchakato wa Sheria ya Ugaidi, Wabunge walisema maneno mazito Bungeni, na kufafanua kuwa Tanzania hakuna ugaidi na Sheria hiyo ya Ugaidi inawalenga zaidi raia Waislamu.

Akasema, hivi sasa matokeo ya utekelezaji wa Sheria hiyo yanaonekana wazi kwani wanaokamatwa na kutuhumiwa kwa ugaidi wengi wao ni Masheikh na Waislamu wa kawaida.

Lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba hata kesi zake mahakamani zinakwama kusikilizwa na Waislamu wakabaki wafungwa mahabusu wa muda mrefu.

Akizungumzia kuhusu makala hayo Sheikh Ponda, anasema ingawa mwandishi anadai kuwa magaidi ndio wanao husisha Dini ya Uislamu na ugaidi, lakini makala hiyo ipo wazi kuwa yeye ndiye anayehusisha Uislamu na ugaidi.

Akifafanua Sheikh Ponda, amesema Mwandishi wa Makala hiyo amewataja Waislamu wasomi wa Vyuo vya Kiislamu kama Magaidi huku Misikiti, Madrasa, Asasi kama vile vituo vya Yatima na Shule za Kiislamu amevitaja kuwa ni vituo vya Kigaidi.

Aidha amesema, katika makala yake hiyo ameyataja mataifa kadhaa aliyodai kuwa yanayoelekea kusambaratika kutokana na hicho alichokiita ni ugaidi.

Sheikh Ponda amemtanabahisha mwandishi huyo kuwa uandishi wake unatakiwa azingatie maamuzi yaliyotolewa na Mahakama kuhusu suala hili zito linalohusu uhai wa watu na mustakbali wa Taifa, badala ya kuja na uchambuzi wa taarifa bandia za Intelijensia.

Kwani taarifa sahihi anazo Azory.
usilam n ugaidi
 
Back
Top Bottom