Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
- Thread starter
-
- #241
[emoji1] pole mkuu.Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Nimefanikiwa kujiunga muda huu kupitia *150*182#Mimi nilifanikiwa kupitia app sema haikuniuliza nichague aina ya mfuko
Jamii forum ni mahali unapoweza kupata taarifa, maoni, ushauri nk. Hili jukwaa ndio mahali unaweza kupata taarifa za kibiashara, uchumi nk. Ni kweli ni watu wachache wenye interest tunachat na imetusaidia kupata taarifa. Binafsi nimepata information nyingi za UTT kupitia jamii forum. Mimi binafsi sioni Kama kunashida watu wachache wakichati.Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Kiongozi upo Dunia hii kweli?Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Hawa ndio wale ambao jirani yake anaepambana akitoboa maisha basi huamini kuwa ni utajiri wa nguvu za giza, hawaamini ktk kujituma coz ameshindwa hata kuingia kwenye mitandao na platform nyinginezo kufuatilia hki kitu ambacho anakiita scam.Kiongozi upo Dunia hii kweli?
Ndio hivyo, tuna uvivu Fulani watanzania na hili ndio maana wanapigwa sana.Maana UTT wana matangazo mpaka kwenye radio haswa kwenye ligi kuu ya NBCHawa ndio wale ambao jirani yake anaepambana akitoboa maisha basi huamini kuwa ni utajiri wa nguvu za giza, hawaamini ktk kujituma coz ameshindwa hata kuingia kwenye mitandao na platform nyinginezo kufuatilia hki kitu ambacho anakiita scam.
Pia ITV kwenye habari za biashara kila siku wanatangazwaNdio hivyo, tuna uvivu Fulani watanzania na hili ndio maana wanapigwa sana.Maana UTT wana matangazo mpaka kwenye radio haswa kwenye ligi kuu ya NBC
Kwamba una mashaka na UTT? Unadhani ni taasisi ya mtu binafsi?Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Nimeshangaa na kama sijaamini vileHawa ndio wale ambao jirani yake anaepambana akitoboa maisha basi huamini kuwa ni utajiri wa nguvu za giza, hawaamini ktk kujituma coz ameshindwa hata kuingia kwenye mitandao na platform nyinginezo kufuatilia hki kitu ambacho anakiita scam.
Mhh mwenzangu 🤣🤣🤣Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Baada ya masaa 24 y cku za kazi. Kote kote bora n salamaHivi ukinunua vipande kwa simu inachukua muda gani kusoma kwenye akaunti . ? Na pia ipi bora kununua kwa Mitandao ya simu au bank ?
Nimenunua kwa simu tarehe 11/05/2022 bado haijasoma.Hivi ukinunua vipande kwa simu inachukua muda gani kusoma kwenye akaunti . ? Na pia ipi bora kununua kwa Mitandao ya simu au bank ?
Nimenunua kwa simu tarehe 11/05/2022 bado haijasoma.
Haina shida mkuu, itasoma tu.Mimi nanunuaga kama leo kesho yake jioni unakuta message ya manunuzi ya vipande inanijia.Usihofu kabisa mkuu maombi yako ya manunuzi yanachakatwaNimenunua kwa simu tarehe 11/05/2022 bado haijasoma.
Ukwasi = LikwidiiMfuko wa liquid Upo kundi gani