Investor 1
Senior Member
- May 4, 2022
- 106
- 206
Thamani ya hisa inaongezeka piaKwa maelezo ya wahusika hapa, huu mfuko wa UTT sio uwekezaji wa kuvuna haraka haraka na kwa wingi, bali uwekezaji salama usio na stress, hivyo faida huwa kidogo kidogo na pole pole.
Kwa mfano, hiyo 10ml ikiweza kuiwekeza kwenye Liquid fund, utakuwa na uhakika wa kuvuna wastani wa shilingi laki moja kila mwezi, huku pesa yako ikiwa iko salama.
Binafsi nimeanza kuuelewa fresh huu mfuko, muda sio mrefu nitajiunga, unanifaa.
Nikiweka kwenye umoja ama bond nitavuna laki laki hiyo hiyo? Na maana kwamba kati ya mifuko yao upi unaasilimia kubwa zaidi?Kwa maelezo ya wahusika hapa, huu mfuko wa UTT sio uwekezaji wa kuvuna haraka haraka na kwa wingi, bali uwekezaji salama usio na stress, hivyo faida huwa kidogo kidogo na pole pole.
Kwa mfano, hiyo 10ml ikiweza kuiwekeza kwenye Liquid fund, utakuwa na uhakika wa kuvuna wastani wa shilingi laki moja kila mwezi, huku pesa yako ikiwa iko salama.
Binafsi nimeanza kuuelewa fresh huu mfuko, muda sio mrefu nitajiunga, unanifaa.
Vipande vyao vinaanzia shilingi ngapi?Mkuu haujachelewa, mimi mwenzio nilikuwa najiona nimechelewa ila kwa sasa nimekuwa addicted na UTT kila siku najitahidi kununua vipande.
Vipande vyao vinaanzia shilingi ngapi?
Hapo TRA so wanakata capital gain tax.sijui inabaki nini?View attachment 2236726
Umoja fund
Unaweka hela muda wowote siku yoyote kiasi chochote kuanzia sh. 10,000. Tumia simu airtel money, tigo pesa, mpesa au nenda tawi lolote la crdb. Crdb ni mawakala wa utt. Sio lazima uende ofisi za utt. Maliza kila kitu kidigitali. Tumechelewa mno. Wahindi wabazijua saba hizi mavitu ya mutual fund, forex etc.Je unaweza kuweka kila mwezi au ukiweka mara moja basi
Nenda tawi lolote crdb karibu yako. Jaza form. Pia tumia simu LIPA BILL. chagua UTT. endelea na steps zinazifuata. Tunechelewa mno....wahindi wanazijua hizi issue za Forex, mutual fund long time!! Umejua sasa wajulishe na ndugu, jamaa na marafiki!!!Mkuu, Mimi naomba nisaidie kujua namna ya kujiunga hasa nikiwa mbali na ofisi zao.
Ndio. Hiyo inaitwa diversification. Mifuko ina namna tofauti za kuwekeza hela ilizokusanya na namna tofauti ya kufaidisha wanachama wake.Naomba uliza mtu mmoja naweza kujiunga na zaidi ya Mfuko mmoja.. !??
Sent from my V2026 using JamiiForums mobile app
Siku 3 za kazi(ondoa jmosi, j2 na sikukuu)Asante kaka,ila naomba kuuliza,ukishaweka pesa kupitia CRDB ni baada ya muda gani inaanza kusoma kwenye app ya UTT?
Weka Bond Fund. UTAKULA HELA ACHA KABISA. SAFETY/SECURITY 100%Wakuu pmwasyoke na Vladimir Lenin hili swali halijapata majibu.
Binafsi niliwahi kumsikia mkuu wa mkoa wa Dodoma akizungumzia hii issue na Mungu jalia nimepata vi million 100 sina uzoefu wa biashara kwa hiyo nilitaka nilitaka niviweke huko kama nikipata hata 12M kwa mwaka nitakuwa nahesabu 1M kwa mwezi ambayo ni matumizi tosha kwangu na familia yangu.
Naomba msaada wa reliability ya uwekezaji huu. Asante
Aquila non capit muscas
Kubadilisha inaruhusiwa lakini huwezi toka umoja kwenda bond fund. Kwa nini? Kwa sababu UTT hela zilizochangwa kwenye mifuko hiyo wanaiwekeza katika sehemu tofauti.Mimi nimewekeza Umoja, nikifikisha kiasi fulani cha pesa nitawekeza kwenye Bond.Nakumbuka kuna mdau alisema unaweza kubadilisha mfuko.
UTT AMIS ni taasisi ya Serikali ya Jamuhuri ya Tanzania chini ya wizara ya Fedha. Ofisi zao zipo. Mawakala wao wapo(CRDB). Pia wakati wa maonesho ya sabasaba ukipata muda tembelea banda lacwizara ya fedha humo ndani utakutana na taasisi zote za hiyo wizara ikiwemo UTT. Ni kweli ni vizuri kuwa muangalifu.Naona kama kikundi cha watu flani wanachati
Mmoja anauliza,mmoja anajibu..anyway
I hope this isn’t a scam !
Guy’s be careful with your money!
Only Place i can trust is a bank only.
Hakuna faida rahisi rahisi duniani hapa
Weka bond fund faster.Ni 10M mie nataka tu iongezeke haraka, mfuko gan unanifaa?
Kiuhalisia unaweza kuswitch kutoka mfuko wowote kwenda mwingine. Kinachofanyika ni utt kununua vipande vyako vote vya mfuko unaouacha, ila fedha hizo badala ya kukupatia wanakununulia mfuko unaotaka kuhamia. Haya yanafanywa automatic na utt mara baada ya mteja kutaka switching.Kubadilisha inaruhusiwa lakini huwezi toka umoja kwenda bond fund. Kwa nini? Kwa sababu UTT hela zilizochangwa kwenye mifuko hiyo wanaiwekeza katika sehemu tofauti.
Unaweza kuhama toka liquid kwenda bond. Au bond kwenda liquid.
Watoto(umri ukizingatiwa) kwenda umoja.