Msiishie kuwekeza kwenye Mifuko ya tanzania pekee , nenda hata hapo Kenya kwenye nchi zenye mifuko mizuri uwekezeMoja ya Uzi Malini kabisa kuwahi kutokea jamiiforums,tumechelewa Sana,Ila ni Bora kufanya kuliko kutofanya kabisa.
Hamna tabu,ushauri mzuri,Bora tu iwe na mifuko umiliki wa serikaliMsiishie kuwekeza kwenye Mifuko ya tanzania pekee , nenda hata hapo Kenya kwenye nchi zenye mifuko mizuri uwekeze
Mkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?Mfuko wa liquid hauna tofauti kubwa na mfuko wa bond ambao sera yake ni kutoa gawio. Benchmark ya mfuko wa liquid ni kuwekeza kwenye treasure bills za siku 35 hivyo haunathiriwi sana na soko la hisa kama Umoja fund. Kwa mwaka jana riba ilikuwa 14% ingawa kwa kawaida range ni
12% Hadi 14% Wanaouendesha wana mechanisms nzuri ya kuhakikisha unakuwa stable na ndio maana wanawekeza kiasi kikubwa Cha fedha kwenye treasure bills ambazo zinauhakika uhakika 100% kulipwa
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Webster ya benki kuu ya Kenya ;Hamna tabu,ushauri mzuri,Bora tu iwe na mifuko umiliki wa serikali
[emoji120][emoji120]
Ni kweli mkuu,tuanze na ndani taratibu then tutavuka tu mipaka.Msiishie kuwekeza kwenye Mifuko ya tanzania pekee , nenda hata hapo Kenya kwenye nchi zenye mifuko mizuri uwekeze
Karibu sana mkuu, binafsi nafurahia jinsi amana yangu inavyoongezeka tangu nijiunge, wale kinatomaso waache wazidi kushangaa.Moja ya Uzi Malini kabisa kuwahi kutokea jamiiforums,tumechelewa Sana,Ila ni Bora kufanya kuliko kutofanya kabisa.
Kama una mda nenda kwenye ofisi yao pale posta, utasajiliwa direct bila kuwa ata na app.Mkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?
2 hadi 3.Wakuu nimenunua vipand kwenye mfuko wa liquid jana jion mida ya saa 8 ila mpka sasa kwenye acc inasoma 0.inachukua mda gan kusoma?
ItaingiaWakuu nimenunua vipand kwenye mfuko wa liquid jana jion mida ya saa 8 ila mpka sasa kwenye acc inasoma 0.inachukua mda gan kusoma?
Fungua account kwa njia ya simu inawezekanaMkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?
[emoji23][emoji23]sasa tunafanyaje mkuu?That means ukiweka 10m unakiwa unapata laki kila mwezi, that is not fair. Ten milion ni pesa mingi sana.
Hii 14% Ina ukweli? Upewe return kila mwezi Kisha upewe 14% ya mwaka?Ni kweli ila pia kuna interest ya mwaka 14% ukitoa hio 50k ya kila mwezi, alafu kuna watu hawapendi biashara au hawaamini kwenye mafanikio ya biashara na wamebarikiwa pesa nyingi. Sasa mtu wa hivyo ni vyema awekeze UTT huku anaendelea na shughuli zake at least imzalishie kidogo.
Haina namna mkuu ni kudunduliza[emoji23][emoji23]sasa tunafanyaje mkuu?
Mnajichanganya huko watawapigia calculation na formula za kisanii wakusumbue, tumieni FIXED ACCAUNT
sasa ka milion 10 ndo kakufungulia fixed wekeza kwenye biashara tuWewe unajua ka ukiweka 10m fixed kwa mwaka unapata 6 interest mzee? Yan laki sita kwa 10m mwaka mzima
Unafungua account kwenye simu na Account inakua tayari kuweka pesa hapo hapo. Hauwezi kutoa pesa kabla ya kukamilisha usajili. Kukamilisha usajili download form ya usajili, print, jaza, wasilisha tawi lolote la CRDB (CRDB ni wakala wa UTT). Kujiridhisha zaidi unaweza piga simu UTT na kuwauliza kama wamepokea form zako za kuomba usajili ulizokabidhi kwenye tawi la CRDB.Kuwa mbali ni ngumu mkuu coz kuna form ambazo unatakiwa kuzijaza pale pale na kuzikabidhi, so kama upo dar watembelee tu pale posta.
Shukran mkuu kwa ufafanuzUnafungua account kwenye simu na Account inakua tayari kuweka pesa hapo hapo. Hauwezi kutoa pesa kabla ya kukamilisha usajili. Kukamilisha usajili download form ya usajili, print, jaza, wasilisha tawi lolote la CRDB (CRDB ni wakala wa UTT). Kujiridhisha zaidi unaweza piga simu UTT na kuwauliza kama wamepokea form zako za kuomba usajili ulizokabidhi kwenye tawi la CRDB.
Mimi saivi nna mifuko mitatu, Wekeza Maisha, Umoja Fund na Watoto Fund ambazo zote nimefungua bila kufika ofisi za UTT, kasoro Watoto Fund ambayo yenyewe ni lazima kufika ofisini...