Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

Mfuko wa liquid hauna tofauti kubwa na mfuko wa bond ambao sera yake ni kutoa gawio. Benchmark ya mfuko wa liquid ni kuwekeza kwenye treasure bills za siku 35 hivyo haunathiriwi sana na soko la hisa kama Umoja fund. Kwa mwaka jana riba ilikuwa 14% ingawa kwa kawaida range ni
12% Hadi 14% Wanaouendesha wana mechanisms nzuri ya kuhakikisha unakuwa stable na ndio maana wanawekeza kiasi kikubwa Cha fedha kwenye treasure bills ambazo zinauhakika uhakika 100% kulipwa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?
 
Mkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?
Kama una mda nenda kwenye ofisi yao pale posta, utasajiliwa direct bila kuwa ata na app.
 
Wakuu nimenunua vipand kwenye mfuko wa liquid jana jion mida ya saa 8 ila mpka sasa kwenye acc inasoma 0.inachukua mda gan kusoma?
 
Mkuu nikienda kwenye app nashindwa namna ya kujisajili nikibonyeza kitufe Cha kujisajili inaniletea ku login na sio kuji register kwenye app ya UTTAMIS au hapo ninafanyeje?
Fungua account kwa njia ya simu inawezekana
 
Ni kweli ila pia kuna interest ya mwaka 14% ukitoa hio 50k ya kila mwezi, alafu kuna watu hawapendi biashara au hawaamini kwenye mafanikio ya biashara na wamebarikiwa pesa nyingi. Sasa mtu wa hivyo ni vyema awekeze UTT huku anaendelea na shughuli zake at least imzalishie kidogo.
Hii 14% Ina ukweli? Upewe return kila mwezi Kisha upewe 14% ya mwaka?
 
Wewe unajua ka ukiweka 10m fixed kwa mwaka unapata 6 interest mzee? Yan laki sita kwa 10m mwaka mzima
sasa ka milion 10 ndo kakufungulia fixed wekeza kwenye biashara tu

fixed weka milion 50 nakuendelea ndo utaona matunda yake bank kama Azania kuanzia hiyo amount unakaa na bank brach mnapiga kahawa
 
Kuwa mbali ni ngumu mkuu coz kuna form ambazo unatakiwa kuzijaza pale pale na kuzikabidhi, so kama upo dar watembelee tu pale posta.
Unafungua account kwenye simu na Account inakua tayari kuweka pesa hapo hapo. Hauwezi kutoa pesa kabla ya kukamilisha usajili. Kukamilisha usajili download form ya usajili, print, jaza, wasilisha tawi lolote la CRDB (CRDB ni wakala wa UTT). Kujiridhisha zaidi unaweza piga simu UTT na kuwauliza kama wamepokea form zako za kuomba usajili ulizokabidhi kwenye tawi la CRDB.

Mimi saivi nna mifuko mitatu, Wekeza Maisha, Umoja Fund na Watoto Fund ambazo zote nimefungua bila kufika ofisi za UTT, kasoro Watoto Fund ambayo yenyewe ni lazima kufika ofisini...
 
Unafungua account kwenye simu na Account inakua tayari kuweka pesa hapo hapo. Hauwezi kutoa pesa kabla ya kukamilisha usajili. Kukamilisha usajili download form ya usajili, print, jaza, wasilisha tawi lolote la CRDB (CRDB ni wakala wa UTT). Kujiridhisha zaidi unaweza piga simu UTT na kuwauliza kama wamepokea form zako za kuomba usajili ulizokabidhi kwenye tawi la CRDB.

Mimi saivi nna mifuko mitatu, Wekeza Maisha, Umoja Fund na Watoto Fund ambazo zote nimefungua bila kufika ofisi za UTT, kasoro Watoto Fund ambayo yenyewe ni lazima kufika ofisini...
Shukran mkuu kwa ufafanuz
 
Back
Top Bottom