heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Haina formula maalum financial services lolote laweza kuanza. Naweza kuanza kupenda "ongea" yako, then mengine yakajazia. Naweza kutest ladha, mengine yakafuata. So karibuBut testing haitakiwi kuwa ya kwanza, ni baada ya kupenda hivyo vyote ulivovisema hapo[emoji115] tests ni mwishowe baada ya kupendana
Papuchi kama kisosa? Aisee😂😂😂😂
sasa kwann isiwe mtu anajivinjari na kopo la dragon Aah basi i wish uanze kupenda ongea na si ladha kwanzaHaina formula maalum financial services lolote laweza kuanza. Naweza kuanza kupenda "ongea" yako, then mengine yakajazia. Naweza kutest ladha, mengine yakafuata. So karibu
Shule zinakaribia kufungulia mrudi mkasome achaneni na maswali ya mapenzi mtaahindwa mitihani huko mashuleniKatika mahusiano kumekuwa na tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa na hii inahusisha jinsia zote mbili.
Mwanaume wakati mwingine anajaribu kujiridhisha kama mwanamke anaendana na vigezo vyake hali kadhalika kwa wanawake pia.
Vijana wengi wamekuwa wakitumia kauli za dhihaka kama (Usiniuzie mbuzi kwenye gunia)
Mara nyingi majaribio kama haya yamekuwa yakifanyika na wakati mwingine ndoa nyingi zimekuwa zikifungwa huku wanandoa walishapata watoto hapo awali.
Wakati mwingine ndoa inawekewa vikwazo kwasababu za kujificha lakini ukweli ni kuwa wanandoa walishashindwana kwenye majaribio.
Je wewe una maoni gani kuhusu tabia ya kufanya mapenzi kama majaribio kabla ya kuoana na kufunga ndoa?
View attachment 2035190
Ni makubaliano tu
kwanini mnasema me mpaka unioe ndio tutafanya, wakati huo sio bikra? Ndo mana nikasema kuwa ni makubaliano. Kama mmekubaliana kufanya bs mtafanya. Na km mmekubaliana kutofanya mpk ndoa bs mtasubiri tu.kwanini mnasema me mpaka unioe ndio tutafanya, wakati huo sio bikra?
Vizuri sana, ndivyo itakiwavyo. Sio mnakaa kufikiri uzinzi kwa lugha ya kutest! Blaali fish nyie,mwisho wa siku mtapata watoto wa kike. Watestiwe (waziniwe) zamu kwa zamu,kisingizio cha kutaka kuoa. Kila siku mnakuja na propaganda za uzinzi chungu nzima. Yakiwakuta mtulie tu.Unaweza acha kuanzia sasa kama mie
Inawezekana kabisa ni uamizi tuu. Sema mie nimeamua kugegeda mpaka pale nitakapo kipata ninachokitafutaUnaweza acha kuanzia sasa kama mie
Utatumia tangoKutest muhimu, kama hana dudu je ?
Mimi nautaka mti nyama, tango liliumbwa kuliwa na wali siyo kwa matumizi mengine.Utatumia tango
Kuna siku utakutana na nyuki😂Inawezekana kabisa ni uamizi tuu. Sema mie nimeamua kugegeda mpaka pale nitakapo kipata ninachokitafuta
Mimi nautaka mti nyama, tango liliumbwa kuliwa na wali siyo kwa matumizi mengine.
Sasa watoto wa kike bikra zao wanazipoteza kuanzia darasa la nne unategemea nini hapo mkuu?Umeeleza vema kabisa, uzinzi/uasherati umeshamiri na ndio chanzo cha mengine yote!
Watu tungeingia ndoani sealed ingekuwa poa sana.
Huyo anapigwa tango wakati huo dudu lako liko wapi? Unaumwa? miti nyama kibao why matango? I Will never use it.Tango inavalishwa kwa hisani ya watu wa Marekani na mtu anapigwa tango mpaka anachanganyikiwa😂
Nyuki sii tunakutana nao kila leo ndio wanatupa asali yao tamuKuna siku utakutana na nyuki😂
Nimekupenda buree.Kiukweli mimi ntatest , maana kile kiapo ni hadi kifo kitakapotutenganisha, sasa huna dudu hadi kifo wee si kutafutiana kesi huko😂
Ila hapo kutest zaidi ya mmoja ndiyo siyo vizuri kweli