Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Kavutie bangi chooni, nenda kwa huyo boss mchane, mwambie aachane na mke wako rasi ivyo utamgeuza butcher haraka iwezekanavyo[emoji35][emoji35][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawezaaa hivo nawezaaa, nachohofia familia yangu kuiteketeza [emoji41]
"Nyumba anayoishi ni Mali ya shirika ataenda ishi wapi bosi akisha kasirika?"

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
"Nyumba anayoishi ni Mali ya shirika ataenda ishi wapi bosi akisha kasirika?"

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Kwema mama mzazi, shkamo kwanza [emoji39]
 
Huwezi sema hvyo kwa maan hujui kama kampuni ni yake .
Mfungulie biashara huwezi mwache akaliwe maana ni bora aliwe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu nakikumbuka kuhusu wewe, nafurahi mno [emoji39]
Jamani , kitu ganiii??[emoji23][emoji23][emoji23]

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
 
Nahis alimshagonga.
 

Kiukweli mke wangu hajichekeshi sio kama namtetea hapana,tatizo lake ni mzuri sanaaa anamvuto wa kipekee sana,pale kazini kwao yeye ni mzuri kushinda wafanyakazi wenzake wote
 
Siku boss akifanikiwa kugusisha gegedo na papuchi hatakwambia. Inaelekea una mke bomba sana boss anataka kumvua picchu, njembas za ofisini zinamsarandia πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ picha please!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…