Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Hujui unachokibishia unafikiri mbowe ni mwanamziki? mbowe ni mwanasiasa na kiongozi wa upinzani ilitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kupinga haya yanayoendelea sasa kuliko hata kipindi cha nyuma na hiyo ndo nafasi alioichagua au unafikili siasa ni mpaka uchaguzi tu
Japokuwa sishabikii lolote kwenye hili. Binafsi naona ktk nyakat ngumu upinzani umepitia ni awamu iliyopita
Kwa record tu waliwindwa, kupotezwa na kuwekwa gerezani.. still watu wale wale waliwaona wajinga?

Why wawapiganie now? After all they havve been through?
I mean hawa watu wana familia zao pia, hiv ni lazima wao tu?
Wananchi wenyewe hawawez au hawana udhubutu?
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Mbowe amevuta mzigo wa maana upi acheni kudhalilisha taasisi ya urais kwa siasa zenu za maji taka mh Samia ameamua kuachana na siasa za kuhasimiana lakini nyie mnataka kuziendeleza kisa njaa ya mifarakano ambayo inayowanufaisha individually na si taifa
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kayafa & co ltd...
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Unatakiwa ukamatwe na kunyukwa makofi mengi sana ili siku nyingine usiandike ujinga!Marabook weye!
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Rubbish
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
🚮🚮🚮
"Stupidity knows no bounds..." A. Einstein

Yaani uovu ufanywe na watawala, lawama warundikiwe wengine?!
Kweli ujinga mzigo!
 
Pole sana mtoa mada kwa kuchelewa kujua hayo,sana pgania tumbo lako na familia yako tu.
 
Kwako mtoa mada Lissu kawa mlemavu wewe umepoteza hata ukucha kwa sababu ya kutetea Nchi,Mbowe amesota mahabusu karibu mwaka wewe ushawahi kukaa hata usiku mmoja,binasfi naona kukaa kwao kimya ni vizuri maana walikuwa wanaumia peke yao kwa kutetea kundi la watu wengi.
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Vocha ujinga wako basi
 
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.

Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.

Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.

Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.

Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.

Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??

Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.

Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??

NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.

Watu million sitini wanategemea watu wawili?. Watu wawili wakinyamaza ndio wanakuwa maadui was taifa?. Yule anayeleta tozo humsemi unawasema wasiokuwa na mamlaka wewe unatatizo.
 
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.

Punguza dharau na ujuaji. Kwa hivyo Tundu Lissu akitetea acacia Kama wakili adhabu yake ni kupigwa risasi?. Ndio maana wengine walikufa wameoza wakamuacha akiwa hai.
 
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.

Wewe chawa wake Samia kaa kimya. Mnajifanye kuwasema Lissu na Mbowe wakati bunge la CCM ndio limepitisha tozo na maujinga mengine Kama fao la kujitoa. Muibe kura wenyewe kazi ikiwashinda lawama kwa Lissu na Mbowe.
 
Mabavicha saa hii yanaishi kwa stress sana

Watanzania ndio wanaishi kwa stress kwa wizi mnaoufanya na ugumu wa Maisha. Upofu wa kisiasa unakufanya uone kila anayelalamika ni BAVICHA.
 
Hujui unachokibishia unafikiri mbowe ni mwanamziki? mbowe ni mwanasiasa na kiongozi wa upinzani ilitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kupinga haya yanayoendelea sasa kuliko hata kipindi cha nyuma na hiyo ndo nafasi alioichagua au unafikili siasa ni mpaka uchaguzi tu

Kura muibe wenyewe CCM , kazi ikiwashinda lawama kwa Mbowe na Lissu. Mmemsumbua Mbowe na kesi ya ugaidi mkaona raha, amaeamua kukaa kimya lawama mnamrudishia Tena. Mlimuita gaidi kwa fedheha Leo umuhimu wake mnauona.
 
Back
Top Bottom