Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Japokuwa sishabikii lolote kwenye hili. Binafsi naona ktk nyakat ngumu upinzani umepitia ni awamu iliyopitaHujui unachokibishia unafikiri mbowe ni mwanamziki? mbowe ni mwanasiasa na kiongozi wa upinzani ilitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kupinga haya yanayoendelea sasa kuliko hata kipindi cha nyuma na hiyo ndo nafasi alioichagua au unafikili siasa ni mpaka uchaguzi tu
Mbowe amevuta mzigo wa maana upi acheni kudhalilisha taasisi ya urais kwa siasa zenu za maji taka mh Samia ameamua kuachana na siasa za kuhasimiana lakini nyie mnataka kuziendeleza kisa njaa ya mifarakano ambayo inayowanufaisha individually na si taifaHapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Kayafa & co ltd...Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Unatakiwa ukamatwe na kunyukwa makofi mengi sana ili siku nyingine usiandike ujinga!Marabook weye!Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
RubbishHapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Nawe Ni takataka, una ushahidi wa kulamba asali?Maadui kivipi? Wana mkono wao Loliondo? Wamepiga kwenye ishu ya sensa? Wamepiga kwenye ishu ya bandari ya Bagamoyo? Yaani kulamba asali ndo tuwabatize maadui?
🚮🚮🚮Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Uvccm naona mmepoozwa na ukarani wa sensa,stress za tozo hamzisikiiMabavicha saa hii yanaishi kwa stress sana
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.Kwako mtoa mada Lissu kawa mlemavu wewe umepoteza hata ukucha kwa sababu ya kutetea Nchi,Mbowe amesota mahabusu karibu mwaka wewe ushawahi kukaa hata usiku mmoja,binasfi naona kukaa kwao kimya ni vizuri maana walikuwa wanaumia peke yao kwa kutetea kundi la watu wengi.
Vocha ujinga wako basiHapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Hapo nyuma walikuwa wanatudanganya kuwa wao ni wapambanaji na wapo kwa ajili ya maslahi ya taifa.
Pamoja na ugumu wa kufanya siasa zao za ujanja ujanja kwenye awamu ya tano lakini walikuwa wanapiga sana kelele na kuwaaminisha wafuasi wao wanapambania nchi.
Kelele zilikuwa nyingi baada ya kupoteza mali zao zenye makando kando na kuingia kwenye usaliti wa nchi kwenye sakata la madini.
Tumeona awamu ya sita imewaita ikulu na kuwapa wanachotaka. Lissu kapewa kila alichokuwa anadai.
Mbowe inasemekana pamoja na kufunguliwa gazeti lake ila kavuta mzigo wa maana.
Sasa hivi lugha yao imekuwa tofauti wanasema hawawezi kuongoza mapambano ya watu wasiojitambua.
Yani wafuasi wenu wamekuwa hawajitambui baada ya nyinyi kuingia makubaliano na Mama??
Mliitisha maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi alafu viongozi hamkuonekana watu wakaja kuona Lissu anasindikizwa kupanda ndege na mabeberu huku Lema akitokomea kupitia njia za panya.
Kwa siasa hizi za uongo uongo na kujali matumbo yao. Je, ni wakati wa kuwatangaza watu hawa kama maadui wapya wa taifa letu??
NB: Zitto hatumuoni tena akija na analysis za kiuchumi wakati huu wa tozo kila eneo tofauti na huko nyuma.
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.
Mabavicha saa hii yanaishi kwa stress sana
Hujui unachokibishia unafikiri mbowe ni mwanamziki? mbowe ni mwanasiasa na kiongozi wa upinzani ilitakiwa yeye ndo awe wa kwanza kupinga haya yanayoendelea sasa kuliko hata kipindi cha nyuma na hiyo ndo nafasi alioichagua au unafikili siasa ni mpaka uchaguzi tu