Je, ni wakati wa kuwatambua Mbowe na Lissu kama maadui wa taifa?

Bavicha hawaamini wanachokiona uturn iliyopigwa na maadui wapya wa taifa ni ya hatari πŸ˜‚πŸ˜‚

Mbowe na Lissu hawakushiriki kupitisha tozo bungeni, waliopitisha tozo ni wabunge wa CCM na Covid 19. Kama ni lawama wapelekee hao na sio kina Mbowe na Lissu ambao wataishia kupinga kwenye press conference basi hakuna badiliko litakalo tokea.

Adui wa taifa ni yule aliye kubali kupitisha tozo hizi zote na kushindwa kupunguza ugumu wa Maisha.
 
Lissu kapata ulemavu akitetea tumbo lake mtetezi wa nchi asingeweza kukaa upande wa acacia wakati tunapambania madini yetu.

Kumbe Lissu alipigwa Risasi kiss kutetea acacia?. Unaiaibisha serikali yako. Kwanza unasema imempa pesa Lissu halafu unasema ilimpiga risasi Lissu kiss anatetea acacia.
 
Akili yako kama ya mwendazake
 
Unataka apinge kukusanya kodi?
Huna akili kabisa kuna nchi inaendelea bila kodi.
Fyatu kabisa wewe
 
Mkuu mbona kuna watanzania kibao jela wamefungwa kionevu na wako hadi hawana watu wa kuwaaombea kutoka kama ilivyokuwa kwa Mbowe.
 
Mbowe alivyokamatwa watu walipigia kelele kutaka aachiwe hawakukaa tu kimya na kweli akaachiwa, na Mbowe huyo huyo kabla ya kukamatwa alishapoteza mali zake kwa sababu ya kukosoa serikali ila hakukaa kimya ndio alizidi kuongea sasa ajabu sasa hivi kukaa kimya na kuhusu kwenda Jela wala hata sio mara ya kwanza kukaa jela.
 
Mkuu mbona kuna watanzania kibao jela wamefungwa kionevu na wako hadi hawana watu wa kuwaaombea kutoka kama ilivyokuwa kwa Mbowe.

Inalaumu serikali ya CCM na sio upinzani. Tofautisha mwenye mamlaka na asiye na mamlaka. Pia Mbowe alitoka kwa kelele za watu naye alikiwa afungwe Maisha.
 
Huu ni uchochezi. Na unajenga Uhasama wa visa na hila .
Umakini unahitajika.
 

Acha kuzunguka mbuyu. Nani anastahili lawama wabunge wa CCM waliopitisha tozo au Mbowe aliyeko nje ya bunge.
 
WaTanzania wa leo hamna tofsuti na WaIsrael wa kipindi cha Yezebel na Ahabu. Kuna watu waliwasemea mkawaona ni watumwa wa Mabeberu. Leo wamekaa kimya mpo mnawananga. Hivi wewe unaskkia raha mke na watoto wa Mbowe na Lissu wakilia kila siku kuhusu hali za baba yao? Hata Eliya baada ya kuwaona WaIsrael hawaeleweki alienda kujilaza penye kijito ili afe. Hakuhangaika na WaIsrael tena. Now our fate is in our hands. Lets show we are feeling the pinch or we are busy with Simba and Yanga. If we cant stand with our self then we got no right to open our mouth. Those families have had enough already. Jail, hospital bills and others like that. Now we anoint you to take their place. Please forward move the Tanzanian agenda of second liberation!!
 
Inalaumu serikali ya CCM na sio upinzani. Tofautisha mwenye mamlaka na asiye na mamlaka. Pia Mbowe alitoka kwa kelele za watu naye alikiwa afungwe Maisha.
Sijalaumu bali nawaambia mnaosema hatukufanya kitu Mbowe alipofungwa kana kwamba ndio mtanzania pekee kufungwa kionevu wakati yeye alipofungwa watu walipiga kelele hadi akaachiwa ila wapo watanzania wengine huko jela kabla ya Mbowe na hakuna wa kuwapigia kelele kama ilivyokuwa kwa Mbowe, sasa ajabu kaachiwa anakuja kukaa kimya.
 
Acha kuzunguka mbuyu. Nani anastahili lawama wabunge wa CCM waliopitisha tozo au Mbowe aliyeko nje ya bunge.
Kwani hata Mbowe angekuwepo huko bungeni na hizo tozo zikapita ndio ina maana na yeye kapitisha hizo tozo au kwamba Mbowe ndio alikuwa anaweza kuzuia wabunge wa ccm wasipitimishe mambo yao?
Watu wanachokisema ni kutokuona Mbowe akikosoa tena serikali kitu ambacho hakiitaji yeye hadi awe mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…