Nchi wa wapumbavu hii hawataki vijana wapige hatua passport tu Kupata changamoto kubwa fursa hazioenekani
Changamoto una itolea wapi?
Kuna group la wanafunzi kwenda china wana fundisha mpaka namna ya kupata passport na kwa sababu ni mandatory...
Wewe una shindwaje? Au utafutiwe pesa upewe uletewe na passport!
Mimi pass nimeipata mwaka wa pili chuo na sina safari ya wapi kwa kwenda
Nikachukua 50,000/- kipindi hicho nikapeleka, barua ya mwaliko nika tafuta mitandaoni huko, dean wa wanafunzi akanipa barua ya utambulisho nikapeleka uhamiaji nakupata huduma
Wewe una taka je?
Naona watu wana lalama passport ngumu kupata ngumu kupata...
Sasa kama pass ina kushinda si utarejeshwa kwenu kwa kukosa kadi ya Homa ya inni?
Visa utapata kweli na benki a/c yako ina zero?
Mna fikirisha ndio maana zina onekana ni ngumu kupata ila sio ngumu ni nyepesi mnooooo...
Hiko kipengele cha barua ya mwaliko ni chepesi sana sana...
Zipo vyuo vina toa admission letter una weza tumia, na kwa kuanza wana kubari ujaze National ID yako! Uki pewa una enda ombea Visa
Kuna conferences kibao zina toa barua za mialiko
Kuna training kibao nje zina toa barua za mialiko nk
Tafuta taarifa upate maarifa!
Wenye uhitaji wameshapa pass, wasio na uhitaji wana lalamika mitandaoni... mpambanaji hawezi kosa
Tuna fahamu mpaka watu mitaani wanao watafutia vijana passport na kuwa saidia kupata visa wana enda ulaya na marekani kufanya kazi wapo darasa la saba kibao ata kingereza hawa jui
Wewe umesoma mpaka PhD bado upo jalalani una subiri mtu aje akutoe jalalani kama Prof.
Passport yetu kuipata ni rahisi sanaaaaa