Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.

Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
😏 simba na swala, hehehe.
 
Binafsi nilikua na rafiki wa kike for more than 5 years, kwenda muvi cinemax ,sijui uwanjani kwa game za simba na yanga,au safari za shamba ilikua mara nyingi siwezi hesabu, ila alisababisha nisiwe na ukaribu na wadada wengine hata wa ofisini.

Nilimla siku moja tulikua tumelewaa tulitoka out 5 N ya kimara enzi hizo
 
Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.

Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Tusiombane hela,maana kwa mwanaume kukubali kuwa rafiki ni sawa na kukubali kuwa mfadhili.
 
Tamaa , Tamaa, Tamaa
Hawa wenzetu hawawezi ikwepa, me huwa nashangaa jinsia Me akisema naomba tuwe marafiki😂, nawaambia Nyosha tu maelezo best.
Wengine hata akikusaidia anataka mlale wote wakati ni rafiki tu🙌🏾
 
Back
Top Bottom