CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Aaah wapi vitu vikiuma kwa ufanisi ndiyo bond inakuwa kubwa.Hapo mnaweza kupoteza na urafiki wenyewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi vitu vikiuma kwa ufanisi ndiyo bond inakuwa kubwa.Hapo mnaweza kupoteza na urafiki wenyewe tu
Kama mmoja wapo ana mtu wake je?Aaah wapi vitu vikiuma kwa ufanisi ndiyo bond inakuwa kubwa.
😏 simba na swala, hehehe.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Unamaanisha haiwezekani?😏 simba na swala, hehehe.
Potelea pote lazima vifanyio vikutane.Kama mmoja wapo ana mtu wake je?
😁😁😁🙌Potelea pote lazima vifanyio vikutane.
Kama ni hivyo ni heri usiwepo kabisaUrafiki uo upo japo n mgumu sana.
Haunaga mwisho mwema!
Labda lika tofauti ila lika letu hili vijana tumejawa na tamaa sana.Unamaanisha haiwezekani?
Unamaanisha haiwezekani?
Tusiombane hela,maana kwa mwanaume kukubali kuwa rafiki ni sawa na kukubali kuwa mfadhili.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Nipresie hizo 07 basiSawa kaka😊
Mbona mi ni rafiki yakoHakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke haupo na hautokuja kutokea maybe Dunia iumbwe upya
Si kwelMbona mi ni rafiki yako
Umenikataa?Si kwel
Wanaume wanaendeshwa na tamaa sana ya ngonoHakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke haupo na hautokuja kutokea maybe Dunia iumbwe upya