Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.

Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Heshima tu, mimi rafiki yangu mmoja wa karibu ni mwanaume na ameishia pia kuwa rafiki wa bebi wangu kupitia mimi.
 
Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.

Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Urafiki utadumu tu kama mtwangio na kinu vikitoa ushirikiano .
 
Ukiwa na urafiki na demu usipomla anakuona kama domo zege, asipokuona domo zege basi atakuona we ni shoga ake.. asipokuona ni shoga ake basi atakuona una kibamia...
Akikuona hivyo ndio unakuwa hivyo? JIAMINI,ishi uhalisia wako!
 
Back
Top Bottom