Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Looh!Mm naweza kuwa na urafiki na mdada, kama hajanivutia kimapenzi
Ila kama namuona ni mzuri , nisiwe mnafiki, ntajaribu ku-sex nae Leejay49 Binti Sayuni03
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looh!Mm naweza kuwa na urafiki na mdada, kama hajanivutia kimapenzi
Ila kama namuona ni mzuri , nisiwe mnafiki, ntajaribu ku-sex nae Leejay49 Binti Sayuni03
Yeah,. Ila ni nadra sana
Duh! Hatari sana hiyo mkuuUsipomtongoza ata develop crush especially ukiwa sholder to lean on
As a street kid from Manzese sikuachi nacheka na nyavu so madam sometimes things happen
Kama yapi hayo mkuu?Urafiki unaweza kuwepo isipokuwa kwenye mazingira hatarishi tu yenye kuvutia vutia.
Wa kirafiki??Ongeza upendo
Urafiki wa Kike kwa kiume kuna mazingira mgumu sana ukiweza kuyaepuka..hasa yenye kushawishi miili yenu..Kama yapi hayo mkuu?
Hongera kwa kuoa rafiki yako😁Urafiki wa Kike kwa kiume kuna mazingira mgumu sana ukiweza kuyaepuka..hasa yenye kushawishi miili yenu..
Mnaweza kuteleza vizuri sana
Ila kama mmekuwa kiakili na kujua mipaka yenu..aaaha mambo yatanyooka.
Wanasema oa rafiki😀😀😀 sio wajinga..Ninao ushahidi mkuu kwa hilo.
Sijasema nimeoa rafiki...nimeona hilo kwa watu wangu wa karibu sanq...ikiwemo nilinusurikaHongera kwa kuoa rafiki yako😁
Ndio ndio ni hawana msaada wowoteUlishawahi kuwa na rafiki wa kike akashindwa kukusaidia??
Kinachopaswa kufanyika ni kutafuta pesa nyingi. Kuna jinsia moja hapo ukiwa na pesa nyingi urafiki hauwezi kufutika kabisa. Utadumu na kudumu na kudumu na kudumu tena.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Kinachopelekea watu kukulana sio hivo visauti bali kuvisikiliza hivo visauti na kuvitii ndiko kunakopelekea kukulana. Msipovitii hamlani milele na milele!Hiyo ndiyo inayopelekea watu kukulana
Yaah ukiona vp peleka posa kama unampend sanaaaWa kirafiki??
Hatari sana, ni heri hata huo urafiki usiwepo basiKinachopelekea watu kukulana sio hivo visauti bali kuvisikiliza hivo visauti na kuvitii ndiko kunakopelekea kukulana. Msipovitii hamlani milele na milele!
Jinsia gani hiyo?Kinachopaswa kufanyika ni kutafuta pesa nyingi. Kuna jinsia moja hapo ukiwa na pesa nyingi urafiki hauwezi kufutika kabisa. Utadumu na kudumu na kudumu na kudumu tena.
Ila upo. Japo kwa uchache hvyo.Yeah,. Ila ni nadra sana
wanaume tunaongoza kutoa shuhuda za kula tunda kimasihara.Hakuna rafiki wa kike wala kiume
Ila kuna ndugu wa kiume au wakike
Tena ukiwa mwanamke usipende kuwa na urafiki na wanaume labda tu uwe professional ila ile kimta mtaa sijui school mate mnapigiana simu mara mkikutana mnakaa kuzungumza karibia nusu saa atakula nyau yako tu.
Maana mwanaume ni mashine ya ngono inayotembea yoyote kwa muda wowote anakula mzigo
Hakuna urafiki salama baina ya KE na ME wasio husiana kwa damu. Weka mipaka kwenye mazoea na mizaha. Na makutano yawe kikazi tu na wakiwapo watu wengine sio peke yenu.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?