Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #61
Rafiki yako akiwa na shida hutaki kumsaidia jamaniTusiombane hela,maana kwa mwanaume kukubali kuwa rafiki ni sawa na kukubali kuwa mfadhili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rafiki yako akiwa na shida hutaki kumsaidia jamaniTusiombane hela,maana kwa mwanaume kukubali kuwa rafiki ni sawa na kukubali kuwa mfadhili.
Ndyo nakukataa 😆😆Umenikataa?
Upoo. Inategemea na akili/fikra za wahusika.Hakuna urafiki kati ya mwanamke na mwanaume,.
Ndiyo mawazo na fikra zako hizi, basi kazi unayoo.Ukiwa na urafiki na demu usipomla anakuona kama domo zege, asipokuona domo zege basi atakuona we ni shoga ake.. asipokuona ni shoga ake basi atakuona una kibamia...
Muda na elimu ndiyo zitaleta mabadiliko. Muda: Kadiri siku zinavyosonga mbele, ndivyo ustaarabu wa kimagharibi unaingia kwenye jamii zetu, hivyo baada ya muda tutakuwa tunaishi kama wazungu ambao urafiki wa kawaida wa msichana na mvulana ni jambo la kawaida. Elimu: elimu sahihi itaharakisha watu kustaarabika na kujua kuwa kumbe urafiki ni zaidi ya sex.Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.
Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Mm naweza kuwa na urafiki na mdada, kama hajanivutia kimapenziDuh! Hapo unyama sana, binafsi mwanaume akishakuwa rafiki hata hisia haziwezi kuwepo kabisa
Wewe hatari sasaMm naweza kuwa na urafiki na mdada, kama hajanivutia kimapenzi
Ila kama namuona ni mzuri , nisiwe mnafiki, ntajaribu ku-sex nae Leejay49 Binti Sayuni03
Sasa tusubiri huo mudaMuda na elimu ndiyo zitaleta mabadiliko. Muda: Kadiri siku zinavyosonga mbele, ndivyo ustaarabu wa kimagharibi unaingia kwenye jamii zetu, hivyo baada ya muda tutakuwa tunaishi kama wazungu ambao urafiki wa kawaida wa msichana na mvulana ni jambo la kawaida. Elimu: elimu sahihi itaharakisha watu kustaarabika na kujua kuwa kumbe urafiki ni zaidi ya sex.
Jaribu siku moja fanya kama unamtania halafu uone shughuli yakeYeah,.
Ila kama mko serious na mkiwa focused sana sio wajinga wajinga mnaweza mkawa marafiki,.
Ninae mmoja huyo nadhani ni miaka kumi sasa ameshakuwa brother
Tusubiri kuona Paka asiye penda SamakiSasa tusubiri huo muda
😁😁😁huyo yupo kweli?Tusubiri kuona Paka asiye penda Samaki
Hakika inategemea lakini kama mnakuwa muda wote hapo lazima watu wahisi nyie ni wapenziKwanza kabisa, mimi hua naona kama kuwa na urafiki na mwanamke ni kumzibia rizki. Manake watu wataona kama vile niko nae kimapenzi na inawezekana akapoteza wanaume wa maana wakidhani ana mpenzi tayari. Na ukumbuke watu wengi wakishaona mko pamoja wana conclude wala hawaulizi kama wale ni wapenzi au laa.
Ulishawahi kuwa na rafiki wa kike akashindwa kukusaidia??Urafiki ni kusaidiana sasa marafiki wa kike hawanaga msaada kwa mwanaume ila wao ndio huwa wanasaidiwa sana asa hapo return itabidi watoe mbususu ili kufidia, sasa unapogoma urafiki lazima ufe maana unakuwa wa upande mmoja
Kwa nini ujiite Forest Gump jina linaakisi matendoHakuna rafiki wa kike wala kiume
Ila kuna ndugu wa kiume au wakike
Tena ukiwa mwanamke usipende kuwa na urafiki na wanaume labda tu uwe professional ila ile kimta mtaa sijui school mate mnapigiana simu mara mkikutana mnakaa kuzungumza karibia nusu saa atakula nyau yako tu.
Maana mwanaume ni mashine ya ngono inayotembea yoyote kwa muda wowote anakula mzigo
Na kwanini nimjaribu,.Jaribu siku moja fanya kama unamtania halafu uone shughuli yake