Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Je, nini kifanyike kuboresha urafiki wa msichana na mvulana/ mwanamke na mwanaume?

Binafsi nimewahi kuwa na marafiki wa kiume kadhaa katika ukuaji wangu, lakini waliishia kunitaka kimapenzi kisha urafiki ukafa hapo.

Je, kuna haja ya kuwa na urafiki wa hizi jinsia mbili? na nini kifanyike kuulinda huu urafiki uendelee kuwa urafiki na siyo maswala ya mahusiano ya kimapenzi?
Muda na elimu ndiyo zitaleta mabadiliko. Muda: Kadiri siku zinavyosonga mbele, ndivyo ustaarabu wa kimagharibi unaingia kwenye jamii zetu, hivyo baada ya muda tutakuwa tunaishi kama wazungu ambao urafiki wa kawaida wa msichana na mvulana ni jambo la kawaida. Elimu: elimu sahihi itaharakisha watu kustaarabika na kujua kuwa kumbe urafiki ni zaidi ya sex.
 
huwa nashangaa jinsia Me akisema naomba tuwe marafiki😂, nawaambia Nyosha tu maelezo best.
Naomba tuwe marafiki 🥹 jannelle
Screenshot_20250127-164757.jpg
 
Muda na elimu ndiyo zitaleta mabadiliko. Muda: Kadiri siku zinavyosonga mbele, ndivyo ustaarabu wa kimagharibi unaingia kwenye jamii zetu, hivyo baada ya muda tutakuwa tunaishi kama wazungu ambao urafiki wa kawaida wa msichana na mvulana ni jambo la kawaida. Elimu: elimu sahihi itaharakisha watu kustaarabika na kujua kuwa kumbe urafiki ni zaidi ya sex.
Sasa tusubiri huo muda
 
Yeah,.
Ila kama mko serious na mkiwa focused sana sio wajinga wajinga mnaweza mkawa marafiki,.
Ninae mmoja huyo nadhani ni miaka kumi sasa ameshakuwa brother
Jaribu siku moja fanya kama unamtania halafu uone shughuli yake
 
Urafiki ni kusaidiana sasa marafiki wa kike hawanaga msaada kwa mwanaume ila wao ndio huwa wanasaidiwa sana asa hapo return itabidi watoe mbususu ili kufidia, sasa unapogoma urafiki lazima ufe maana unakuwa wa upande mmoja
 
Kwanza kabisa, mimi hua naona kama kuwa na urafiki na mwanamke ni kumzibia rizki. Manake watu wataona kama vile niko nae kimapenzi na inawezekana akapoteza wanaume wa maana wakidhani ana mpenzi tayari. Na ukumbuke watu wengi wakishaona mko pamoja wana conclude wala hawaulizi kama wale ni wapenzi au laa.
 
Kwanza kabisa, mimi hua naona kama kuwa na urafiki na mwanamke ni kumzibia rizki. Manake watu wataona kama vile niko nae kimapenzi na inawezekana akapoteza wanaume wa maana wakidhani ana mpenzi tayari. Na ukumbuke watu wengi wakishaona mko pamoja wana conclude wala hawaulizi kama wale ni wapenzi au laa.
Hakika inategemea lakini kama mnakuwa muda wote hapo lazima watu wahisi nyie ni wapenzi
 
Urafiki ni kusaidiana sasa marafiki wa kike hawanaga msaada kwa mwanaume ila wao ndio huwa wanasaidiwa sana asa hapo return itabidi watoe mbususu ili kufidia, sasa unapogoma urafiki lazima ufe maana unakuwa wa upande mmoja
Ulishawahi kuwa na rafiki wa kike akashindwa kukusaidia??
 
Hakuna rafiki wa kike wala kiume

Ila kuna ndugu wa kiume au wakike

Tena ukiwa mwanamke usipende kuwa na urafiki na wanaume labda tu uwe professional ila ile kimta mtaa sijui school mate mnapigiana simu mara mkikutana mnakaa kuzungumza karibia nusu saa atakula nyau yako tu.

Maana mwanaume ni mashine ya ngono inayotembea yoyote kwa muda wowote anakula mzigo
Kwa nini ujiite Forest Gump jina linaakisi matendo
 
Usipomtongoza ata develop crush especially ukiwa sholder to lean on

As a street kid from Manzese sikuachi nacheka na nyavu so madam sometimes things happen
 
Back
Top Bottom