Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Ngoja uje uitwe mvaa qobazi pia mataifa yenye wakristo wengi pia ndio wanaongoza kuhalalisha ndoa za mashoga na wasagajisawa ata kama nchi za kiislam zina mashoga wengi,lakini,taasisi ya kiislam ktk mamlaka yake ya juu,haijatoa TAMKO kwamba mashoga wanastaili kuhudumiwa{mimi ni mkristo msema kweli],lakini sisi wakristo,au wakatoliki,ata kama hamna mashoga,lakini mkuu we2 wa ngazi za juu kabisa PAPA sijui NYANGUMI kasema!!!"makasisi wawabariki MASHOGA"!!!
Maaskofu walikua wanapinga nini mbona hawajawahi kupinga kabla mpaka papa alipoongea?Kwani hata hao maaskofu walisema kipi ambacho kilikuwa kimeandikwa kwenye Declaration? Hata walichosema maaskofu si BBC ndio waliosema maaskofu wampinga Papa? Au kama una waraka wa maaskofu wowote ambao wamepinga waraka uweke hapa tuone kama walichokisema ni kile kilichoandikwa kwenye Declaration. Nasubiri uweke waraka wa baraza lolote la Maaskofu Afrika ambao wamepinga hiyo Declaration. Maani ni vizuri tukaongea kwa data (facts) kuliko mambo ya kubuni kichwani au mihemko.
Sio kweli , 99% ya watangazaji wote ni Waisilamu,Hakuna mtu anashadadia ni wewe na akili zako ...Angali vita huko jinsi wanavyoleta propaganda.
BBC miaka yote inaenda kinyume na waislamu.
Ngoja utukanwe waislam ama uislam hua upo direct yaani na huu ndio ukweli mchunguWaislam Huwa wamenyooka sana Kwa misimamo ya Imani yao,kufikia wakati kuitwa magaidi,Wakristo mnapoambiwa ukweli ni wagumu Kwa kuwa mmeshawafanya binadamu wenzenu miungu na Dunia kuwakamata mpaka hamuoni Wala kusikia,hiyo ndio shida ya kutegemea binadamu wenzenu.
Watangazaji wa channel ipi 99% waislam kama bbc uongo nahata kama aljazeera pia uongoSio kweli , 99% ya watangazaji wote ni Waisilamu,
Kuwa na akili vyombe vya duniani vikubwa ukitoa aljazeera ,vipo against na uislamu..Sio kweli , 99% ya watangazaji wote ni Waisilamu,
Penda kushughulisha akili yako na sio kukulupuka hao bbc wameanza kumkosoa Nabii wa MUNGU marehemu TB Joshua pindi akiwa hai, na tatizo ni kuwaombea mashoga. Ambapo walianza kufunga chaneli zake za youtube kisa alivunja haki za binadamu kwa kuwaombea mashoga.BBC ni WA kweli they call a spade spade siyo kama tbc ya kupaka Paka rangi. Ulitaka waseme uongo ili kukufurahisha na T.B Joshua wenu aliyekuwa anatoa Mimba watu ovyo ovyo
Nyamizi huyu ni pacha wako?Kuna some hidden agenda, let's wait and see....
Kuchalenjiwa au kupakaziwa yasio kua kweliHiki chombo cha habari si kizuri kwa ukristo, kimekuwa kikusakama ukristo kikijua wakristo hawana munkari wa kuleta fujo kwenye ofisi zao popote duniani. Hebu wajaribu kuchalenji imani ya dini ile yenye jazba watashuhudia maandamano dunia nzima huku ofisi zao zikichomwa moto na waandamanaji wenye uchungu na dini yao kuchalenjiwa.
kwa hiyo unakiri hata hiyo documentary ya TB Joshua BBC inafanya propaganda?Hakuna mtu anashadadia ni wewe na akili zako ...Angali vita huko jinsi wanavyoleta propaganda.
BBC miaka yote inaenda kinyume na waislamu.
Usipende kuongozwa na hisia mkuu, bali shughulisha kwanza akili yako, sababu ya haya yote ni mashoga aliokua anawaombea marehemu TB Joshua pindi akiwa hai na kuwaponya kwa kutokurudi kwenye dhambi hiyo.Madudu yenu ya uongo yanavuliwa nguo na BBC mnaanza kutokwa na majasho?
TB Joshua wenu kaumbuliwa huko
tatizo lenu waislam mnajua kuwa papa ni kiongozi wa wakristo wote, **** kuna wakristo wanamuona ni wakala wa shetani dunianiWewe na papa nani mkatoliki?
Kama wewe unapenda kusikikiza BBC endelea, hukatazwi. Hata ukitaka kua shoga we kua tu. Kumchafua TB Joshua, habari za ushoga, n.kjeuri ya kuivimbia BBC mtu masikini wa akili na rishe anaitoa wapi?
Huyo ni TB joshua sio ukristo...Fuata ukristo sio kufuata watu ,utakuja kupotea..kwa hiyo unakiri hata hiyo documentary ya TB Joshua BBC inafanya propaganda?
Siku zote mkuu ogopa sana, mtumishi wa MUNGU ambae yupo very spiritual, walishia kufungia akaunti zake za youtube kisa ni kuwaombea mashoga. Na wakashindwa kupambana nae akiwa hai, Sasa amekufa ndio wameamua kupika hizi habari feki.Sio rahisi BBC kutoa kashifa za uongo because of the legal consequences. Hii ni habari imetoka after thorough investigation, na kubaini TB Joshua alikuwa tapeli, mwizi, mbakaji, muuza ndaga na muuaji.
Ogopa sana matapeli wa Nigeria
WAKRISTO bhanaBBC ni wanoko sana
Habari zao wanafuata serikali ya UK wanasemaje ndio nao wanafuata hata kama ni haki hawasemi
Rejea Hamas na Israel tu Rishi aliposema tu nao Waka base upande wake
Ila kuna Radio moja hapa inaitwa LBC wanapinga ujinga sana wao wanaongea na kuwaweka kitimoto live viongozi
Mimi naangalia TV news kama Al Jazeera ya kiarabu/English na RT International na bora hata DW
Subhana AllahWAKRISTO bhana
Kwahiyo siku hizi unaangalia Al Jazeera πππ
Manshaa AllahNaeka kituo hapa nikasali kwanza
Ramli mbaya sanaWAKRISTO bhana
Kwahiyo siku hizi unaangalia Al Jazeera πππ
Una ujinga,maradhi na utapia mlo uwezi kuivimbia BBC wewe.Kama wewe unapenda kusikikiza BBC endelea, hukatazwi. Hata ukitaka kua shoga we kua tu. Kumchafua TB Joshua, habari za ushoga, n.k
Hata enzi za Magufuri BBC ilisimama kindakidanki kutoa habari za uongozi wake katika negative way.
Mimi ni miongoni mwa watu ambao BBC niliacha kuisikikiza muda mrefu sana.