Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

kwanini wakasubiri sasa wasingalisema akiwa hai na mashuhuda watoke
 
Mtasusia vip sasa wakati mashoga wamefika mpaka kanisani ?
 
Kitu kibaya zaidi ni wewe kuendelea kujidanganya kuwa haya mambo hayapo ndani ya kanisa. papa Fransisco siyo mara moja au 2 amekua akizungumzia haya masuala je alikua anashurutishwa na BBC? Tumepata visa kadhaa vya unyanyasaji wa watoto kwa maaskofu wa kanisa katoliki hawa nao ni BBC? Nimefuatilia kidogo watu waliotoa ushuhuda katika kanisa la TB joshua hawa nao wametumwa na BBC? Nadhani kosa la BBC ni kuanika maovu ya kanisa hadharani.
 
Wakristo wanasahau kwamba hawawezi kutatua matatizo yao ya ushoga na mengineyo yaliopo kwakujidanganya kua hayapo
 
Waislam ni kweli kuna mashoga lakini hakuna kiongozi wa waislam alieruhusu kwamba waumini wao wanaruhusiwa kufanya hayo matendo hila ni baadhi ya wasiokuwa na akili timamu wameamua kuwa mashoga hila nyinyi wenzetu mmeruhusiwa na kiongozi wenu papa lakini nnashangaa mnampinga huo ujasiri sijui mnatoa wapi kumpinga kiongozi wenu,kama ww mtoa mada unatakiwa uwe mfano kuwa na nidhamu kufuata unachoambiwa na kiongozi wako utafute bwana uolewe
 
Nani karuhusu kwani ushoga? Au ufinyu wenu w uelewa ndo tatizo. Plz laumuni shule zenu na waliowapa hiyo elimu
 
Hawa BBC na shoga take CNN walipokuwa wanaandika habari za uongo kwenye Vita vya Urusi na Ukraine mlishangilia, sasa ndio mmegundua habari zao za uongo.
 
Waliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwa
Lakini ni kweli papa anasapoti ushoga ndio maana makunisa ya katoliki Afrika yamekuja juu
 
Kwani mashoga sio watu? Wao hawaitaji barakaa?
 
Umeangalia documentary za BBC kuhusu TB Joshua? Au unaisema vibaya BBC kwa kutetea dini tu?
 
Mbna mashoga wengi ni waislamu na wanapatikana ukanda wa pwani na mwambao wa uarabuni
 
Hv Mungu hawi Mungu hadi aitwe wa Ibrahim Isaka na Yakobo? Yaani siwezi kusema Mungu wangu hadi nianze na wayahudi?
 
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
Bora hiyo habari imekuja wakati Zuhura Yunusu na Salim Kikeke wameeondoka BBC, maana wangeweza kusakiziwa jambo, kuna uzi humu mwakajana ulissema BBC inawachukiwa wafanyakazi wake wa kiislam
 
Umesema ukweli mkuu.

Kuna watu wengine wana kitu kinaitwa "cognitive dissonance" katika saikolojia.

Yani wanakuwa na nadharia fulani hivi katika maisha yao.

Kwa mfano, mtu anaamini TB Joshua ni nabii wa Mungu.

Sasa, tukija kugundua kwa uhakika mkubwa kwamba TB Joshua alikuwa muhuni tu aliyekuwa anabaka watoto na kutoa mimba zake, hawa watu hawataki kukubali ukweli.

Badala ya kukubali ukweli kwamba TB Joshua alikuwa mshenzi mbakaji tu, wanaukataa ushahidi na kuubishia ili mradi TB Joshua abakie kuwa nabii wa Mungu wa kweli tu.
 
Sijui mi ndo mshamba?
ila huwa nashangaa kuona bado kuna watu wanafuatilia BBC, AlJazeera na CNN
 
Wewe ndo mshamba.
Atheist usiyejuwa maana ya Atheist nishakupuuzaga kitambo, silishangai jibu lako ila nikukumbushe we sio atheist we ni brainwashed mmoja unayejikuta unawazuzua wabongo kumbe tunakuchora tu, afu kuna sii wamatumbi hatujawahi hata kuvuka boda tunakuona we pimbi tu
NB. Hata mi siamini uwepo wa Mungu wa vitabu ila we ni atheist usiyejielewa
ushauzwa afu kwa bei chee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…