Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

Je, nini kipo nyuma ya BBC na hatma ya Ukristo na Wakristo duniani Ushoga kama mwelekeo wake Mpya?

Kama ni kweli huyo mchungaji aliyafanya na ushuhuda upo basi tusipambane na wao
Kweli BBC wana unafiki mwingi ila wakiamua kutuma watu kuchunguza wanaingia deep zaidi sio zetu za hearsay mpaka waandishi wetu yuko Dar anaandika ya Kigoma halafu anahitimisha kuwa eti Simu za fulani hazipatikani kila tukimpigia (hao ndio waandishi wetu) au zimegonga mwamba 😄
Napenda Panorama sana kwani huwa wanafuatilia mpaka Mexico
Kama ni Ushoga wamepania kila nyanja kuanzia Habari, mashuleni na kila sehemu
Mpaka Mabungeni wamejaa hawa jamaa
Na Israel ndio wanaongoza kwani kila mwaka wanakutana Tel Aviv Dunia yote
kwanini wakasubiri sasa wasingalisema akiwa hai na mashuhuda watoke
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Mtasusia vip sasa wakati mashoga wamefika mpaka kanisani ?
 
Kitu kibaya zaidi ni wewe kuendelea kujidanganya kuwa haya mambo hayapo ndani ya kanisa. papa Fransisco siyo mara moja au 2 amekua akizungumzia haya masuala je alikua anashurutishwa na BBC? Tumepata visa kadhaa vya unyanyasaji wa watoto kwa maaskofu wa kanisa katoliki hawa nao ni BBC? Nimefuatilia kidogo watu waliotoa ushuhuda katika kanisa la TB joshua hawa nao wametumwa na BBC? Nadhani kosa la BBC ni kuanika maovu ya kanisa hadharani.
 
Kitu kibaya zaidi ni wewe kuendelea kujidanganya kuwa haya mambo hayapo ndani ya kanisa. papa Fransisco siyo mara moja au 2 amekua akizungumzia haya masuala je alikua anashurutishwa na BBC? Tumepata visa kadhaa vya unyanyasaji wa watoto kwa maaskofu wa kanisa katoliki hawa nao ni BBC? Nimefuatilia kidogo watu waliotoa ushuhuda katika kanisa la TB joshua hawa nao wametumwa na BBC? Nadhani kosa la BBC ni kuanika maovu ya kanisa hadharani.
Wakristo wanasahau kwamba hawawezi kutatua matatizo yao ya ushoga na mengineyo yaliopo kwakujidanganya kua hayapo
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Waislam ni kweli kuna mashoga lakini hakuna kiongozi wa waislam alieruhusu kwamba waumini wao wanaruhusiwa kufanya hayo matendo hila ni baadhi ya wasiokuwa na akili timamu wameamua kuwa mashoga hila nyinyi wenzetu mmeruhusiwa na kiongozi wenu papa lakini nnashangaa mnampinga huo ujasiri sijui mnatoa wapi kumpinga kiongozi wenu,kama ww mtoa mada unatakiwa uwe mfano kuwa na nidhamu kufuata unachoambiwa na kiongozi wako utafute bwana uolewe
 
Waislam ni kweli kuna mashoga lakini hakuna kiongozi wa waislam alieruhusu kwamba waumini wao wanaruhusiwa kufanya hayo matendo hila ni baadhi ya wasiokuwa na akili timamu wameamua kuwa mashoga hila nyinyi wenzetu mmeruhusiwa na kiongozi wenu papa lakini nnashangaa mnampinga huo ujasiri sijui mnatoa wapi kumpinga kiongozi wenu,kama ww mtoa mada unatakiwa uwe mfano kuwa na nidhamu kufuata unachoambiwa na kiongozi wako utafute bwana uolewe
Nani karuhusu kwani ushoga? Au ufinyu wenu w uelewa ndo tatizo. Plz laumuni shule zenu na waliowapa hiyo elimu
 
Hawa BBC na shoga take CNN walipokuwa wanaandika habari za uongo kwenye Vita vya Urusi na Ukraine mlishangilia, sasa ndio mmegundua habari zao za uongo.
 
Waliposema papa anasapoti ushoga mlishangilia sana Sasa Leo BBC imewapa kibano manalialia kama mbwa
Lakini ni kweli papa anasapoti ushoga ndio maana makunisa ya katoliki Afrika yamekuja juu
 
sawa ata kama nchi za kiislam zina mashoga wengi,lakini,taasisi ya kiislam ktk mamlaka yake ya juu,haijatoa TAMKO kwamba mashoga wanastaili kuhudumiwa{mimi ni mkristo msema kweli],lakini sisi wakristo,au wakatoliki,ata kama hamna mashoga,lakini mkuu we2 wa ngazi za juu kabisa PAPA sijui NYANGUMI kasema!!!"makasisi wawabariki MASHOGA"!!!
Kwani mashoga sio watu? Wao hawaitaji barakaa?
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Umeangalia documentary za BBC kuhusu TB Joshua? Au unaisema vibaya BBC kwa kutetea dini tu?
 
Mtoa mada unatakiwa upigwe makonzi upate na viji akili kidogo

Hoja yako namba 4 ni mfu kama walivyo hao BBC

Yaani leo mmeamua kusema BBC inaukaribu na waislam

Pia taja nchi tano za waislam ama zenye waislam wengi zilizopitisha sheria za ushoga rasmi kama kwenu

Europe Union yote kule wakristo wengi na karibu manchi yote huna lakuwaambia kuhusiana na ushoga(halali)

Amerka kusini na kaskazini kote kule wakristo wengi na manchi yao kama sio yote basi 90% ushoga halali kabisa kama nini sijui

Pale mashariki ya kati ambapo ndio kitovu cha Uislam hem tutajie taifa moja tu linaloutambua ushoga kama huko kwenu kwa Gaynations

Mkiambiwa Uislamu ndio njia sahihi ya maisha ya mwanaadam muufate mnakaakaa tu huko nakupoteza muda wenu nakuambatanisha chuki zenu eti BBC hawa hawa wawe jino kwa jino na uislamu na waislam

Mlivyokua muflis na hamna hoja mtakuja kusema papa nae muislam

Mtoa mada huna hoja ila tu nikupe hii kama faida kwasasa ushoga Unapigiea chapuo na mataifa makubwa wanataka iwe ni system kabisa ya mfumo wamaisha kuona mwanao me kaoa me ama kaolewa na me mwenzake uone kawaida sana na kinyume chake

Mtoa mada karibu kwenye Uislam nafasi bado zipo na hazijai ukifa kwenye ukristo (ukafiri) usije ukasema sikukukwambia kua uislam ndio dini ya haki

Hakika dini ya haki mbele ya mwenye enzi Mungu ni Uislam(hakuna sehem kwenye baibo nasikia waloutaja ukristo kama dini kama ipo nioneshe hem)
Mbna mashoga wengi ni waislamu na wanapatikana ukanda wa pwani na mwambao wa uarabuni
 
Hakuna kama Yehova,


1. Nimefanya utafiti wa kina na nimebaini BBC sio chombo Cha habari tena Cha kuaminika duniani,

2. Katika utafiti wangu pia nimegundua BBC ni chombo Cha habari kinachoendeshwa na mashoga kwa 100%

3. Zaidi sana nikagundua ndio chombo kilichojipa kazi ya kupambana na Mungu wa Wakristo duniani,

4. Kwa Ukubwa nikabaini ni chombo chenye mafungamo ya karibu na dini ya kiisilamu na kwambali na Uanglikana,

5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,

6. Sasa BBC imemvaa marehemu TB Joshua ili tu kujaribu kusambaratisha Kanisa la Mungu "The Church of all Nations" liliko Lagos Nigeria,

7. Nimebaini jambo pekee wanaloweza kulifanya Wakristu ni kuhakikisha BBC inakufa kwani imejipa kazi ya kupambana na Mungu wa Ibrahim na Isaka, Mungu Elia na Elisha, Mungu wa TB Joshua na Mungu wa jakobo etc


#Nashauri wakrisho wote tususie hiki chombo Cha habari Cha BBC
Hv Mungu hawi Mungu hadi aitwe wa Ibrahim Isaka na Yakobo? Yaani siwezi kusema Mungu wangu hadi nianze na wayahudi?
 
5. Pamoja na nchi za kiisilamu kuwa na wimbi baya la Ushoga na mashoga bado BBC imeelekeza nguvu kupambana na Kanisa Katoliki ili kujaribu kuiaminisha Dunia kuwa Katoliki inavutia Ushoga,
Bora hiyo habari imekuja wakati Zuhura Yunusu na Salim Kikeke wameeondoka BBC, maana wangeweza kusakiziwa jambo, kuna uzi humu mwakajana ulissema BBC inawachukiwa wafanyakazi wake wa kiislam
 
Hapo umewasingizia bure! BBC wanajitahidi kuripoti taarifa za Uhakika!
Na hawafichi taarifa!
Taarifa ambazo BBC walizitoa juu ya Papa kuruhusu kubarikiwa kwa ndoa za Mashoga ni za kweli, vinginevyo Maaskofu katika nchi mbali mbali hususani Afrika wasingepinga maagzo ya Papa! Sasa wangepingaje kama kauli aliyotoa Papa siyo ya Kweli?
Kuhusu TB Joshua, wameripoti taarifa zake kutoka kwa watu ambao walijua uovu wa TB Joshua!
Umesema ukweli mkuu.

Kuna watu wengine wana kitu kinaitwa "cognitive dissonance" katika saikolojia.

Yani wanakuwa na nadharia fulani hivi katika maisha yao.

Kwa mfano, mtu anaamini TB Joshua ni nabii wa Mungu.

Sasa, tukija kugundua kwa uhakika mkubwa kwamba TB Joshua alikuwa muhuni tu aliyekuwa anabaka watoto na kutoa mimba zake, hawa watu hawataki kukubali ukweli.

Badala ya kukubali ukweli kwamba TB Joshua alikuwa mshenzi mbakaji tu, wanaukataa ushahidi na kuubishia ili mradi TB Joshua abakie kuwa nabii wa Mungu wa kweli tu.
 
Sijui mi ndo mshamba?
ila huwa nashangaa kuona bado kuna watu wanafuatilia BBC, AlJazeera na CNN
 
Wewe ndo mshamba.
Atheist usiyejuwa maana ya Atheist nishakupuuzaga kitambo, silishangai jibu lako ila nikukumbushe we sio atheist we ni brainwashed mmoja unayejikuta unawazuzua wabongo kumbe tunakuchora tu, afu kuna sii wamatumbi hatujawahi hata kuvuka boda tunakuona we pimbi tu
NB. Hata mi siamini uwepo wa Mungu wa vitabu ila we ni atheist usiyejielewa
ushauzwa afu kwa bei chee
 
Back
Top Bottom