Siri ya jeans na cadet ni kufuliwa mara chache ,mimi nguo zangu zote midosho sina jeans wala cadet ya elfu 30 lakini hiyo midosho mingine ya tangia ,2018 mpaka leo navaa na ipo poa tu , nguo hasa za dukani hutakiwi kuifua mara kwa mara ,vaa fua atleast mara moja kwa wiki mbili ,inatakiwa unakuwa na midosho mingi inaivaa Kwa kualternate ila kama ndio unanunua halafu unakaa na kazi za kuchafuka sana halafu unatakiwa uwe unafua kila siku ,hiyo nguo haikai