Je Pyramids zilikua na kazi gani ?

soma historia vizuri mkuu,musa si muasisi wa israeli kama taifa,taifa la israeli lilikuwepo tangu mwanzo,ila tu ni kwamba JOSEPH/YUSUFU ndiye chanzo cha waisrael kutumbukia utumwani misri,na ndiye chanzo cha waisraeli kupigana vita hadi leo. Why? Kwa sababu,YUSUFU ndiye aliwashawishi wazee wake waende mpaka misri kwa ajiri ya kukimbia njaa kwao,jambo lililosababisha waliache eneo lao kwa miaka mingi hivyo likakaliwa na watu wengine,badae wanarudi kwao wanakuta maeneo yao yanakaliwa ndo vita vinapamba moto mpaka kesho.
 
Nimeisoma hiyo historia vizuri. Waisrael wangapi walienda Misri na wangapi waliondoka baada ya miaka 400?

Walioingia unaweza kuwaita Taifa watu chini ya mia moja? Kila kitu walijifunza Misri, wakachukua vitu kadhaa na wakabadilisha vitu kadhaa wakatengeneza dini yao tofauti.
 
Swali umelijibu vyema ila limegusa sehemu moja kwamba waliipoteza baada ya kuwa safarini kwa muda mrefu,

Je hiyo teknolojia waliipata wakiwa utumwani misri ?
itakuaje watumwa wapo nchi ya watu utumwani wanapigishwa kazi ndo wapate teknolojia kubwa namna hiyo ya ujenzi inayoshangaza hadi leo ?

kama walisha kua nayo kabla ya utumwa, utathibitishaje na hakuna majengo yoyote waliyojenga

Egypt wamefanya mumification, walikua wataalamu wa hesabu, lugha dawa
je hivyo vyote walikuja kufanyiwa na waisraeli ?

Misri ipo Africa ndo maana watu wasio wa afrika wanajaribu kupindisha historia ionekane wa misri hawakujenga pyramids

imagine hadi saivi wanazidi kugungua mummified bodies nyingine ambazo zimefungwa kwa namna ambayo watafiti wa saivi hawaelewi imefungwaje yaani kamba haina mwanzi wala mwisho

sanamu walizotengeneza watu wamechonga mlima kutengeneza sanamu mawe yamekatwa perfectly

Egypt kuna vitu vingi vinavyoonyesha teknolojia yao ya hali ya juu na haiwezekani wakawaneamekuja kufanyiwa kazi na watumwa

imagine waisraeli ndo wangekua wameendelea kiasi hicho, wangewezaje kufanywa watumwa na watu ambao hawajaendelea
 
Matumizi yake ni kwamba haya mapiramisi yalikuwa ni Generators za Wireless electricity; nadhani walikuwa wanasambaza umeme hadi nje ya Bara la Afrika
 
Maelezo meeengii alafu hakuna la maana umeongea
 
Tech. hiyo walikuwa nayo mkuu, na ukienda masharki ya kati unaweza kustaajabu mengi sana, kuna mabaki ya mnara wa babeli,mahekalu nk ambayo yaliharibiwa kutokana na sababu za vita,na wafalme wa israeli kwamba kila mfalme alikuwa akiingia alikuwa na falsafa zake,wapo waliojenga mahekalu wapo waliobomoa. tafakari, mnara wa babeli ambao watu walipanga kwenda kwa Mungu ulikuwa wa kawaida kama ya hivi sasa? kulikuwa na mawe mazito,matofari na mafundi wabobezi wa kujenga mnara huo. turudi egypt mkuu,unasema kihistoria mapiramids yalijengwa na wenyeji, je hiyo tech. ilipotelewa wapi ambapo wenyewe wanagundua mummified bodies ambayo wanaona ni tech. kubwa na ya ajabu ilitumika kufunga miili hiyo na hawana tena ili hali ni ya kwao(ilipotelea wapi)? tukubali ukweli mkuu, tech. hiyo ni ya waisrael na ilipotelea njiani na kukaa katika vita kwa muda mrefu ilifanya jamii hiyo ibase ktk vita wakiacha maarifa yakipotea. karibu kwa changamoto mkuu NadeOj
 
mnara wa babeli according to bible haikujengea ili kimfikia Mungu, ulijengwa ili watu wasitawanyike yaani wasiende mbali nao uwekama sehemu ya kupatambua hapo ila moango wa Mungu ulikua ni watu kuijaza Dunia - hiyo ni according to bible

According to science na archeology Civilization zilikwepo nyingi miaka ya kale ambazo zilikuja kupotea

miaka ya kale kabisa kabla hata ya civilization ya Egypt iliyopita kuna watu waliitwa summerians wale watu walikua hadi wanaujua vizuri mfumo wa jua wamechora sayari zikizunguka jua kwenye details za kushangaza

wale watu walikua wanajua hadi DNA, kuna michoro inaonyesha picha za DNM walijuaje ?
teknolojia yao ilipoteaje ?

unavosema hivo ni kwamba safari tu ndo chanzo cha kupotea kwa tech

civilization zilikwepo nyingi sana, Maya Civilization kipindi hicho

ila baada ya sisi kuanza kujipata kwenye tech ndo tumeanza kugundua mambo ya zamani

je yalipoteaje ?

iweje wa Israeli waache Legacy Egypt kuliko waliyoacha kwao alafu Egypt walikaa tu utumwani

bado nauliza kama Wa Israeli walikua wameendelea kiasi hicho kuwazidi wa misri waliwezaje kutawaliwa na wa misri

Ancient Egypt ni hatari walikua mbali, fuatilia Egyptology
 
Sote tunajua, waisrael walitumbukiaje utumwani misri,wakaongezeka mpaka akaja mussa kuwapambania ili wajikomboe kutoka utumwani warudi kwao,hivyo kumbe hata kama wangekuwa na tech ya aina gani lazima ilitakiwa wawepo utumwani. Na walipokuwa wengi walifanikisha kuondoka, hata sasa katika jamii iliyostaarabika bado wana tech. Ndogondogo na za kipekee duniani,na kutokana na taifa kukosa nguvu ya ushawishi duniani,tech hiyo imekuwa ikichukuliwa na mataifa yenye nguvu kama marekani nk. Na kutuaminisha kuwa wao ndio waanzilishi, ivi nikuulize kwa nini USA inaikumbatia sana israel licha ya kuwa inafanya unyama huko gaza? kuhusu kuwa hapo mwanzo (zamani), kulikuwepo na tech kubwa na kutokana na sababu za vita,mwingiliano wa jamii ,jamiii nyingi zilitawanyika hivyo zilipoteza maarifa na tamaduni zao,hili silikatai ila hayo mapiramids yalijengwa na waisrael. CC: @NadeOj
 
Mkuu hao waisrael unawapigia chapuo si lolote wala chochote kwa Wa misri ndo maana walikua utumwani…kiasili na kikawaida jamii yenye nguvu ndo hutawala jamii Legevu. Mfano ni jamii legevu ya africans kutawqalia na jamii yenye nguvu Whites,ki uchumi na ki technology
 
walikuana na urefu kama sisi tuu kwasababu kuna mabaki ya mifupa na miili iliyokua mummified kwenye pyramids iliyozikwa enzi hizo, wanafanana tu na binadamu wa sasa
tofautisha aliyejenga Na ALIYEKAA.Uenda hata hao walioishi humo walikuta zimeshajengwa
 
tofautisha aliyejenga Na ALIYEKAA.Uenda hata hao walioishi humo walikuta zimeshajengwa
zimejengwa kipindi cha utawala wa mafarao na pyramid kuu imejengwa takriban miaka 4700 iliyopita ambapo ilikua ni kipindi cha farao Khufu

kwaiyo sio walikaa ni waliyajenga

tena waliyajenga special kuendana na tamaduni zao za kipindi hicho
 
Mpe Oda mchina Kwanza afu uone kama ningumu
 
Kwa ninavyojua mimi kutokana na kusoma kidgo kuhus watu wa zamani,especially wa huko misri…wao walkua ni warefu kweli kweli
zimejengwa kipindi cha utawala wa mafarao na pyramid kuu imejengwa takriban miaka 4700 iliyopita ambapo ilikua ni kipindi cha farao Khufu

kwaiyo sio walikaa ni waliyajenga

tena waliyajenga special kuendana na tamaduni zao za kipindi hicho
Hao watu wa zamani walkua ni warefu kutuzid sisi mbaali mno.
 
Ukisoma vitu kama hvi ndo unakuja kujua kua Dunia ni sehem ya kupita tu…Hakuna cha legacy wala kizazi …Tuko maabara.
 
Kwa ninavyojua mimi kutokana na kusoma kidgo kuhus watu wa zamani,especially wa huko misri…wao walkua ni warefu kweli kweli

Hao watu wa zamani walkua ni warefu kutuzid sisi mbaali mno.
unajua kuna miili waliifanyia mumufication kwamfano hata mwili wa farao Ramses II kwaiyo imehifadhiwa vizuri hadi leo

miili yao inaonyesha walikua na urefu wa kawaida tuuhawajatuzidi sana ni kawaida tuu kama urefu wa watu wa sasa
 
zimejengwa kipindi cha utawala wa mafarao na pyramid kuu imejengwa takriban miaka 4700 iliyopita ambapo ilikua ni kipindi cha farao Khufu

kwaiyo sio walikaa ni waliyajenga

tena waliyajenga special kuendana na tamaduni zao za kipindi hicho
sasa hyo miaka watu hawakuwa wafupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…