Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Watanzania bwana sometimes wanachekesha sana. Kuna mtu alisema Magufuli amefariki kwa corona na mkapinga sasa mkapewa taarifa maalum ya serikali kuwa amefariki kwa ugonjwa wa moyo nayo pia mnapinga na sasa mnadai kuwa ameuliwa? Naapa hata mkiambiwa kauliwa pia mtabisha!
Upo sahihi mkuu. Wabongo ni hatari
 
Tuache ramli chonganishi jmn siku zake ndo zimefika mwisho, tuenzi alivyo acha kama ukumbusho na sio ramli chonganishi

Tumuache apumzike aliko maana kila mtu atakufa hata kwa Pneumonia
 
Mkuu siyo swala la ubishi. Hata madaktari wenyewe hawajui chochote kuhusu CORONA. Fanya research kwa kuwauliza madaktari wakueleze CORONA inaambukizwa vipi? inashambuliaje mwiliwa binadamu? na swali lolote utakaloona linafaa. Ukichukua sample hata ya 10 Doctors hasa wale waliobobea kwenye virology utapata versin 10 za majibu. Mbona kwenye magonjwa mengine wapo vizuri??
 
Nitashangaa kama seriki ya CCM chini ya Mh Rais Samia inatamuacha Tundu Lissu salama bila kumwajibisha.Anatakiwa akamatwe atuambie hao waliyompa information ( from America and sound Africa) na Lengo Lao ilikuwa nini? Walijuaje?
Ingekuwa mimi condition ya kurudi Tanzania na kuitwa Mtanzania ni kuwataja hao informa wake.
Wamwajibishe kwa kosa gani? au kukwambia Magu anaumwa naww ulikuwa unasubiri taarifa ya Hampley pole pole

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Watu waliwekeza sana kwenye uchaguzi wa 2020 na walipoteza fedha zao nyingi.

Pia wapo walopoteza fedha zao baada ya 2015 ambapo "hearts and minds" zilikuwa ni kwenye mirija yao ya kuihujumu Tanzania.

Alipokuwa akisisitza kuwa Tanzania ipo kwenye vita ya kiuchumi alipaswa kuungwa mkono na kila mtanzania na hivyo ndivyo wenzetu wazungu wanavyofanya.
Magu alikuwa kwenye vita ya uchumi na Nani?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Una akili kubwa sana aisee.

Ulichoandika nimekiwaza sana japo mi niliwaza zaidi kwenye sumu, huku nikiwaza bila majibu kuwa ni nani na kwa njia gani hata sumu imfikie Mheshimiwa mwenye walinzi lukuki.

Umesema vizuri, nisaidie hili, ina maana hicho chombo kingeweza kudukuliwa even from far?

Umesema doctors walitia shaka au waligundua hilo, je haikuwa rahisi kukibadili chap ?

Anyways hakuna mtu anayependa mtu afe kwa vyovyote ila kifo cha huyu Mheshimiwa ni very challenging.
Hakuna challenging yoyote watu nadhani hawaamini kwamba Rais anaweza kufa akiwa mamlakani

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Wasukuma acheni ujinga. Mama Samia aliitangazia dunia kuwa Mzee alikuwa na matatizo ya moyo kwa miaka 10 mpaka umauti kumfikia.

Nyie na ushamba wenu wa kutembea na khanga viunoni mkichunga ng'ombe mnaleta conspiracy zisizo na maana.


Unakumbuka mzee wetu aliwahi kwenda kunywa kikombe Cha baby ?
Acha ukabila k wewe..!
 
Marekani vifo vilivyorekodiwa vinaelekea kufikia laki 6 na wanavaa barakoa mbilimbili na huduma za afya zilizo bora kabisa duniani.

Museveni wa Uganda kasema hadharani aliongea na JPM siku ile ya kikao cha wakuu wa jumuiya ya EAC alfajiri mapema na JPM akamuambia anasumbuliwa na Acute Head Ache na akashangaa baadaye kwenye kikao yuko Samia Naibu wa Rais.

Msimpangie Mungu endeleeni kumtegemea Mungu hapo ndipo majibu ya kweli yalipo. Propoganda uchwara hazisaidii kitu chechote kiwacho kile.
Umeenda mbali sana, hapo kenya tu juzi chama cha madkari wamesema wagonjwa bado wanaongezeka na hospitali zinaelemewa.
 
Back
Top Bottom