Upo sahihi mkuu. Wabongo ni hatari
 
Tuache ramli chonganishi jmn siku zake ndo zimefika mwisho, tuenzi alivyo acha kama ukumbusho na sio ramli chonganishi

Tumuache apumzike aliko maana kila mtu atakufa hata kwa Pneumonia
 
Mkuu siyo swala la ubishi. Hata madaktari wenyewe hawajui chochote kuhusu CORONA. Fanya research kwa kuwauliza madaktari wakueleze CORONA inaambukizwa vipi? inashambuliaje mwiliwa binadamu? na swali lolote utakaloona linafaa. Ukichukua sample hata ya 10 Doctors hasa wale waliobobea kwenye virology utapata versin 10 za majibu. Mbona kwenye magonjwa mengine wapo vizuri??
 
Wamwajibishe kwa kosa gani? au kukwambia Magu anaumwa naww ulikuwa unasubiri taarifa ya Hampley pole pole

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Magu alikuwa kwenye vita ya uchumi na Nani?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna challenging yoyote watu nadhani hawaamini kwamba Rais anaweza kufa akiwa mamlakani

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Acha ukabila k wewe..!
 
Umeenda mbali sana, hapo kenya tu juzi chama cha madkari wamesema wagonjwa bado wanaongezeka na hospitali zinaelemewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…