Corona ilipochangamana na tatizo la moyo ikamuomdoa mwamba hilo ni wazi kabisa halihitaji ramli.
 
Unaeleza kitu ambacho watanzania kwa mamilioni wanajua...walitaka ionekane kuwa ni Corona...lakini hakuna Mtanzania anayetaja kuwa kifo hicho kimetokana na Corona...hata media za Kenya nadhani zimeacha ujinga na upumbavu huu..wameshindwa kabisa kuwaaminisha watanzania kuwa our beloved leader amekufa kwa Corona...watanzania sisi tunajua why Magufuli died...Lissu anajua kiluchomuua Magu...right now Lissu is trembling with fear...
 
Kweli kabisa msomi anakaa na kuandaa bandiko Kama Hili? Ukiitwa uthibitishe hizo shutma utaweza?

Lissu alisema chanzo Cha kuaminika kutoka ndani ya Serikali ya Tanzania,
Lissu anahusikaje na haya? Anajeshi? Anamiliki BOT? Anamiliki nchi ya Tz?

Ule ulikuwa uchaguzi au uchafuzi?
Kiukweli km Wasomi wetu wanafikiri kiujinga ujinga kiasi hiki Basi Tena inahaki tuwe watumwa tu wa wazungu
 
Wajinga Sana hao.
Hivi unaona treni inakuja halafu unalala kwenye reli halafu useme siku ilikuwa imefika! Kama ni hivyo huwa tunachukua tahadhari za nini sasa? Watu si tungekuwa tunapika hata mimea yenye sumu tu kwa kuamini kama imefika imefika, kwa nini kwenye boti kuna life jackets? Kwa nini kuna alama za batabarani? Kwa nini waendesha pikipiki wanatakiwa kuvaa helmet?
Msipende kuongea ujinga ili ku justify mambo ya kipuuzi. As long as uko hai, ni lazima uchukue tahadhari.
 
Unachekesha na kuhuzunisha sana kwa wakati mmoja
 
Nakumbuka Sir Seretse Khama Rais wa kwanza wa Botswana alikuwa na pacemaker kwa miaka mingi tu na alikuwa anafanya upgrading ya mara kwa mara.
Pacemaker wanatumia watu wengi. Magufuli kilichomuua ni corona ikichanganya na huo ugonjwa aliokuwa nao. Mimi nashangaa watu wanakuja na nadharia za kusadika hapa wakati inajukana kabisa ni nini kilikuwa tatizo. Karne hii siyo ya kuangalia tena mchawi ni nani watoto wetu wanapokufa kwa utapia mlo.
 
Umeandika vyema sasa jana nilishangaa sana nilipoana makala ya Lisu eti sources zake ni USA na Africa kusini.
Anaweza kuwa anapoteza maboya mwanangu, kwani huoni unaambiwa kigogo ni Didier Mlawa? Ni kupoteza tu ili mjue kigogo yuko nje kumbe tunaye
 
Kirefu cha UVIKO ni nini mkuu
 
Magufuli aliacha kuchukuwa tahadhari za corona wakati alijua yuko kwenye risk group. Matokea yake corona ilipompata ikaleta kifo. Mengine ni ngonjera za kuwadanganya watu wasio na upeo.

Badala ya serikali kukubali ukweli ifanye overhaul kwenye system nzima inayohusika na afya na ulinzi wa rais tunaposha ukweli. Matokeao yake yanaweza kuwa mabaya kwani kosa litarudiwa tena.

Ni wakati wa kujiuliza ilikuwaje dr wa rais anayejua kuwa Magufuli alikuwa kwenye risk group anamwachia aendelee na maisha bila tahadhari. Na PSU ya rais pia ifumuliwe kwani imeshindwa kufanya kazi yake.
 
Korona ilianza na Kijazi kwanza. Ikasema ngoja nisogee hapa kiti cha pili - ikapiga hapo napo!!
Ambacho huwa najiuliza hii corona inachagua?

Msingi wa swali langu ni kwa sababu huku mtaani tunajichanganya sana vijana na hata wazee, na wenye presha, visukari tena wazee lakini mbona hawafi iwe hao vigogo tu?
 
Corona inachagua?
 
Kumhudumia mgonjwa wa corona na usipate ndiyo ukahitimisha kuwa hakuna corona? Unatania? Tangu corona iingie hujasoma kuwa kuna watu wengi tu wanapata corona na hawaugui hata kidogo? Na hii ndiyo inafanya huu ugonjwa uwe hatari kwa sababu mtu wa aina yako anakwenda kuwaambukiza watu wengine bila kujulikana.
 
Mkuu unaweza kutusaidia ni kwa namna gani pesa hizo zilizowekezwa zilisaidia kufinance uchaguzi wa 2020? Kama nimekuelewa vizuri ni kuwa unataka kusema kuna kundi lilikuwa financed na hao waliopoteza pesa, hasa kwa 2020.

Halafu ni wazungu gani wanafanya hivyo, sababu ya wazungu kuziunga mkono serikali zao ni transparency iliyopo kwenye serikali, Huku kiongozi anaongea kwa mafumbo kuwa tuko kwenye vita ya kiuchumi au tunamaadui halafu anategemea kuungwa mkono na watu wote! tutajuaje kama hao maadui sio maadui binafsi tusijekujiingiza katika vita binafsi. Wangesema maadui zetu ni hawa, wamefanya hivi na hivi na ushahidi huu hapa ili tuone na tupime kama tunaweza kuwaunga mkono kama "nchi".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…