Kwa hiyo africa inalisha wazungu au? Zero brain
 
Acheni ujinga usio na maana.
Na wamarekani ndio waliosema watu wa Ikulu wasivae barakoa?
Na Kijazi je , moyo wake ulidukuliwa?
Tukubali ukweli System ili mess up na sasa wawajibike!
Hii kutafuta mchawi haisaidii.
 
Na je ndo hao hao waliobuni, kutengeza (na pengine) kumwekea hiyo pacemaker?!!!!
 
5 to 7 years
Babu yangu anayo naa kola baada yaa miaka kumi. Now Babu yangu Ana 91yrs. Pacemaker kama hauna stress inaishia kawaida wala haina shida. Mama wa rafiki yangu yeye aloishi nayo tangu akiwa na 40yrs alifariki akiwa na 85yrs Tena baada ya mwanae kipenzi kuugua na kufariki

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Nyie endeleeni kukomaza shingo tu. Korona is real...Itawamaliza!
 
Nyie endeleeni kukomaza shingo tu. Korona is real...Itawamaliza!

Itakumaliza wewe ambaye unafikiri kutegemea barakoa na chanjo ambukizi ndio njia ya kukuokoa, akili na maujuaji huku ukiacha kumtegemea Mungu wa Mbinguni.
 
Kuna wengine waliwekeza kuanzia wakurugenzi,wasimamizi, tume yenyewe na kuzima internet

Mabango nchi nzima huku waliokua wakishindana nao wakikatazwa kuweka..

Misafara mikubwa ambayo haijulikani pesa zake ziligharamiwa na nani.....


Bado kuchapisha kura na kuzidouble walifanya wao pia..

Kweli wabongo kwa mgawanyiko huu hautakwisha kama kila mtu asipoweka ushabiki pembeni na kukubali alikosea wapi!
 
Let's assume kuwa Kuna kaukwel flan kwenye argument yako kuhusu unyonyaji. Ikiwa ndivyo kwa hiyo njia ya kuzuia unyonyaji huo Ni kuwagawa wananchi wako? Hivi kweli mtu ukute baba yake, Ndugu, rafiki au jamaa yake kasukumizwa marisasi bila kosa au kaokotwa ufukweni mfu, au kapotezwa, au kahujumiwa kwenye uchaguzi, biashara au AJira,. Au fedha zimechotwa benk halafu leo umwambie aomboleze eti Kuna mtu kafa?!!!!! Nyie bana tishen tu watu lakin mbuzi zinachinjwa na bia zinanyweka tu Kama kawaida. Msitufokee.
 
Kwa bahati mbaya kwako I do not believe in what you call C-19 as a natural disease.All these respiratory problems and pneumonia like symptoms we see around us are caused by deliberate air pollution by agents of the NWO including Bill Gates,the Rockefeller s etc. through what we call Chemtrals admixed with viruses.What they call C-19 is in fact a scapegoat.Mtadanganywa sana kwa kuwa hamtaki kutafuta taarifa sahihi you just pick their lies.
 
Si tu kua hajitambui ni nothing kabisa unawezaje kumwambia mwenzio a walking dead? Malezi mabovu sana hiki kizazi
Mbona nyie mnamuita Lissu kiwete wakati mmevunjavunja nyie nyie?!!!!
Mbowe naye mkamlisu afu mnamtukana eti faru John!! Nyie nyie nyie watu nyie mioyo yetu inavuja damu mjue?!!! Nyie acheni tu Mungu yupo atatulipia kila baya mlilotutenda.
 
Ila Jo Biden amewarudisha tayari USA kwenye WHO baada ya uchizi wa Trump kujitoa..🙂
Trump sio chizi mkuu,infact he was the right President for America and the World.Trump knows that there is a group we call the NWO which has given itself the mandate of making the World a better place to live according to their way of thinking,which is however anti-human.This is the group Trump was trying to fight because it has taken the World and humanity hostage.Wangapi wanalijua hili,very few,ndio maana Trump mnamuona chizi,sio,he was right.

This is the same group Magufuli was against,ndio maana waTZ wengi pia hawamuelewi.

Nimalizie kwa kusema,unfortunately through millennia of brainwashing and indoctrination,humanity has believed that the ways of the group i.e.NWO as depicted in TV,and other forms of media in culture,politics,
science
education and entertaiment
are the right ways,not knowing that it is all an illusion.Kwa bahati mbaya kubadili perception ya watu kuhusu issues of life,which is mostly wrong, luciferian and draconian,is extremely difficult,if not impossible.
 
Tz kuna MTU mmoja tu mwenye akili sana. Na nathubutu kusema akili yake amewazidi watz wote hata zikichanganywa akili zao.

Ni bingwa wa lobbying Tz.

Hana makazi maalumu nchi yyt ile.

Ni mwanasisiem maslahi.

Hajaonekana kwa hadhara kwa muda sasa.


Jina la MTU Huyo ni
.
.
.
.
.
.
.

Nimeota Jana usiku ndoto ikaishia hapo. Leo ikiemdela nitawapa updates.

Don't take serious



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…