Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Don’t crush him down Chief, Hebu let’s discuss like grown ups and GTs!

Turudi nyuma mpaka Mwaka 2017 ambapo ghafla ulinzi wa mheshimiwa Rais (hayati JPM) ulibadirika kutoka kuwa tu na wanausalama wachache mpaka kudeploy almost the all PSU team kila alikoenda!

Wengi walisema ni kibiti’s effect lakini it wasn’t confirmed by any authority!

But kingine tujiangalie hata sisi wenyewe humu kwa platforms za social media hasa Tweeter & JF, funny enough bado baadhi ya nyuzi zimo humu JF! Very controversial topics and even threats to the late! Nyuzi hizi zilienda sambamba kabisa na muda ulinzi wa the late ulipobadirika! 2017!

Anyway maybe sijui nisemacho pia!
Nothing will change no matter the narratives
 
Acheni ujinga usio na maana.
Na wamarekani ndio waliosema watu wa Ikulu wasivae barakoa?
Na Kijazi je , moyo wake ulidukuliwa?
Tukubali ukweli System ili mess up na sasa wawajibike!
Hii kutafuta mchawi haisaidii.
Na probably mpaka sasa wameshalipa watu kuja kuropoka ujinga mitandaoni.

Inasikitisha Majaliwa bado ni PM
 
Kuna watu wanaoitwa. Wanyonge they never think ndio hao ni bendera lakini elite hawana huo ujinga wa eti kuzimia sijui kulia

Mbona waliotolewa majalalani hatuwaoni wakizimia kama wanyonge? Ushawahi ona wenye pesa wanaanguka mapepo makanisani? How about wanyonge na mapepo? Hayo ndio majibu sasa
Kwa majibu hayo wewe ndio mmoja wa hao elites? Halafu ungepita mbali tu na mifano yako ya mapepo. Wewe mwenyewe unaweza kuwa na pepo lako na hujui tu maana limetulia sababu mnaendana tabia zenu, Mf. pepo la pride au arrogance.
 
Nimeisoma thread yako kwa kina sana. Almanusura niamini ulichoandika.... Mpaka nilipokutana na hii post yako ndo nikafunguka akili...

Nyie watu wa ukoo Chattle mna matatizo makubwa sana. Tumejifunza kutokana na makosa.... Hatutawapa tena nchi yetu mazwazwa...

Magu amededi kama alivyodedi Kijazi, babu yangu, Maalim Seif, Pope John Paul II bunadamu wengine wote...

Ukweli ni kwamba kama mabeberu wangemtaka Lissu kama unavyotuaminisha, na hako kapacemaker ndo kalikuwa kikwazo .... wasingesubiri aapishwe, wangeshamdedisha wakati anapiga mapushapu yake wakati akijua ana tatizo la moyo...

Magu kashatangulia, tumeshampata rais mpya... maisha lazima yasonge mbele....
Tatizo aliwaaminisha kuwa Hatakufa kwa Yeye jiwe kweli kweli. Ndo maana wakafikia kumuabudu na kumuita majina ya kumkweza. Mungu akapunguza siku zake. Maana alishangaa haka kajamaa kadogo ndo kanabudiwa!?? Kwa lipi hasa?!
So wasitafute mchawi.
 
Ok! ngoja nikusaidie kufikiri.
Covid19 can deteriotate a weak body faster that has a weak immune system, and its fatal when an infected cannot fight back the covid19.
Actually a healthy body, even when infected may endure a covid attack,
Sasa hapo jaza mwnyewe sina haj ya kuku spoon feed!

Sijui huko kwenu mnaajiriwaje?

Shukran sana kwa majibu yako!

With this statement it means that the late’s ADC is hundred percent healthy, so healthy that even common flu won’t touch him!

Kingine, jifunze ustaarabu katika kujadiriana!
 
Ukweli ni Kuwa Magufuli was Targeted and this time around walifanikiwa.

The Next in Line Could be Bashiru, Majaliwa na watu wenye Nguvu ambao wana falsafa ya Magufuli, nina wasiwasi endapo Rais ajaye baada ya Samia atatoka kwenye Kundi lisiloendana na Falsafa ya Magufuli, Nchi yetu inaweza kushuhudia Mapinduzi ya Kijeshi.

Inshort Magufuli licha ya muda wake mfupi ameijenga upya nchi yetu vizazi vingi vijavyo, Nyerere atakumbukwa Kama Baba wa Uhuru, Magufuli atakumbukwa kama baba wa Uchumi na Maendeleo.
Duh.....there are a lot to be revealed in a couple of weeks to come...............I hesitate to contribute with suggestive opinions

God forbid what you predict corroborate with rumours that during the situation there was power struggle as to who was to step in involving the current regime officials and factions.

*Keep us posted with consistent details in support to your proposition that the man was targeted.
 
Tatizo aliwaaminisha kuwa Hatakufa kwa Yeye jiwe kweli kweli. Ndo maana wakafikia kumuabudu na kumuita majina ya kumkweza. Mungu akapunguza siku zake. Maana alishangaa haka kajamaa kadogo ndo kanabudiwa!?? Kwa lipi hasa?!
So wasitafute mchawi.
Kuna vijamaa naona vinasema Nyerere hafikii hata nusu ya Magu....

Hivi vitoto vya Chattle sijui nani kaviroga
 
Kwa bahati mbaya kwako I do not believe in what you call C-19 as a natural disease.All these respiratory problems and pneumonia like symptoms we see around us are caused by deliberate air pollution by agents of the NWO including Bill Gates,the Rockefeller s etc. through what we call Chemtrals admixed with viruses.What they call C-19 is in fact a scapegoat.Mtadanganywa sana kwa kuwa hamtaki kutafuta taarifa sahihi you just pick their lies.
Hayo mazombi hayawezi elewa....
 
Kwahiyo je enzi za uhai wa rais wetu ni nani alivujisha siri ya yeye anatumia peacemaker?
 
Mara ngapi tuliona rais akijichanganya na watu , ni rahisi kitu hicho kutekelezwa iliyokuwa inasubiriwa ni timing tu
Labda nikuulize,lile gari lenye mamitambo mitambo kazi yake ilikuwa nini?na zile briefcase wanabeba walinzi zinakuwa ni za nini?
 
Labda nikuulize,lile gari lenye mamitambo mitambo kazi yake ilikuwa nini?na zile briefcase wanabeba walinzi zinakuwa ni za nini?
Mi sio mtu wa usalama, maelezo yangu yanaweza kuwa sio sahihi ila nasikia ni kwa ajili ya kuhakikisha ulinzi wa rais hasa kwenye mambo ya it.
 
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.

Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.

Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers

Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.

Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.

Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.

Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.

Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.

Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.

Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.

Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).

Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?

Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.

Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.

Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!

Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!

Mission accomplished, the rest is history!

NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotakiwa.
View attachment 1733899
Mimi naiangalia kwa namna nyingine.
Hii pacemaker ina life span na muda wake ukifika inatakiwa kubadilishwa. Je inawezekana madaktari wake walijisahau kuhusu muda wa kuibadilisha?
 
Mi sio mtu wa usalama, maelezo yangu yanaweza kuwa sio sahihi ila nasikia ni kwa ajili ya kuhakikisha ulinzi wa rais hasa kwenye mambo ya it.
Ninavyojua mimi lile gari linazuia mawimbi ya radio,yani pale huwezi kupata mawasiliano ya simu wala yale mabomu yanayolipuliwa kwa remote hayalipuki,kwa msaada wa google search.
 
Kitaalamu pacemaker inadumu kwa miaka kumi.

Na tangazo la kifo lilisema alisumbuliwa na ugonjwa wa moyo kwa miaka kumi.So it's obvious kifaa kilifika mwisho.

Hitimisho.Magufuli alikufa kifo Cha asili km binadamu wengine.Tuache ujuaji na uchonganishi.Husda, umbea,chuki nk
Hicho kifaa kinaweza kubadilishwa baada ya miaka 10. Kwanini hawakufanya hivyo?
1. Uzembe mahali
2. Makusudi
N
Kuna nini hasa kwenye hili?
 
Back
Top Bottom