Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Yaani usichokijua kweli ni usiku wa giza.Hivi kweli mmeamini kabisa kwamba there is a natural disease called C-19 na ukivaa barakoa hupati.

Hivi unajua size ya virus kweli wewe, na kweli unajua size ya pores za vitambaa vinavyotumika kutengeneza face masks kweli.Mkuu size ya virus na size ya pore ya kitambaa cha barakoa ni kama size ya embe na tundu la mlango.Sasa embe litashindwaje kupita kwenye mlango,ndivyo hivyo hivyo virus kwenye tundu la barakoa.Acheni ujinga ninyi,mbona mnadanganywa sana?Sio hivyo tu barakoa zina athari nyingi sana kiafya mkuu,mostly and most dangerous lowering your immune system.Amkeni jamani,this is a deliberate human genocide plan.

So mkuu una maanisha madaktari wanaovaa barakoa during surgery ata masaa matatu na n kila siku wana afya mbovu na kinga zao ziko chini [emoji15][emoji15][emoji15]
 
So mkuu una maanisha madaktari wanaovaa barakoa during surgery ata masaa matatu na n kila siku wana afya mbovu na kinga zao ziko chini [emoji15][emoji15][emoji15]
Wao wanavaa kwa muda mfupi tu mkuu wanapofanya surgery na zile ni special,sio za mtaani.Healthcare workers ought to wear hospital-grade mask rated as N95 anti-viral

Tafadhali soma article ifuatayo mkuu,itakupa taarifa nzuri sana kuhusu face masks,usisikilize udaku wa mtaani,it is so misleading.

People, take off your masks before you really make yourself sick!

Posted on May 9, 2020 byState of the Nation
FacebookTwitterPinterestRedditEmail

Share

Except for healthcare providers and when in high-risk venues, no one should be wearing a mask.​

Thumbnails-Masks-of-Wilmington-1024x762.jpg

The Coronavirus Coach

Most masks are quite unhealthy and some are even disease-promoting—Here’s why!​

Chemical Off-gassing​

Those who are manifesting COVID-19 symptoms have a greater need for fresh clean air. Because of the various respiratory illnesses associated with Coronavirus syndrome they require prana-filled air more than anything. So do folks who want to prevent catching the coronavirus.
However, when wearing a synthetic mask the person is filtering their air through a synthetic material that outgases the petrochemically derived constituents that most are made of. The masked individual is then breathing in those aerosolized toxic chemicals.
Many of the sickest COVID patients already have various respiratory illnesses and/or chemical sensitivities, so putting a mask on them is the worst thing that can be done. The same applies to people who are relatively healthy but have E.I. syndrome or MCS.*

*E.I. Syndrome = Environmental Illness Syndrome & MCS = Multiple Chemical Sensitivity​

Brand new products just taken out of a box are notorious for outgassing various chemical toxins. In the case of a new mask, which is placed right over the mouth and nose, these airborne chemicals go right into both airways.
Therefore, patients stricken with the novel coronavirus ought to be spared from such a misguided practice. A chemical overwhelm can even trigger a respiratory condition that compels the attending physician to put the patient on a ventilator which ought to be strictly avoided for COVID-19 patients.

KEY POINT:Venting COVID-19 patients has proven to be injurious to the lungs and often deadly, as several doctors and nurses have testified. Five medical school professors in Italy have also correctly pointed out the extreme risks of ventilators in this scientific research paper:Covid-19 Does Not Lead to a “Typical” Acute Respiratory Distress Syndrome

Oxygen & Carbon Dioxide​

With each and every in-breath, the sick individual is also intaking some of the carbon dioxide they just exhaled.
Instead of breathing in fresh clean air full of oxygen, the mask is diminishing their oxygen intake and replacing it with the respiratory waste product—carbon dioxide.
By subtly decreasing their oxygen levels in this manner they are being deprived of the most powerful healing agent for respiratory diseases—Molecular oxygen (O2).
Furthermore, even a slight increase of the carbon dioxide levels in their bloodstream can contribute to anxiety and feelings of nervousness as well as cause headaches, dizziness and fatigue.
For these reasons especially, both the healthy and the ill should avoid wearing a mask like the plague … … … otherwise you may end up getting this coronavirus plague.

Unhygienic and Unsanitary​

Even after wearing a mask for a short period of time it becomes filthy. The more polluted the indoor and/or outdoor ambient air is, the quicker the mask will become contaminated.
Not only is the mask capturing particulate and chemical pollution from the ambient air, the accumulation of these throughout the course of a day further obstructs the necessary breathing process.
Hence, the longer a mask is worn in a polluted environment, the dirtier and more contaminated it will become. Just take a close look at the return air filter in your home or garage if you want to see what’s happening with a well-worn mask; albeit, on a much smaller scale.
Now let’s add into the mix the constant coughing and sneezing and spitting up phlegm and mucus. What will inevitably develop regarding the mask is a worst-case scenario that can push the patient onto a ventilator. This is only one reason so many hospital inpatients are being vented; the inappropriate treatment plans also include specific pharmaceutical drugs that are strongly contraindicated forCoronavirus syndrome.

Damage the Immune System​

The following excerpt was taken from this article published by the Alachua Chronicle in Gainesville, Florida: Face masks can damage the immune system.
Stress can lower Your immunity. A face-covering or mask that interferes with respiration can add to stress. Cortisol is a hormone closely linked with stress. It works as a key player in the body’s stress response and is often measured in research as an indicator of stress.
Cortisol plays a vital role in the body’s functioning; it’s secreted by the kidney’s adrenal glands. But high and sustained blood levels of cortisone in individuals stressed by the fear of COVID-19 can trigger serious and emergent health issues.
Higher and more prolonged levels of cortisol in the bloodstream (such as those associated with chronic stress) have been shown to have negative effects, such as:
      • Impaired cognitive performance
      • Suppressed thyroid function
      • Blood sugar imbalances such as hyperglycemia
      • Decreased bone density
      • Decrease in muscle tissue
      • Higher blood pressure
      • Lowered immunity and inflammatory responses in the body, slowed wound healing, and other health consequences
      • Increased abdominal fat, which is associated with a greater amount of health problems than fat deposited in other areas of the body. Some of the health problems associated with increased stomach fat are heart attacks, strokes, developing metabolic syndrome, higher levels of “bad” cholesterol (LDL) and lower levels of “good” cholesterol (HDL), which can lead to other health problems.

Uncomfortable and Depressing​

Anyone who has ever worn a tight, scratchy, synthetic mask knows they are so uncomfortable they want to take it off as soon as they put it on. And, that the longer they feel compelled to wear the mask, the more depressing the whole experience becomes.
Not only is this discomfiting experience physically depressing for all the reasons explained above, it can also become emotionally distressing.
There is a LOT of anecdotal evidence that proves the longer the mask is worn throughout the day, the more dispiriting. Likewise, the more days or weeks of continuous mask-wearing, the more distressful life becomes.
The best example of this new fact of life can be found in the many stores where the employees have been forced to wear a mask during the entire work day. Clearly, they are not happy. Nor are they as helpful as they used to be. The usual courtesy and cheerfulness have been replaced with gloom and/or sadness and/or frustration.

Inflammatory Wedge Issue​

Whoever put out the official advice of wearing a mask in the manner which has been adopted nationwide has performed a tremendous disservice. Common sense tells everyone that when your immune response can be so compromised by constant mask-wearing, a case ofCoronavirus syndrome becomes much more likely.
The medical authorities and health officials in charge of the coronavirus response effort need to draft a new national policy post haste before more damage is done to the individual and collective health of the American people.
After many decades of managing all sorts of similar epidemics and pandemics, there is no good reason why such an improper recommendation was ever issued. Many of those epidemics involved similar respiratory diseases, so what makes COVID-19 so different except the nonstop fear-mongering.
Those responsible for this extremely bad mask advice have created — wittingly or unwittingly — a toxic coronavirus culture whereby the mask wearers are looking at those who abstain as being dangerous nonconformists who are somehow threatening the mask-wearer’s health.
In this way, mask-wearing is quickly becoming a divisive wedge issue that has been driven deeply into the heart of the body politic. This certainly does not help the healing process which many are in dire need of today and beyond.
Families and friends are not only being unnecessarily separated during critical periods of the COVID-19 disease process, social tensions are intensifying even more during this extremely tempestuous election year. This state of affairs only creates a more conducive environment for coronavirus clusters to mushroom; after all, stress weakens the immune system (unless it’s well managed).

Special Note: The flurry of recommendations that were issued by government officials and medical authorities everywhere were fundamentally fear-driven and not based on science or reality. This fear-based guidance has served to stampede countless people into the pen of blind compliance. Not only are many unaware victims of this extremely bad advice never leaving home without a mask on, some of them are closely monitoring every individual in their viewing space without a mask. Others are so bold as to police the erroneous policy as vigilantes do catching lawbreakers. For these and other reasons, the mainstream media and governments across the country are obligated to clarify mask guidance with all deliberate speed.

Conclusion​

Yes, healthcare workers ought to wear hospital-grade mask rated as N95 anti-viral in every setting that requires one. By the way, even Dr. Fauci says not to wear a mask, except for healthcare providers.
Likewise, housebound COVID-19 caregivers should also wear a healthy, non-toxic mask when working with a sick family member, friend or loved one, but only when necessary. It’s important to immediately take the mask off whenever it’s not needed.
Obviously, every situation is different and demands its own proper response. For example, a crowded New York City subway needs to be addressed differently than taking a walk down a quiet suburban street. Hence, city dwellers have their own decisions to make whenever they’re walking through a high-traffic area or crowded space.
On the other hand, folks living in rural America can basically go mask free. The same goes for most suburbanites. As for the park or the beach, this is when everyone ought to freely bask in the therapeutic sunlight and open-air environment.
The bottom linehere is for everyone to use their common sense. The guidance provided in this coronavirus coaching session can be used to inform any decision to wear or not to wear a mask. But perhaps the most important instruction is thatno one should ever give in to offensive peer pressure to wear a mask when they know in their bones it’s the wrong thing to do.
Everyone, please stay safe and pray for protection.

Be well!​

REMOVE-THE-MASKS-2-1-696x365-1.jpg

The Coronavirus Coach
May 9, 2020
Recommended Reading
Here’s How Everyone Can Avoid Getting The Coronavirus
Here’s why the beach is the best place to be during the 2020 pandemic.
 
Suala la Lissu kupata taarifa linategemea how connected he is. Usimpuuze Lissu alikuwa mgombea urais, ni kiongozi wa kitaifa na being attached na mataifa makubwa ni rahisi kupata abcs.

Kuhusu kifo cha JPM, usidhani walinzi na madktari wake ni wapuuzi kiasi cha kutojua tahadhari juu ya ugonjwa wake.

Ugonjwa wa moyo sumu yake kubwa ni stress, kwa kiongozi wa level na commitment ya yake, ni lazima majukumu na matukio mengi ya karibuni yamemtia stress sana. Hebu fikiria una projects kibao ziko kwenye pipeline, u need money, uchumi unasinyaa covid inazidi kushika kasi, impliedly uchumi unaathirika zaidi. Mbaya zaidi ugonjwa Unagonga hadi kwa top officials, kumpoteza VP, msaidizi wako, MOF wako yuko hoi, pressure ya wanasiasa kubwa. Stress lazima ikumalize. Tuache ramli, ugonjwa wa moyo ni hatari sana, na unakua ttz zaidi with age.
Ulikuwa unaenda vizuri sana mkuu,ila uliponifikisha kwenye "Covid inashika kasi,"nikaacha kusoma.Seriously, what do you think C-19 is.Kwa kuwa kama huna basics za Microbiology au specifically Virology,ni rahisi sana kuchotwa na udaku wa mtaani kuhusu C-19 ambao ndio uliotawala kwenye mainstream media,kwa sababu ya nia yao ovu ya kutisha na kudanganya for their evil agenda of human genocide,enslavement and domination.
 
Nime-notice kwamba watu wengi hawana the right information about face masks.In fact taarifa nyingi zilizopo kuhusu face masks ni udaku kutoka the mainstream on behalf of the NWO. The fake news(udaku) is essentially aimed at cheating for the NWOs' evil agenda of committing genocide.

Tafadhali soma taarifa ifuatayo very carefully,ili upata taarifa sahihi.Ni kwa faida yako,ukidharau ukavaa barakoa ambayo sio hospital grade,tena kwa muda mrefu,you are risking your own life.


People, take off your masks before you really make yourself sick!

Posted on May 9, 2020 byState of the Nation
FacebookTwitterPinterestRedditEmail

Share

Except for healthcare providers and when in high-risk venues, no one should be wearing a mask.​

Thumbnails-Masks-of-Wilmington-1024x762.jpg

The Coronavirus Coach

Most masks are quite unhealthy and some are even disease-promoting—Here’s why!​

Chemical Off-gassing​

Those who are manifesting COVID-19 symptoms have a greater need for fresh clean air. Because of the various respiratory illnesses associated with Coronavirus syndrome they require prana-filled air more than anything. So do folks who want to prevent catching the coronavirus.
However, when wearing a synthetic mask the person is filtering their air through a synthetic material that outgases the petrochemically derived constituents that most are made of. The masked individual is then breathing in those aerosolized toxic chemicals.
Many of the sickest COVID patients already have various respiratory illnesses and/or chemical sensitivities, so putting a mask on them is the worst thing that can be done. The same applies to people who are relatively healthy but have E.I. syndrome or MCS.*

*E.I. Syndrome = Environmental Illness Syndrome & MCS = Multiple Chemical Sensitivity​

Brand new products just taken out of a box are notorious for outgassing various chemical toxins. In the case of a new mask, which is placed right over the mouth and nose, these airborne chemicals go right into both airways.
Therefore, patients stricken with the novel coronavirus ought to be spared from such a misguided practice. A chemical overwhelm can even trigger a respiratory condition that compels the attending physician to put the patient on a ventilator which ought to be strictly avoided for COVID-19 patients.

KEY POINT:Venting COVID-19 patients has proven to be injurious to the lungs and often deadly, as several doctors and nurses have testified. Five medical school professors in Italy have also correctly pointed out the extreme risks of ventilators in this scientific research paper:Covid-19 Does Not Lead to a “Typical” Acute Respiratory Distress Syndrome

Oxygen & Carbon Dioxide​

With each and every in-breath, the sick individual is also intaking some of the carbon dioxide they just exhaled.
Instead of breathing in fresh clean air full of oxygen, the mask is diminishing their oxygen intake and replacing it with the respiratory waste product—carbon dioxide.
By subtly decreasing their oxygen levels in this manner they are being deprived of the most powerful healing agent for respiratory diseases—Molecular oxygen (O2).
Furthermore, even a slight increase of the carbon dioxide levels in their bloodstream can contribute to anxiety and feelings of nervousness as well as cause headaches, dizziness and fatigue.
For these reasons especially, both the healthy and the ill should avoid wearing a mask like the plague … … … otherwise you may end up getting this coronavirus plague.

Unhygienic and Unsanitary​

Even after wearing a mask for a short period of time it becomes filthy. The more polluted the indoor and/or outdoor ambient air is, the quicker the mask will become contaminated.
Not only is the mask capturing particulate and chemical pollution from the ambient air, the accumulation of these throughout the course of a day further obstructs the necessary breathing process.
Hence, the longer a mask is worn in a polluted environment, the dirtier and more contaminated it will become. Just take a close look at the return air filter in your home or garage if you want to see what’s happening with a well-worn mask; albeit, on a much smaller scale.
Now let’s add into the mix the constant coughing and sneezing and spitting up phlegm and mucus. What will inevitably develop regarding the mask is a worst-case scenario that can push the patient onto a ventilator. This is only one reason so many hospital inpatients are being vented; the inappropriate treatment plans also include specific pharmaceutical drugs that are strongly contraindicated forCoronavirus syndrome.

Damage the Immune System​

The following excerpt was taken from this article published by the Alachua Chronicle in Gainesville, Florida: Face masks can damage the immune system.
Stress can lower Your immunity. A face-covering or mask that interferes with respiration can add to stress. Cortisol is a hormone closely linked with stress. It works as a key player in the body’s stress response and is often measured in research as an indicator of stress.
Cortisol plays a vital role in the body’s functioning; it’s secreted by the kidney’s adrenal glands. But high and sustained blood levels of cortisone in individuals stressed by the fear of COVID-19 can trigger serious and emergent health issues.
Higher and more prolonged levels of cortisol in the bloodstream (such as those associated with chronic stress) have been shown to have negative effects, such as:
      • Impaired cognitive performance
      • Suppressed thyroid function
      • Blood sugar imbalances such as hyperglycemia
      • Decreased bone density
      • Decrease in muscle tissue
      • Higher blood pressure
      • Lowered immunity and inflammatory responses in the body, slowed wound healing, and other health consequences
      • Increased abdominal fat, which is associated with a greater amount of health problems than fat deposited in other areas of the body. Some of the health problems associated with increased stomach fat are heart attacks, strokes, developing metabolic syndrome, higher levels of “bad” cholesterol (LDL) and lower levels of “good” cholesterol (HDL), which can lead to other health problems.

Uncomfortable and Depressing​

Anyone who has ever worn a tight, scratchy, synthetic mask knows they are so uncomfortable they want to take it off as soon as they put it on. And, that the longer they feel compelled to wear the mask, the more depressing the whole experience becomes.
Not only is this discomfiting experience physically depressing for all the reasons explained above, it can also become emotionally distressing.
There is a LOT of anecdotal evidence that proves the longer the mask is worn throughout the day, the more dispiriting. Likewise, the more days or weeks of continuous mask-wearing, the more distressful life becomes.
The best example of this new fact of life can be found in the many stores where the employees have been forced to wear a mask during the entire work day. Clearly, they are not happy. Nor are they as helpful as they used to be. The usual courtesy and cheerfulness have been replaced with gloom and/or sadness and/or frustration.

Inflammatory Wedge Issue​

Whoever put out the official advice of wearing a mask in the manner which has been adopted nationwide has performed a tremendous disservice. Common sense tells everyone that when your immune response can be so compromised by constant mask-wearing, a case ofCoronavirus syndrome becomes much more likely.
The medical authorities and health officials in charge of the coronavirus response effort need to draft a new national policy post haste before more damage is done to the individual and collective health of the American people.
After many decades of managing all sorts of similar epidemics and pandemics, there is no good reason why such an improper recommendation was ever issued. Many of those epidemics involved similar respiratory diseases, so what makes COVID-19 so different except the nonstop fear-mongering.
Those responsible for this extremely bad mask advice have created — wittingly or unwittingly — a toxic coronavirus culture whereby the mask wearers are looking at those who abstain as being dangerous nonconformists who are somehow threatening the mask-wearer’s health.
In this way, mask-wearing is quickly becoming a divisive wedge issue that has been driven deeply into the heart of the body politic. This certainly does not help the healing process which many are in dire need of today and beyond.
Families and friends are not only being unnecessarily separated during critical periods of the COVID-19 disease process, social tensions are intensifying even more during this extremely tempestuous election year. This state of affairs only creates a more conducive environment for coronavirus clusters to mushroom; after all, stress weakens the immune system (unless it’s well managed).

Special Note: The flurry of recommendations that were issued by government officials and medical authorities everywhere were fundamentally fear-driven and not based on science or reality. This fear-based guidance has served to stampede countless people into the pen of blind compliance. Not only are many unaware victims of this extremely bad advice never leaving home without a mask on, some of them are closely monitoring every individual in their viewing space without a mask. Others are so bold as to police the erroneous policy as vigilantes do catching lawbreakers. For these and other reasons, the mainstream media and governments across the country are obligated to clarify mask guidance with all deliberate speed.

Conclusion​

Yes, healthcare workers ought to wear hospital-grade mask rated as N95 anti-viral in every setting that requires one. By the way, even Dr. Fauci says not to wear a mask, except for healthcare providers.
Likewise, housebound COVID-19 caregivers should also wear a healthy, non-toxic mask when working with a sick family member, friend or loved one, but only when necessary. It’s important to immediately take the mask off whenever it’s not needed.
Obviously, every situation is different and demands its own proper response. For example, a crowded New York City subway needs to be addressed differently than taking a walk down a quiet suburban street. Hence, city dwellers have their own decisions to make whenever they’re walking through a high-traffic area or crowded space.
On the other hand, folks living in rural America can basically go mask free. The same goes for most suburbanites. As for the park or the beach, this is when everyone ought to freely bask in the therapeutic sunlight and open-air environment.
The bottom linehere is for everyone to use their common sense. The guidance provided in this coronavirus coaching session can be used to inform any decision to wear or not to wear a mask. But perhaps the most important instruction is thatno one should ever give in to offensive peer pressure to wear a mask when they know in their bones it’s the wrong thing to do.
Everyone, please stay safe and pray for protection.

Be well!​

REMOVE-THE-MASKS-2-1-696x365-1.jpg

The Coronavirus Coach
May 9, 2020
Recommended Reading
Here’s How Everyone Can Avoid Getting The Coronavirus
Here’s why the beach is the best place to be during the 2020 pandemic.
 
Ulikuwa unaenda vizuri sana mkuu,ila uliponifikisha kwenye "Covid inashika kasi,"nikaacha kusoma.Seriously, what do you think C-19 is.Kwa kuwa kama huna basics za Microbiology au specifically Virology,ni rahisi sana kuchotwa na udaku wa mtaani kuhusu C-19 ambao ndio uliotawala kwenye mainstream media,kwa sababu ya nia yao ovu ya kutisha na kudanganya for their evil agenda of human genocide,enslavement and domination.
Kwa hiyo wewe hutakia kuamini kuwa Magufuli angeweza kupata Covid?
Kwanini yeye asipate wakati watu kadhaa wa karibu yake walipata Covid na wakafariki?

Ngoja, nikufungue ubongo hapa.
Ni vyombo vya habari vya dunia zaidi ya wiki moja kabla ya kutangazwa kifo chake walisema kuwa, Magufuli ameugua Covid na moyo kiasi cha kudhaniwa kuwa ameshafariki, wakati huo huo maafisa wa juu wa serikali ya Tz wakisema Magufuli yuko imara, haimwi chochote na alikuwa anachapa kazi zake. Baadaye (tena kwa kushinikizwa mnoo) serikali ikakiri na kusema ni kweli Magufuli amefariki baada ya kuugua moyo!
Sasa katika sakata hilo, nani wa kuaminiwa zaidi katika mtitiriko wa taarifa?
 
Unaeleza kitu ambacho watanzania kwa mamilioni wanajua...walitaka ionekane kuwa ni Corona...lakini hakuna Mtanzania anayetaja kuwa kifo hicho kimetokana na Corona...hata media za Kenya nadhani zimeacha ujinga na upumbavu huu..wameshindwa kabisa kuwaaminisha watanzania kuwa our beloved leader amekufa kwa Corona...watanzania sisi tunajua why Magufuli died...Lissu anajua kiluchomuua Magu...right now Lissu is trembling with fear...
Why fear? Kama unaamini Lisu ndio ametenda hili, basi ya David na Goliath yamejirudua. Angalia nguvu za Hayati Magufuli ilivyokuwa na linganisha na individual poor Lisu! Usipende kumdhalilisha mwenda zake, na pia usimtwishe Zigo Tundu Lisu. Kufahamu jambo mapema hakumaanishi uhusika. Kama kulitokea mapungufu katika safu ya ulinzi, hilo ndio lifanyiwe kazi.
 
Yatasemwa mengi lakini ukweli unajulikana,inaeleweka ni nini kinatwaa uhai wa watu wengi kwa sasa.
 
Kumhudumia mgonjwa wa corona na usipate ndiyo ukahitimisha kuwa hakuna corona? Unatania? Tangu corona iingie hujasoma kuwa kuna watu wengi tu wanapata corona na hawaugui hata kidogo? Na hii ndiyo inafanya huu ugonjwa uwe hatari kwa sababu mtu wa aina yako anakwenda kuwaambukiza watu wengine bila kujulikana.
Ni sawa na mwenye shibe kuwashangaa wenye njaa.
 
Why fear? Kama unaamini Lisu ndio ametenda hili, basi ya David na Goliath yamejirudua. Angalia nguvu za Hayati Magufuli ilivyokuwa na linganisha na individual poor Lisu! Usipende kumdhalilisha mwenda zake, na pia usimtwishe Zigo Tundu Lisu. Kufahamu jambo mapema hakumaanishi uhusika. Kama kulitokea mapungufu katika safu ya ulinzi, hilo ndio lifanyiwe kazi.
Ok litafanyiwa kazi na tayari limeanza kufanyiwa kazi...stay tuned and watch..
 
Kwa hiyo wewe hutakia kuamini kuwa Magufuli angeweza kupata Covid?
Kwanini yeye asipate wakati watu kadhaa wa karibu yake walipata Covid na wakafariki?

Ngoja, nikufungue ubongo hapa.
Ni vyombo vya habari vya dunia zaidi ya wiki moja kabla ya kutangazwa kifo chake walisema kuwa, Magufuli ameugua Covid na moyo kiasi cha kudhaniwa kuwa ameshafariki, wakati huo huo maafisa wa juu wa serikali ya Tz wakisema Magufuli yuko imara, haimwi chochote na alikuwa anachapa kazi zake. Baadaye (tena kwa kushinikizwa mnoo) serikali ikakiri na kusema ni kweli Magufuli amefariki baada ya kuugua moyo!
Sasa katika sakata hilo, nani wa kuaminiwa zaidi katika mtitiriko wa taarifa?
Vyombo vya dunia ni mali ya adui zake mkuu,sasa mtu anayekuchukia anaweza kukusema vizuri kweli,haiwezekani.

Pia naomba ukumbuke kwamba hao hao wanaomiliki unavyo-viita vyombo yva nchi za Magharibi ambavyo kwa ujumla habari zao ni udaku, akina Rockefeller na Rothschild nk.,ndio waliokuwa wamefanya nchi yetu shamba la bibi na Magufuli aliwazuia,sasa watamsemaje vizuri.

Mwisho usisahau kwamba hivyo unavyo viita vyombo vya nchi za magharibi,Aljazeera,BBC,CNN nk.walikiri kwamba habari hizo ni "rumours," ambazo walizipata kutoka kwa Lissu.Ni aibu na inashangaza kwamba vyombo vikubwa vya habari kama BBC,Aljazeera au CNN, vinaweza kutangaza rumours.Hii inaonyesha wazi jinsi vyombo hivyo vilivyo vya hovyo,na visivyo weza kutegemewa na kuamiwa kwa lolote kabisa.
 
Mwisho usisahau kwamba hivyo unavyo viita vyombo vya nchi za magharibi,Aljazeera,BBC,CNN nk.walikiri kwamba habari hizo ni "rumours," ambazo walizipata kutoka kwa Lissu.Ni aibu na inashangaza kwamba vyombo vikubwa vya habari kama BBC,Aljazeera au CNN, vinaweza kutangaza rumours.Hii inaonyesha wazi jinsi vyombo hivyo vilivyo vya hovyo,na visivyo weza kutegemewa na kuamiwa kwa lolote kabisa.
kwa hapo Mkuu umedanganya eti Vyombo vya habari vya nje vilikanusha kuwa Rais wetu haumwi na haonekani, al Jazeera, BBC wala CNN hawajakanusha weka link
Humuhumu Member kibao walitangaza kabla ya siku 3 na wengine wakasema ame-recover (mmojawapo member wa kike)
Kumbuka kote alikokuwa akipita hata kwa matibabu kuna watu, ndugu na watoto walikuwa nazo taarifa hivyo hakuna kitu kilichofichwa, sanasana ninyi ndio mliambiwa baada ya uthibitisho.
ipo post humu JF ilisema ukweli tukapuuzia
 
kwa hapo Mkuu umedanganya eti Vyombo vya habari vya nje vilikanusha kuwa Rais wetu haumwi na haonekani, al Jazeera, BBC wala CNN hawajakanusha weka link
Humuhumu Member kibao walitangaza kabla ya siku 3 na wengine wakasema ame-recover (mmojawapo member wa kike)
Kumbuka kote alikokuwa akipita hata kwa matibabu kuna watu, ndugu na watoto walikuwa nazo taarifa hivyo hakuna kitu kilichofichwa, sanasana ninyi ndio mliambiwa baada ya uthibitisho.
ipo post humu JF ilisema ukweli tukapuuzia
Nimesema wamesema ni "rumours, " sio wamekanusha.Source ni mimi mwenyewe,maana nimesikia mwenyewe,sijaambiwa.
 
Nimejiuliza na kufikiria sana sana kuhusu kifo cha Rais Magufuli kilichosababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator.

Kujiuliza na kufikilia kwangu kumetokana onyo la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Marekani (Department of Homeland Security-DHS) lililotolewa mwaka 2019 linaloonya makampuni yanayotengeneza pacemaker/defibrillator kuhusu hatari ya kifaa hicho kudukuliwa na wataalam wa udukuzi na kupelekea hata kifo kwa watu waliopandikizwa kifaa hicho.

Ukitaka kusoma onyo hilo unaweza kugonga hapa;
Link>>> Pacemakers and Hacker Dangers

Wizara hiyo ilibainisha kuwa wadukuzi wanaweza kuingilia mifumo ya pacemaker/defibrillator na kuweza kubadilisha mawasiliano yake ambapo inaweza kupelekea mtu aliyewekewa kifaa kufariki.

Wizara hiyo ilienda mbali zaidi na kusema hata wadukuzi ''mwenye uwezo mdogo'' wanaweza kudukua pacemaker/defibrillator na kufanikiwa kuleta madhara makubwa kwa watu waliopandikizwa vifaa hivyo kwa sababu vifaa hivyo havina mfumo wa uhakiki au idhini (authentication or authorization) ambao ni kinga ya mwanzo dhidi ya udukuzi.

Onyo hili lilipelekea watoa huduma ya afya nchini Marekani kuwaita wananchi wa Marekani zaidi ya nusu milioni waliopandikizwa vifaa hivyo na kuwaeleza ukweli wake.

Kama kifaa hiki kinaweza kudukuliwa hata na wadukuzi wenye uwezo mdogo na kuleta madhara au kifo, inafikirisha sana kusikia kifo cha Rais Magufuli kimesababishwa na mfumo wa umeme wa moyo uliokuwa unaratibiwa na pacemaker/defibrillator. Bear in mind, Rais Magufuli amekuwa na hii pacemaker/defibrillator kwa zaidi ya miaka 10. Why now?

Inafikirisha zaidi baada ya kusoma makala iliyoandikwa na Tundu Lissu kupitia gazeti la Afrika ya Kusini liitwalo Maverick akidai alidokezwa kuhusu hali ya Rais Magufuli na chanzo cha ''uhakika'' kutoka Marekani tarehe 6 Machi.

Ukitaka kusoma makala hiyo gonga hapa;
Link>>> OP-ED: Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli

Ukiyachanganua maelezo ya Tundu Lissu utagundua kuwa chanzo cha ''uhakika'' walijua wamefanikiwa ''mission'' ya kudukua hasa baada ya Rais Magufuli kwenda katika hospitali ya Muhimbili tarehe 6 Machi kutibiwa ambapo inaonekana daktari/madaktari walitoa siri hiyo nje lakini baada ya kutoka Muhimbili siku ya pili hawakujua yuko wapi kutokana na usiri wa hali ya juu wa ulinzi wa Rais Magufuli.

Hata gazeti ya Kijasusi liitwalo Africaintelligence halikuweza kujua aliko na likadai habari zinazosema yuko Kenya au India sio za kweli kwa sababu limefanya uchunguzi na kugundua sio kweli.

Kama chanzo cha kifo cha Rais Magufuli kitakuwa ni kudukuliwa kwa pacemaker/defibrillator, hii itakuwa ni aibu na udhaifu mkubwa kwa vyombo vilivyopewa mamlaka ya ulinzi na usalama wa taasisi ya Urais nchini Tanzania. Taasisi ya Ulinzi na Usalama inawezekana ilikuwa imejikita katika ulinzi wa mwili(Physical security ) pekee bila kujiandaa kwenye ulinzi wa saibenetiki(cybersecurity).

Kuna baadhi ya watu watajiuliza, kwa nini pacemaker/defibrillator ya Rais Magufuli idukuliwa kwa sasa?

Mtu mwenye upeo mkubwa atajua muda huu ndio ulikuwa ni muda mwafaka kiujasusi baada ya uchaguzi mkuu 2020 kwa sababu nguvu zilizokuwa zimewekezwa katika Uchaguzi Mkuu 2020 ili kumuondoa Rais Magufuli madarakani kwa njia ya sanduku la kura au maandamano kupitia kwa Tundu Lissu kutofanikiwa.

Ukisikiliza sauti ya tatu utagundua kuwa Tundu Lissu aliwaaminisha ''majasusi'' ana uwezo wa kumtoa Rais Magufuli madarakani kwa kura au maandamano.

Ieleweke kuwa, katika baadhi ya misheni hasa za kijasusi zenye changamano na tata huwa kuna mpango(plan) zaidi ya mmoja. Baada ya mpango wa kwanza kushindwa, mpango wa pili ulichukua nafasi yake na kufanikiwa!

Nadhani hoja za kinadharia kutoka kwa baadhi ya wanasiasa hasa wabunge za kutaka kubadilisha katiba ya Tanzania ili kumuongezea Rais Magufuli muda wa Urais pia zimeharakisha sana ''mission'' hii kabla hawajaanza kuandika ''miswaada binafsi'' na kupeleka bungeni kwa sababu ungepitishwa bila kikwazo chochote!

Mission accomplished, the rest is history!

NOTA BENE.
Kwa wasiojua, pacemaker/defibrillatorni ni kifaa kidogo cha umeme chenye ukubwa kama kiberiti ambacho hufuatilia na kudhibiti wimbo wa moyo ambacho huingizwa kwenye kifua ili kufuatilia na kudhibiti sauti ya moyo isiyo ya kawaida ili kusukuma damu kwa kiwango kinachotakiwa.
View attachment 1733899
Hii ni ramli ya kile kijiwe cha kahawa chato
 
1. Hujuma katika kifaa cha Pacemaker

Katika Lugha nyepesi kabisa, kazi ya kifaa cha Pacemaker ni kuratibu mapigo ya moyo. Ni katika mazingira magumu sana kifaa hiki kuleta shida. Aidha, Kutokana na evolution ya technology, mfumo wa kifaa hiki unaweza kuharibiwa kwa kutumia data base na access code zilizotumika ku program kifaa.

Unahitaji kupata access ya zile code kisha uwe na muhusika umbali mdogo ili kuharibu mfumo wa kifaa kwa kukihamuru kusababisha shock na kufanya mapigo ya moyo kutorandana tena. Kama kutakuwa hakuna wataalamu wa kuliona hilo kwa haraka na kuwahi kukibadili kifaa, hatari itakuwa ni kubwa kwa maana muda mwingi utapotezwa kwenye first aid za ku support maisha yake badala ya kuondoa kifaa kilichoharibiwa mfumo. JPM alivyokuwa anahudhuria mikutano yake na kujichanganya na watu, ni dhahiri kwamba ilikuwa ni rahisi kwa mtu mwenye nia ovu kutekeleza dhima hiyo kwa msaada wa Mabeberu na vibaraka wa ndani.

Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu, JPM hajafa na Corona. Kama angekuwa na corona, ina maana alikuwa na pre infection kabla ya kufanya mkutano Mbezi, kwa age ya JPM na jinsi Virus wanavyozalisha chemicals zinazoharibu mapafu, basi tungeanza kuona dalili siku ile. kama JPM angekuwa na Corona, ni dhahiri kwamba asingeweza kumuapisha Dr Bashiru ikulu, Corona huanza na pre infection kisha symptoms zisizojificha. Ni ukosefu wa maarifa na elimu sahihi kuamini JPM kafa na Corona.
Vyombo vya nje vinatoa taarifa za chuki na uzushi.

Hivyo, uwezekano ni mkubwa juu ya kifaa kuharibiwa mfumo wake. Inashauriwa Serikali na Mamlaka husika kuruhusu intelligence waliobobea kwenye technology hii kwa ajili ya uchunguzi yakinifu.

2. Ujio wa Ugeni kutoka China

Tanzania na Africa kwa ujumla haijawahi kuwa rafiki wa china wala mataifa ya magharibi. Wazungu na wachina wanaichukulia Tanzania kama ni sehemu ya mali ghafi , na ikiwa kuna pingamizi lolote, basi hufanya lolote maadam watakidhi mahitaji yao.

Dhamira ya JPM ilikuwa kwenye madini na natural resoureces zote za nchi. Mwisho kabisa ali dispute uzushi wa Corona, na mwisho kabisa mabeberu wakataka TZ ipokee chanjo. Hili JPM hakulikaribisha kwa haraka huku akiendelee kupinga dhana hii kwa muktadha wa gharama za chanjo hizo.

Out of the blue, Ujio wa Chinese state councilor and foreign minister January 2021 in Tanzania, Chato. Inaaminika kwamba ujio huo haukuja na heri hata kidogo. Kwa evolution ya technology kwa sasa, hakuna anaetumia bastola kuleta madhara kwa viongozi. Probably viongozi wetu walipewa inayooaminika ni kinga dhidi ya Corona. Au poison powder, gas ambayo humpeleka mtu ardhini kwa taratibu.

Tumeona baada ya Ujio ule, afya ya viongozi wetu haijawa the same. Inashauriwa Serikali na Mamlaka husika kuliangalia kwa mapana na kuruhusu intelligence waliobobea kwenye sayansi hii kuingia kazini na kufanya uchunguzi yakinifu.

3. PSU ndani ya PSU

Katika mataifa ya Africa, Afya ya Rais aliye madarakani ni lazima iwe siri. Hatuna mifumo inayojiendesha yenyewe na hii ndio sababu kuu ya kutotangaza vifo vya marais kwa wakati.

Je kulikuwa na PSU ndani ya PSU?

Taarifa za hali ya Rais kwa mabeberu na vibaraka wao zilifika the moment JPM alipoanza kujisikia vibaya. Na hata kifo cha Rais kilijulikana siku zaidi ya 3 before haijatangazwa rasmi. PSU yote inajulikana, na wote wana viapo vya siri katika utumishi wa umma, tena ukizingatia mtumishi yoyote anaekuwa sehemu ya PSU ni lazima afanyiwe vetting ya maana.

Ni nani miongoni mwao aliyeshindwa kusimamia kiapo mpaka kufikia hatua ya kutoa taarifa za utumishi na mamlaka ya Uraisi?

Je haitufanyi sisi raia wa kawaida kuamini kwamba, huenda ndani ya PSU ipo timu iliyotumika kumuhujumu na kumkatisha JPM?

Uchunguzi wa kina lazima ufanyike ili kubaina mnyororo uliohujumu taasisi ya Urais. Taasisi ya Urais ni nchi, kama taarifa za Rais hazipo salama, maana yake nchi haipo salama.

Aidha, weledi wa kazi umepungua sana. Namna ambavyo kifo cha JPM kimetangazwa haikuwa kwa mujibu wa Protocols. Mtu kajifunga hijab ambayo haina hata dressing code, haijulikani ni sehemu gani aliyokaa, haijulikani alikuwa amekaa au kasimama , kisha zinatolewa taarifa za msiba wa kiongozi wa nchi aliye madarakani, like seriously!

Katika mshangao, magari yaliyokuwa yamepangwa kutumika kwenye msiba, yalianza kuonekana before ya msiba kutangazwa.

Nakumbuka enzi ya kifo cha mwalimu, magari yalikuwa yanaandaliwa usiku wa manane tena wakati mwingine umeme ulikuwa unakatwa maksudi ili kupitisha hayo magari kwa kuwa kifo kilikuwa bado hakijatangazwa rasmi na Rais, wakati huo alikuwa ni Benjamin.

Je haitufanyi sisi raia wa kawaida kuamini kwamba, huenda ndani ya PSU ipo PSU ndogo iliyotumika kumuhujumu na kumkatisha JPM? .

Ni nani miongoni mwao anaetoa taarifa za ndani kabisa na zenye usalama wa nchi? We have been tested, we must bear the responsibility. Ni lazima uchunguzi yakinifu ufanyike.

4. CCM Kindakindaki

Katika suala la kiusalama, once watu uliofanya nao kazi kwa muda mrefu wanageuka kuwa maadui wako, the best strategy ni eliminate the risk. Na hii wakati mwingine ni kumfunga mtu hadi utawala wako uishe. JPM alifanya kazi kubwa ya kusafisha chama huku wengine wakifukuzwa, wengine kupewa makaripio na kuwekwa mbali na chama. Lakini watu hawa waliendelea kubaki mtaani. Hii ni hatari katika strategy za kiusalama. Na huenda ndio sababu kuu ya kuzaliwa kwa PSU ndogo ndani ya PSU iliyotumika na mabeberu na vibaraka under cover.

Tumeona JPM alifanikiwa kunasa sauti za wahusika na ni ishara kwamba tayari alikuwa na maadui , kuwafukuza chama, makaripio na kuwekwa mbali haikutosha katika usalama wake. PSU strategically walitakiwa kuliona hili na kuchukua TAHADHARI.

Inashauriwa Serikali na Mamlaka husika kuruhusu intelligence waliobobea kufanya uchunguzi yakinifu juu ya wasiwasi huu.

Hitimisho

Moja wapo kati ya yaliyoainishwa huenda ni ni sababu ya kifo cha JPM, Tunaomba uchunguzi wa kina ufanyike ili kuinusuru nchi yetu na kubaini mnyororo unao hatarisha taasisi ya Urais na nchi yetu.

Baada ya JPM, Chanjo ya COVID itaingia Tanzania kama yote, Madini na natural resources kama kawaida yatasafirishwa nje na haya mawili ndio ulikuwa ugomvi wa JPM na mabeberu pamoja na vibaraka wa ndani waliotumika.

In loving memory of JPM

For your service, They may not understand now, but some days, they will……. time will tell President.

In death, we all meet.

From dust we are, to dust we shall return. Rest easy President, Always in our hearts.

Friday, 26 March, 2021
Windhoek, Namibia
 
Back
Top Bottom